Mgomo wa wahadhiri UDOM wanukia

wewe huoni udini wenye mrengo wa uislam ulivoshamiri udom. Hebu agalia safu za kiuongozi za udom. Swala sio allerge na uislam. Issue hapa ni reality. Siku zinahesabika za magamba waliopandijikiza udini huu mpaka vyuoni. Udom kweli ni chuo cha kata na cha kidini zaidi.
vipi udsm?

 
UDOM kuna hata kundi la Muslim Brother hood mwislam akitaka hata million moja kama kipindi hiki ambapo hakuna mshahara anapiga sm kwa mhasibu( mwislam mwenzake) anaomba kisha anaambiwa pitia saa 4 asb. Wewe wasema nini? Kama huna data tulia sikiliza. Wakati wahadhiri wanazuiliwa kwenda kusoma nje ya chuo mawadern waislam wamepelekwa Kusoma nje kwa gharama za chuo. Ila mhadhiri anatakiwa asomee hapahapa UDOM na tena akatwe 10 % ya mshahara wake kla mwezi. PIMBI WEWE HUNA DATA KAA KIMYA. NYANG'AU MKUBWA.
 
Duh!Tanzania tumefikia pabaya sana kama tumefikia hatua ya kuangalia ratio ya wafanyakazi kwa kuangalia dini zao! Bahati nzuri hili ni la JF tu lakini nje tunaishi kama ndugu japo kwa kinafiki lakini inasaidia tuishi kwa amani! Haya sasa mkimaliza UDOM tuanze ofisi kwa ofisi tuangalie ratio zao kwa imani zao za kidini,tena tuangalie top management tu halafu tuone sasa tutaipeleka wapi nchi yetu! Watu tunajidai wadini kweli wakati hata dini zenyewe hatuzijui. wengi humu ni wakristo-jina na waislamu-jina tu lakini mapovu sasa duh!
 
Duh!Tanzania tumefikia pabaya sana kama tumefikia hatua ya kuangalia ratio ya wafanyakazi kwa kuangalia dini zao! Bahati nzuri hili ni la JF tu lakini nje tunaishi kama ndugu japo kwa kinafiki lakini inasaidia tuishi kwa amani! Haya sasa mkimaliza UDOM tuanze ofisi kwa ofisi tuangalie ratio zao kwa imani zao za kidini,tena tuangalie top management tu halafu tuone sasa tutaipeleka wapi nchi yetu! Watu tunajidai wadini kweli wakati hata dini zenyewe hatuzijui. wengi humu ni wakristo-jina na waislamu-jina tu lakini mapovu sasa duh!

Mkuu umechambua vizuri. ni kweli ni wakristo- jina na waislamu -jina tu. MUNGU hapendi chuki, hasira, visasi na kutanguliza tamaa ya mambo ya dunia (kimwili) mbele na ya kiroho kama upendo njuma.

Naomba kuuliza, hawa waliopanga kugoma UDOM kutokana na mada hii humu, ni kama uamsho wa zanzibar au boko haram wa Nigeria? na utofauti wao ni hawa wanaegemea upande wa kujiita wakristo au sio?.

Kama ni kweli wana elements za boko haram basi ni hatari. Tena wapo kwenye taasisi kubwa ya elimu ya juu, tusipoangalia hata watoto wetu na wa kizazi kijacho kinaweza kuathirika.

Naomba tuingie kwenye maombi na kufunga ili MUNGU aingilie kati hili jambo. Nawatahadharisha shetani yupo kazini kutufarakanisha na kuchochea chuki hii. Chuki ni ugonjwa mkubwa sana ambao shetani hutumia.
 
Tukio hili kwanza limechochewa na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Balozi Mwapachu, wiki iliyopita kwenye baraza la chuo alimtukana Mwenyekiti wa jumuiya ya wahadhiri kwa kumuita Mugabe kwa sababu hataki kuitisha uchaguzi. Na akaamuru kikao kijacho asiingie kama uchaguzi hamna. [Tunaamini wana mpango wa kupandikiza mtu wao].........

