Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
yani haya mambo ya ajabu sana!waislam wamekuwa wakilaumu kwa kipindi kirefu kwamba si vyuoni tu bali serikalini kwa ujumla kuna upendeleo mkubwa kwa wakristo kuajiriwa huku wakitoa.data.hoja iliyotolewa na serikali na wakristo ni kwamba serikali huangalia uwezo na sifa na si dini katika kumpa mtu majukumu flani (hoja ambayo kimsingi mimi niliipenda kwa sababu ni ya kitaalam japo mimi ni muislam na si kuwa na kazi).saasa leo nashangaa sana ndugu zangu wakristo wakiibuka na kusema kwamba udom kuna udini mkubwa sababu wafanyakazi wake wengi ni waislam!.sasa pengine niulize maswali kadhaa anayeweza ajibu.je! ni sahihi taasisi flani ikiwa na watu wengi wa dini flani kusema ina udini?ni kweli kwamba watu wamekuwa wakiajiriwa nchini kwa sababu ya dini zao?je!ajira zinazozingatia udini zimeanzia udom?je!udini upo kwa waislam tu au hata wakristo?ikiwa udom kinazingatiwa kigezo cha udini kuajiri watu wasio na sifa kwa kuwa waislam wamekuwa wengi,je!maprofesa kama kikula pia walipata uprofessa kwa kuwa ni waislam? je!waalimu waliowafundisha maprofessa wa udom nao walikuwa waislam?kwa kuwa udsm nako watumishi wengi ni wakristo,je!wameajiriwa kwa kuwa ni wakristo! kama alie leta udini udom ni kikwete (kwa kuchagua viongozi wa chuo ambao ni waislam je nani aliyechagua na anaechagua viongozi wa udsm?ajab sana!Mwanzo tulianza na NSSF, watu wakapandwa jazba sana ila ndio ukweli wenyewe,
Now ni Udom,kiukweli chuo hicho kina udini sana angalia mawarden vilaza kutoka zanzibar wamejazana pale
bila hata qualification za maana!!Njoo kwenye depart ya finance My God utaimba haleluyah,kajaza ofisi nzima
masheikh!!Huyu prof uchwala mlacha ajiandae kwenda mahakama ya hague few years to come lol!!