Hizo ni porojo tu, watabana wataachia kwa kuwa wengi wanafuata mkumbo wa frustrated individuals ambao they have nothing to lose
Wapi Vimon na Dr. Clinton watupe updates.
Nilikuwa nasikia tu ila nimekuja kuamini madaktari wakitanzania wana ufinyu wa fikra, hivi mawaziri wakijiuzulu ndio hayo wayatakayo yatakuwa materialised?. Hawana uhakika na hilo, kwa hiyo kujiuzulu kwao sio solution kabisa. Hawa jamaa wana akili km za nyanya chungu kabisa, kuivia kwenye mboga na kuliwa basi
Jana nilikwambia kuwa safari hii mtakoma....mgomo uko pale pale
Ndivyo unavyosuluhusha matatizo yako home eeh. Ngoja uone madhara ya kupuuzia madai ya wanachi, huku ukijua wewe una insurance saafi hospitali kubwa. Kuna tatizo gani ukampeleka haji musumbiji akawe balozi na kuwafanya wabongo wawe na amani huku ukijua from the first alikuwa anashirikaiana na mama nyoni kusolve problem.
Na mbaya zaidi Waziri wa afya alishapeleka barua ya ku resign tatizo ni JK kampa kiburi
Nilikuwa nasikia tu ila nimekuja kuamini madaktari wakitanzania wana ufinyu wa fikra, hivi mawaziri wakijiuzulu ndio hayo wayatakayo yatakuwa materialised?. Hawana uhakika na hilo, kwa hiyo kujiuzulu kwao sio solution kabisa. Hawa jamaa wana akili km za nyanya chungu kabisa, kuivia kwenye mboga na kuliwa basi
Nilikuwa nasikia tu ila nimekuja kuamini madaktari wakitanzania wana ufinyu wa fikra, hivi mawaziri wakijiuzulu ndio hayo wayatakayo yatakuwa materialised?. Hawana uhakika na hilo, kwa hiyo kujiuzulu kwao sio solution kabisa. Hawa jamaa wana akili km za nyanya chungu kabisa, kuivia kwenye mboga na kuliwa basi
Mpaka kieleweke.....JK atakimbia Magogoni.
Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu.
Hauwezi kabisa kila siku ukaja na malalamiko mapya ukae uchekewe tu. Nawaomba sana serikali isiwasikilize kabisa na iwape 2 hours wawepo kwenye kazi zao nje ya hapo, wachukuliwe hatua kali sana ikiwepo na kushtakiwa kwa kila kifo kitachotokea wakati wa mgomo, wakasote jela wakijibu kesi za mauaji.
Nilikuwa nasikia tu ila nimekuja kuamini madaktari wakitanzania wana ufinyu wa fikra, hivi mawaziri wakijiuzulu ndio hayo wayatakayo yatakuwa materialised?. Hawana uhakika na hilo, kwa hiyo kujiuzulu kwao sio solution kabisa. Hawa jamaa wana akili km za nyanya chungu kabisa, kuivia kwenye mboga na kuliwa basi
Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu.
Hauwezi kabisa kila siku ukaja na malalamiko mapya ukae uchekewe tu. Nawaomba sana serikali isiwasikilize kabisa na iwape 2 hours wawepo kwenye kazi zao nje ya hapo, wachukuliwe hatua kali sana ikiwepo na kushtakiwa kwa kila kifo kitachotokea wakati wa mgomo, wakasote jela wakijibu kesi za mauaji.
Mkuu wewe hukomi? au unaushirikiano na sir GOD nini? unaweza hata kupata pigo la kupofuka macho kma unashabikia Madaktari kugoma. Waumini wa dini mbalimbali tuungane kuwaombea mabaya akina NAMALA, BISIMBA, ANANILEA na wengine wote wanaounga mkono mgomo ili wagonjwa wafe.
Dume la Mbegu usifanye ushabiki kwenye hili,hoja ya madaktari ni ya msingi labda kama kuna kitu hukijui ni hivi!kikao kilichokuwa kinaendelea kuna wajumbe wanatoka wizara ya Afya sasa huwezi kuendelea kujadili jambo ambalo kabla halienda kupatiwa ufumbuzi lazima lipite mezani kwa waziri na wazri huyo ni mtuhumiwa,je unategemea nini kitatokea?kwanza apishe nafasi yake ili watu wawe huru kujadili na kutafuta suluhu ya matatizo ya wizara,maana huwezi ku-review mishahara ya madaktari bila ya wizara ya afya kuhusika.
Na kingine tukumbuke mgomo wa leo ulianza siku kabla mgomo wa leo ni unatokana na wa awali na hawa mawaziri kama wangekuwa competent enough wala ule wa awali usingetokea mwisho wa siku tunajua yale waliokuwa wanaropoka hao mawaziri.
N kingine uwajibikaji jamani ni muhimu sana,tuache kufanya kazi kwa mazoea,na hili litakuwa fundisho kwa mawaziri kukimbilia wizara wakati hawana uwezo,lakini pia itkuwa fundisho kwa serikali kushughulikia matatizo ya wizara mbali mbali pamoja na ya watanzania kwa ujumla.kimsingi naunga mkono kuondoka kwa mawaziri hawa