Haya tenaaa! Kuna tatizo la msingi ktk uteuzi wa viongozi. Juma Mwapachu si mtu anayestahili kuonyesha mafanikio. Huyu ni mtu aliyefika hapo kwa sababu za kihistoria tu. Brain iko nusu na mbaya zaidi anahangaika sana kila wakati kuonyesha kwamba ni mwenye mafanikio.

Hapo kwenye RED mimi nashauri kesi hiyo ya matusi ipelekwe mahakamani. Yeye kuwa mwenyekiti wa Baraza isiwe sababu ya kutukana watu.

Kutukana ni kosa linalostahili kufikishwa mahakamani. Apelekwe hata kama mashahidi watagoma kusema walilosikia lakini itampa ufahamu kwamba hayuko juu ya sheria.
 
wewe huoni udini wenye mrengo wa uislam ulivoshamiri udom. Hebu agalia safu za kiuongozi za udom. Swala sio allerge na uislam. Issue hapa ni reality. Siku zinahesabika za magamba waliopandijikiza udini huu mpaka vyuoni. Udom kweli ni chuo cha kata na cha kidini zaidi.........

Naomba nitumie Prospectus ya UDOM ya 2011-12 kuna safu kama ifuatavyo:
  1. Chancellor - Mkristo
  2. Chairman of Council - Msilamu
  3. VC - Msilamu
  4. DVC ARC - Mkiristo
  5. DVC PFA - Msilamu
  6. College Principals
    1. Education- Mkristo
    2. Humanities and Social Sciences - Mkristo
    3. Informatics and Virtual Education - Mkristo
    4. Natural Sciences and Mathematics - Mkristo
    5. Health Sciences - Mkristo (msabato)
    6. Earth Sciences - Mkristo
  7. Deans wapo kwenye schools 13 kati ya hao ni wawili tu ni waislamu nao ni Dr. S. Vuai ambaye ni Mzanzibar wa pili kati ya wawili tu walio kwenye madaraka UDOM (kwa ufafanuzi Mzanzibari mwingine ni DR. Ame ambaye ni Mkurugenzi wa Graduate Studies)
  8. Dean of Students wote ni wakristo
  9. Directors wapo 6 wakristo ni 4 na waisilamu ni 2
  10. Secretary to Council ni Mkristo
  11. Chief Internal Auditor ni Mkristo
  12. Estate Manager ni Mkristo
Nimechunguza pia ofisi ya Bursar wakristo ni wengi tu.

Kwa kuhitimisha nashauri TUSIANGALIE IDADI YA UKRISTO NA USLAMU BALI TUPENDANE NA TUUNGANE KUJENGA NCHI YETU KWA KUTOA ELIMU BORA NA SIO MALUMBANO YASIYO NA MSINGI.

Kwa kufuata list hapo juu inaonyesha mada hii haina ukweli ya kuwa kuna udini.
 
Haya tenaaa! Kuna tatizo la msingi ktk uteuzi wa viongozi. Juma Mwapachu si mtu anayestahili kuonyesha mafanikio. Huyu ni mtu aliyefika hapo kwa sababu za kihistoria tu. Brain iko nusu na mbaya zaidi anahangaika sana kila wakati kuonyesha kwamba ni mwenye mafanikio.

Hapo kwenye RED mimi nashauri kesi hiyo ya matusi ipelekwe mahakamani. Yeye kuwa mwenyekiti wa Baraza isiwe sababu ya kutukana watu.

Kutukana ni kosa linalostahili kufikishwa mahakamani. Apelekwe hata kama mashahidi watagoma kusema walilosikia lakini itampa ufahamu kwamba hayuko juu ya sheria.

