mwaka jana mdogo wangu nilimwambia apply udom alikataa katakata na kusema udom ina sifa mbaya ya udini, na vile vile ni chuo cha kata ambacho ni mtaji wa ccm katika kupata kura
Usahili ni mchakato mrefu sana na ni wengi wanaohusika ila mwisho wa siku atakayeajiri ni dvc utawala!!!!!!! ninayo mifano mingi mizuri ingawaje siyo ya Udom, unakuta anayepewa nafasi zaidi anaachwa kutegemeana na mwenye maamuzi ya mwisho ana interest gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.