Mgomo wa madaktari - Updates

Hizo ni porojo tu, watabana wataachia kwa kuwa wengi wanafuata mkumbo wa frustrated individuals ambao they have nothing to lose

Ahsante...there is no better way of describing a Tanzanian doctor than a 'frustrated individual', but not anymore, and this is the time!...and you got that right, we aint got nothing to loose! Ogopa kushindana na mtu hasiye na cha kupoteza!
 
META -Mbeya tayari vitendea kazi vimewekwa chini
 
Sote tunajua madhara ya mgomo tarajiwa. Serikali yaweza kuepusha madhara kwa jamii pana zaidi kwa kuwaondoa/hamisha hao watu wawili. Hakuna haja ya serikali kukomaa inatakiwa i compromise kwenye hii issue
 

Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako
 
Jana nilikwambia kuwa safari hii mtakoma....mgomo uko pale pale

Mkuu wewe hukomi? au unaushirikiano na sir GOD nini? unaweza hata kupata pigo la kupofuka macho kma unashabikia Madaktari kugoma. Waumini wa dini mbalimbali tuungane kuwaombea mabaya akina NAMALA, BISIMBA, ANANILEA na wengine wote wanaounga mkono mgomo ili wagonjwa wafe.
 

unaongea kama vile wewe siyo binadamu. au wewe jini nini sasa utafaidi nini Madaktari wakigoma? au umeahidiwa na wewe kitu kama walivyoahidiwa wana harakati?
 
madaktari msiturudishe tulikotoka kaa meza moja na serikali zungumzeni. Kauli ya Pinda jana inaonyesha mnaweza kukaa tena meza moja mkazungumza.
 

Nakushauri ukajifunze matusi mapya...hayo tushazoea mbona, wala wewe si wa kwanza kutukana, mtatukana sana tuu! kujiuzulu kwa mawaziri si utatuzi wa matatizo ya madaktari na utoaji wa huduma bora za afya, bali ni hatua ya kwanza kuelekea huko!
 

Dume la Mbegu usifanye ushabiki kwenye hili,hoja ya madaktari ni ya msingi labda kama kuna kitu hukijui ni hivi!kikao kilichokuwa kinaendelea kuna wajumbe wanatoka wizara ya Afya sasa huwezi kuendelea kujadili jambo ambalo kabla halienda kupatiwa ufumbuzi lazima lipite mezani kwa waziri na wazri huyo ni mtuhumiwa,je unategemea nini kitatokea?kwanza apishe nafasi yake ili watu wawe huru kujadili na kutafuta suluhu ya matatizo ya wizara,maana huwezi ku-review mishahara ya madaktari bila ya wizara ya afya kuhusika.
Na kingine tukumbuke mgomo wa leo ulianza siku kabla mgomo wa leo ni unatokana na wa awali na hawa mawaziri kama wangekuwa competent enough wala ule wa awali usingetokea mwisho wa siku tunajua yale waliokuwa wanaropoka hao mawaziri.
N kingine uwajibikaji jamani ni muhimu sana,tuache kufanya kazi kwa mazoea,na hili litakuwa fundisho kwa mawaziri kukimbilia wizara wakati hawana uwezo,lakini pia itkuwa fundisho kwa serikali kushughulikia matatizo ya wizara mbali mbali pamoja na ya watanzania kwa ujumla.kimsingi naunga mkono kuondoka kwa mawaziri hawa
 
Mpaka kieleweke.....JK atakimbia Magogoni.


Akimbie kwa lipi? nilitegemea watu wangejadili hili suala kwa kuangalia wananchi zaidi ambao wengi wetu tunaguswa nao kuliko madaktari ambao mgomo wanaoufanya una manufaa kwao tu na si kwa wananchi wote.
 
mgomo wa kwanza ndugu zetu walikufa lakini ndugu wa madaktari wakahudumiwa na kuponywa..... nothing to lose
 

Kamwambie aliyekutuma kwamba wewe ni kama yule yohana mjinga asiyetumia akili kufanya alichotumwa. Umejuunga juzi tu kutimiza malengo hayo?
 

Si uende wewe mwenye akili sana. Mlikuwa mnategemea vitisho na kuona serikali iliyoshika mpini inaweza kujifanyia uozo wake bila kushinikizwa. Wako wapi wale waliosema kuwa hakitatokea kitu. Hii nchi haiongozi kwa taadhari bali ni kwa matukio na propaganda.
 

uuliwe wewe ugua na ufe.
 

nikome nini?? wacha wagome....na watu kama wewe hamfai kuishi kabisa
 

Unachokiona ni sahihi wewe usimlazimishe mtu mwingine kuamini hivyo...lakini pia na wewe angalia ni upande upi unatakiwa kutetewa...hapo ulipo ukiumwa unatibiwa na nani au hayo madai ya madaktari hasa ya kujaziwa posho wewe kama wewe yanakusaidia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…