Kwanza kumuita Mugabe sio tusi. Na pili kuamriwa kuitisha uchaguzi kama katiba yao ndio inavyoonyesha, hakuna ubaya hapo. Ni vema kufuata taratibu zilizowekwa tena na wadau. Mfano kama muda wa uongozi wa UDOMASA ukipita sasa ataruhusiwa vipi kuingia kwenye baraza la chuo?. Akiwa kama nani na muda wake ulishapita?. Balozi yupo sahihi, hana kosa na hakutukana.
 
kwa kweli udini upo UDOM, alafu walioajiriwa kwa mgongo wa dini au u-mjomba wana lugha chafu haoooo....kuna dada mmoja anaitwa Cheusi ni secretary wa dean wa social science, duh huyu dada usiombe ni mvivu alafu lugha atumiayo kwa anaowahudumia sio nzuri hata kidogo.
 
Kuwa na Chancellor, VC, DVC ARC, Director HR, Bursar, Internal Auditor, Director Undergraduate Studies, Director Finance na kadha wa kadha Wakristo in maanisha UDSM ina udini?


"Kunya anye kuku akinya bata kaharisha"
wengine wapagani bwana hawana dini
 
Malalamiko hapo juu hayana uhusiano wowote na dini ya watu. Huyo Prof. Kikula ametumikia kama Director IRA pale UDSM, akaenda ARU/UCLAS kama Principal mbona hajawahi kulalamikiwa kuwa ni mwislamu? hata Juma Mwabachu ana CV kubwa sana lakini kwa sababu tu amekuja UDOM basi ni mwislam. JAMANI ACHENI HIZO BIASNESS ZA UDINI, unless una evidency ya jambo lililofanyika la udini - mwandishi unapotosha umma.

hizo nafasi za juu kuna akina Mkapa, mbona hawatajwi? DVC academic ambaye anaajiri waalimu ni mkristo mbona hatajwi? acheni KUPOTOSHA jamani. unataka kusema kuna mwalimu alishindwa kuajiriwa akiwa na sifa kwa sababu ni mkristo?

chancelor siyo mtendaji, na dvc academic hausiki hata kidogo na ajira kazi yake kubwa ni taaluma ambayo ni engine ya taasisi yoyote ya elimu ya juu ! ajira ambalo ndio bomu kubwa udom anahusika dvc wa utawala na fedha naomba pitia tena vizuri kwenye RED haupo sawa hata kidogo!
 
Ni mimi Niambieni. Samahani naomba msinitafisiri vibaya. Mimi sipendi udini bali napenda yote yampendezayo MUNGU. Naomba soma kwa makini na tafakari, ila nakuomba usikasirike wala usidhani nina chuki bali nina upendo


SOMO MUHIMU KWA WOTE PAMOJA NA
WAISLAM NA WAKRISTO WOTE

ACHA MAUAJI, ACHA CHUKI, ACHA MAOVU, ACHA DHAMBI. OKOKA! YESU NI MWOKOZI -" Naye atazaa mwana,nawe utamwita jina lake Yesu,maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao" (MT 1: 21).

UKIBISHA FAHAMU YA KUWA "… mshahara wa dhambi ni mauti. Bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu" (Warumi 6: 23).
OKOKA "Kwasababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako yakuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako yakuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka" (Warumi 10:9). Wapo wakristo wengi tu wanasema eti hakuna wokovu wakati Biblia zao zina warumi 10:9.


HAKUNA NJIA INGINE YA WOKOVU BALI NI KUPITIA KWA YESU TU!
TUSIPENDE UDINI TUPENDE YOTE YAMPENDEZAYO MUNGU
 
kwa kweli udini upo UDOM, alafu walioajiriwa kwa mgongo wa dini au u-mjomba wana lugha chafu haoooo....kuna dada mmoja anaitwa Cheusi ni secretary wa dean wa social science, duh huyu dada usiombe ni mvivu alafu lugha atumiayo kwa anaowahudumia sio nzuri hata kidogo.

Bado sijaona udini wowote hapo! lugha chafu na uvivu si uisilamu hata kidogo! Tutatue matatizo yaliyopo, tuepukane na udini!
 
