Serikali haiwezi kuinuka dhidi ya wananchi wake ikabakia kuwa serikali halali.
kada inayogoma siyo wananchi wa kawaida,ni nani wataathirika kutokana na mgomo huo?Tatizo wanaogoma sio wananchi wa kawaida, ni kada moja tu ndo maana nahisi serikali haijishtukii kiivyo!!?
Wewe kweli mzima ?Nakuunga mkono mheshimiwa Pinda, wacha madaktari wagome.
Kwani wakigoma anayeumia nani? si babu zao, bibi zao, shangazi zao ,kaka zao wa Namtumbo, Nachingwea, Tandahimba, Kilindi na Kahama?
Pinda amezidi kuonyesha madhaifu yake... Awali aliwapiga bit madaktari na kusema ataleta wanajeshi ila mwisho wa siku hatukuona wanajesh wala nin zaidi akawa mpole akakubali kuyaongea na madaktari.. Wakakubaliana waliyokubaliana ila kwenye utekelezaji kama kawaida ya serikali yetu imekuwa ngumu... Leo Pinda anachimba bit tena kuwa sheria haiwaruhusu kugoma na wakigoma watatafuta mbadala... Hapa nazidi kuamin kura za serikali iliyopo madarakan sio za halali... Hili tunaloliona Arumeru sasahv ndio njia iliyowapitisha wengi
.... Hela za kampen zipo ila za madaktari hakuna... Hata mtu kuwajibika kwa kujiuzuru ni ishuu.... Nashindwa kuielewa hii serikali yetuuu...
Huu mgomo ni wa kisiasa zaidi kuliko kudai masilahi. Nina waomba vijana wetu madktari, achaneni na mambo ya kisiasa kabisa. Taaluma yenu si siasa bali ni kutibu. Msikubali kabisa kutumiwa na wanasiasa.
ANGALIZO
Ubovu wa serikali usitufanye wajinga kiasi kwamba tuanze kuchekelea watu fulani waanze kuweka afya zetu rehani kupata wanacho kitaka kwasbabu tu wanadhani wao ni watu muhimu kuliko wengine.
Kitendo cha kuanza kuingilia mambo ya siasa na kuweka kando kwanza madai yao ya msingi hakina mantiki kwa wagonjwa wetu watakao poteza maisha eti kwasababu tu watu walio na dhamana ya kuwashughulikia wamegoma kwakuwa rais hajamfukuza kazi waziri na naibu wake, what a shame......
UPUMBAVU MWINGINE HAUVUMILIKI JAMANI, TUAMKE
****, **** **** - safisha masaburi yako kwa colgate ndo uongee mpuuzi mkubwa wewe!!!ANGALIZO
Ubovu wa serikali usitufanye wajinga kiasi kwamba tuanze kuchekelea watu fulani waanze kuweka afya zetu rehani kupata wanacho kitaka kwasbabu tu wanadhani wao ni watu muhimu kuliko wengine.
Kitendo cha kuanza kuingilia mambo ya siasa na kuweka kando kwanza madai yao ya msingi hakina mantiki kwa wagonjwa wetu watakao poteza maisha eti kwasababu tu watu walio na dhamana ya kuwashughulikia wamegoma kwakuwa rais hajamfukuza kazi waziri na naibu wake, what a shame......
UPUMBAVU MWINGINE HAUVUMILIKI JAMANI, TUAMKE
kada inayogoma siyo wananchi wa kawaida,ni nani wataathirika kutokana na mgomo huo?
Mkuu with all due respect.............****, **** **** - safisha masaburi yako kwa colgate ndo uongee mpuuzi mkubwa wewe!!!
****, **** **** - safisha masaburi yako kwa colgate ndo uongee mpuuzi mkubwa wewe!!!
ANGALIZO
Ubovu wa serikali usitufanye wajinga kiasi kwamba tuanze kuchekelea watu fulani waanze kuweka afya zetu rehani kupata wanacho kitaka kwasbabu tu wanadhani wao ni watu muhimu kuliko wengine.
Kitendo cha kuanza kuingilia mambo ya siasa na kuweka kando kwanza madai yao ya msingi hakina mantiki kwa wagonjwa wetu watakao poteza maisha eti kwasababu tu watu walio na dhamana ya kuwashughulikia wamegoma kwakuwa rais hajamfukuza kazi waziri na naibu wake, what a shame......
UPUMBAVU MWINGINE HAUVUMILIKI JAMANI, TUAMKE