Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,220
Ktk shule za sekondari ni walimu wa field na part time ndo wako mashuleni uhuru sec, ngokolo sec walimu hawakufka kabisa shule zingine walifika then wakaondoka nimekutana na walimu wengi wa sekondari hasa vijana wanazunguka tu mitaani na baiskeli zao