Jana wahadhiri Chuo Kikuu cha Dodoma walifanya mkutano mkuu wa mwaka (General Assembly), pamoja na mambo kadhaa wameazima kuanza mgomo kuanzia kesho alhamisi saa 2 asubuhi.

Tukio hili kwanza limechochewa na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Balozi Mwapachu, wiki iliyopita kwenye baraza la chuo alimtukana Mwenyekiti wa jumuiya ya wahadhiri kwa kumuita Mugabe kwa sababu hataki kuitisha uchaguzi. Na akaamuru kikao kijacho asiingie kama uchaguzi hamna. [Tunaamini wana mpango wa kupandikiza mtu wao]

Kati ya mambo yaliyosababisha wahadhiri hao kubaki Chimwaga kwa ajili ya mgomo ni kama ifuatavyo:

1. Chuo kinadai serikali inawaletea hela kidogo sana, ambazo hazitoshelezi, hivyo wanataka kufanya cost cutting: Kuwanyanganya nyumba wahadhiri wote walio chini ya level ya udaktari,: kuanza kutozwa nauli kwenye mabasi, maarufu kama kitumbo au Zonda, kwa siku 2000, wakati nauli ya daladala kwenda na kurudi ni 600 tu.

Wafanyakazi wote kama huna bima ya afya unajigharamia matibabu. Mwalimu atakayeenda kusoma kukatwa mshahara wake. Pia imepiga marufuku walimu kwenda kusoma nje ya UDOM.

Hali ya kuwa chuo chenyewe hakina wahadhiri kabisa. (TA anafundisha shahada ya kwanza, wahadhiri ambao hata sio madaktari wanafundisha shahada ya uzamili, mtu amemaliza Masters anakwenda kufundisha masters).

Kibaya zaidi wahadhiri walikuwa wakilipwa kwa ajili ya kusimamia mitihani (Invigilation) 15,000 kwa kipindi, na kusahihisha (Marking allowance) 500 kwa script moja. Na hii hela inatokana na ada ya mtihani ambayo hulipwa na kila mwanafunzi tsh 20,000, malipo hayo nayo yamesimamishwa, wakati huo huo wanafunzi badala ya kulipa 20,000 wanatakiwa walipe 40,000 kwenye hiyo proposal mpya.

2. Kwenye baraza la chuo, walitangaziwa Prof. Shaban Mlacha ameongezewa miaka minne na Raisi Jakaya Kikwete. Wahadhiri wanahoji mgomo wa mwaka jana,wa walimu na wanafunzi,waziri Mkuu Mizengo Pinda aliahidi atarudi kuja kutoa ufafanuzi hatua zilizofikiwa na serikali, hajarudi, wala ripoti ya tume alizounda haijatolewa, manunguniko ya wafanyakazi, na wanafunzi hayajafanyiwa kazi kabisa.

Hili limesababisha wastani wa wafanyakazi watatu wakiwemo Prof. na madaktari huacha kazi kila mwezi. Kuanzia July 2011, hadi July 2012, jumla ya wafanyakazi 42 wameondoka chuo kwa sababu mbalimbali ikiwemo kuacha kazi (resignation). Mbaya zaidi kumekuwa na ulipizwaji kisasi wa hali ya juu. Wahadhiri wamefukuzwa sana kazi, na baadhi ya kesi zipo mahakamani.

Kibaya zaidi imethibitika kikwete kawaongezea muda viongozi wote wa chuo. Prof. Kikula alistaafu 15 December 2012, ameongezewa nae mkataba, pamoja na lawama zote. Hili wamelichukulia kama Serikali haiwajibiki na imeonyesha dharau kubwa sana, lakini kibaya zaidi hili limechukuliwa kwenye taswira ya Udini, ambao umekuwa ukikitafuna chuo, kufikia hatua ya kuunda kamati ya kushughulikia suala hilo, ambayo pia inasemekana *ilivunjika bila mafanikio kabla hata ya kuanza kazi.

