Dalili za kujilipua hizo!
Si kweli mkubwa, nimesikia RWANDA inawajali sana wafanyakazi na inawalipa vizuri na kutoa maslahi muhimu kwao. Kuna watu kibao wanatimkia huko jaribu na wewe acha kukaa huko Zanzibar.
Je itakuwaje kama hata hao FFU wa JK nao watajiunga kwenye mgomo wakidai maisha mazuri kama ya wenzao kule Mwenge??????
Rais aliambatana na Makamo wake, CDF, IGP na wengine...
Kwa yale aliyoongea, tusubiri tarehe nane ifike kisha tutajua mbivu na mbichi
Hamna hotuba isyo enda shule kama ya jana. Hivi wale walikuwa ni wazee wa Dar es salaam au walikuwa wanachama wa CCM?