3. Kumekuwa na maswala ya udini sana, na hili lawama zinaelekezwa kwa Mh. Rais namna ya uteuzi wake lakini na baadae ajira. Na hivyo waislamu kujiwekea territory. Mwenyekiti wa baraza, VC, DVC PFA, Bursar, Afisa Mwajiri Mkuu na baadae kundi kubwa sana la wazanzibari waliletwa kwa kupitia Mkurugenzi wa Stadi za elimu ya juu Dr. Ahmed Ame.

Huu ubaguzi umetutafuna hadi kwa wanafunzi, utauona dhahiri wakati wa uchaguzi, na mwaka jana ghasia hizo za kidini zilipelekea vurugu na wanafunzi kujeruhiwa na mpaka sasa kesi zipo mahakamani zinaendelea.

4. Uongozi wa chuo ulipandikiza watu waliojidai usalama wa taifa, na kuanza kupita kwa viongozi kwa ajili ya kuwatisha kuwaua akiwemo aliyekuwa kiongozi mahiri na machachari, Mwenyekiti wa Chama cha wafanyakazi, na Makamu wa Jumuiya ya wahadhiri – UDOM.

Kesi hiyo ipo Polisi na ilisharipotiwa Usalama wa Taifa Mkoa, pamoja na ushahidi wote kuwepo, inasemekana Dr. Shukuru Kawambwa alimuombea msamaha afisa huyo feki (Khalifa Kondo), ambaye mmoja wa ndugu yake inasemekana alitajwa kuhusika kwenye shambulio la Ulimboka (Angalia Mwanahalisi la mwisho). Tuhuma hizi pamoja na kufikishiwa viongozi mbalimbali wa Serikali hayajafanyiwa kazi.

5. Tatizo la mishahara kupunjwa na watu kutopanda madaraja kwa wakati limeendelea kuwa tatizo sugu. Ajira bado taratibu haziko wazi, inasemekana ili uajiriwe Finance Department lazima uwe muislamu. Sijui?? Fika UDOM upate takwimu (Bursar- Mohamed Mwandege, Msaidizi wake Rukia, wengine Chang’a, Mwinyi, Athuman Chamosi na wengine watano wote waislamu), masuala haya ndiyo yanaleta mgogoro kwa kuwa hayana ufafanuzi.

6. Kikubwa uongozi wa chuo umekuwa ukikataa kukutana na wahadhiri, walikutana mara moja baada ya Waziri mkuu kuwaamrisha baada ya hapo, walijibu barua kali sana wakionya wasiitwe tena, barua hiyo ilitoka kwa Naibu Makamu Mkuu wa chuo – Taaluma, utafiti na ushauri), sasa hapa wameazimia hawatatoka chimwaga, ukumbi maarufu kwa ajili ya mapambano hadi viongozi hao waje, na Waziri Mkuu aje awaambie mbona hajawasaidia kutatua matatizo yao?

(Ufafanuzi zaidi: Paul Loisulie, Mwenyekiti Jumuiya ya walimu au Lameck mjumbe kamati ya utendaji, jumuiya ya walimu au Richard Alphone huyu anaweza kukupatia hata baadhi ya documents)

(Kwa upande wa uongozi wa chuo, taarifa hizi wanaweza kutolea ufafanuzi Makamu mkuu wa Chuo Prof. Idris Kikula, Mwenyekiti wa baraza la Chuo Balozi Juma Volter Mwapachu. Kuhusu usalama wa raia feki suala hili liko kwa Regional security Officer RSO)


Kuna maswali mengi kuliko majibu kwenye tuhuma zenu.

Mosi; Kama katika madai yenu ya umoja wa wanataaluma unamadai, je, umoja huo ni wa wakristo pekee?

Pili; Iwapo hamfungamani na upande wowote, je, si matumizi mabaya ya madaraka yenye ubaguzi wa kidini kama hao mnaowatuhumu?

Tatu; Umesema maamuzi ya baraza la chuo ni kuondoa baadhi ya "priviledge" kama usafiri na matibabu, je uamuzi huo hauwaathiri waislamu?

Nne; Je, nini uwiano wa wakristo na waislamu?

Tano; Je, wakuu wa 'schools' wana nguvu gani katika mfumo wa maamuzi wa chuo?

Sita; Je, madai yenu ni dhulma dhidi ya dini ya moja au haki zenu?
 
Malalamiko hapo juu hayana uhusiano wowote na dini ya watu. Huyo Prof. Kikula ametumikia kama Director IRA pale UDSM, akaenda ARU/UCLAS kama Principal mbona hajawahi kulalamikiwa kuwa ni mwislamu? hata Juma Mwabachu ana CV kubwa sana lakini kwa sababu tu amekuja UDOM basi ni mwislam. JAMANI ACHENI HIZO BIASNESS ZA UDINI, unless una evidency ya jambo lililofanyika la udini - mwandishi unapotosha umma.

hizo nafasi za juu kuna akina Mkapa, mbona hawatajwi? DVC academic ambaye anaajiri waalimu ni mkristo mbona hatajwi? acheni KUPOTOSHA jamani. unataka kusema kuna mwalimu alishindwa kuajiriwa akiwa na sifa kwa sababu ni mkristo?

anayeajiri ni DCV Academic au DVC Administration ? siku zote inajulikana kuwa Utawala (Administration) ndio wanaoajiri.
 
Tupeni Updates za mgomo sasa. Mbona kimya? Mgomo umeshaanza au bado? n00b tafadhari mkuu!
 
Ninachoona hapa ni kuwa kuna waliotumwa kuvuruga madai halisi ya wahadhiri kwa kuongeza hoja ya udini isiyokuwa na msingi wala ukweli. Na wenye madai yenu msiposimama kuipinga hii, hamtafanikiwa kamwe. Hoja ya udini itawagawanya mtashindwa kupigania haki yenu.
 
Haya tenaaa! Kuna tatizo la msingi ktk uteuzi wa viongozi. Juma Mwapachu si mtu anayestahili kuonyesha mafanikio. Huyu ni mtu aliyefika hapo kwa sababu za kihistoria tu. Brain iko nusu na mbaya zaidi anahangaika sana kila wakati kuonyesha kwamba ni mwenye mafanikio.

Hapo kwenye RED mimi nashauri kesi hiyo ya matusi ipelekwe mahakamani. Yeye kuwa mwenyekiti wa Baraza isiwe sababu ya kutukana watu.

Kutukana ni kosa linalostahili kufikishwa mahakamani. Apelekwe hata kama mashahidi watagoma kusema walilosikia lakini itampa ufahamu kwamba hayuko juu ya sheria.
........

You are not serious! Unamaanisha hata nafasi ya ukatibu mkuu wa EAC Juma Mwapachu alipewa 'kihistoria' na kwa 'akili nusu'? Naomba tu uache haya matusi! Au nawe ni mmojawapo katika waliotumwa kuwavuruga wahadhiri kwenye umoja wao?
 
Chimwanga simu hazikamati nini? Tupeni updates tafadhari hata kama ni kwa mchina.

Tumshukuru MUNGU naona wahadhiri UDOM "wamegoma kugoma" na hali ni nzuri na tazama MUNGU amesikia maombi yetu.

TUMWOMBE MUNGU adumishe upendo, amani na furaha kwenye jamii yetu na hata zituzungukazo na duniani kote.

Ukweli ni furaha kuu kama wooooteeee siku moja tukikutana mbinguni na kufurahia na wote walio huko. Ningependa hata shetani atubu na abadilike na kuwa pendezo kwa MUNGU MUUMBA WETU.

UPENDO NI TUNDA TAMU SANA. JARIBU KUMPENDA JIRANI YAKO, UONE TABASAMU NA HISIA ZAKE, NI KUWA UPENDO UZAA UPENDO. WAHADHIRI UDOM, MUNGU ANAWAPENDA SANA
 
Back
Top Bottom