Mkubwa ukisoma hii thread utaona nimesema ID zimeanza kugaiwa ghafla last week yaani ni kama kamtego kwakuwa walijua wote tunataka tufanye examz na hivyo walijua tutaangaika tu mpaka tuipate hiyo hela fine, tatizo likawa hiyo process yao ya kuishue ID kama ukilipa ni kero, nenda huku rudi huku, peleka asubuhi njoo jioni, system iko down, mara sijui nenda ofisi ile lakini imefungwa, huku wanamsaidia huyu wewe hapana, kero tupu yaani mimi binafsi nimetumia siku 4 kuanzia alhamisi ID nikafanikiwa kupewa jumapili na wakati jtatu asubui nna mtihani. Na wakati huo huo lugha zao zilikuwa chafu na za dharau sana. Unanimbia nijiandae tu, siwezi coz last tym kwenye test 2 walinizui kufanya test kwa kuwa sikuwa nimeshughulikia ID yangu mapema nikakosa test, leo ntawezaje kusoma na ID sijapata?
Kingine prospectus inaniambia leo ndio siku ya mwisho ya kulipa ada sasa kwanini uninyime kufanya mtihani wakati muda wa kulipa ada bado ninao? Siwezi kuogopa jeshi, waandishi wa habari wala raisi kama wanakosea nitawaambia kosa lao bila kujali uwezo wao, haiwezekani waripoti kitu ambacho sio kweli haukugomea mitihani wala hatugomei mitihani leo.
Mimi najua matatizo ya chuo changu na ninajua kuwa madai yangu ni ya msingi na muhimu ili niweze kusoma vizuri na kumaliza chuo salama coz najua nilichokifuata hivyo basi naomba usinifananishe wala kunihusisha na migomo ya vyuo vingine bali judge me according to the problem at hand an nt otherwise.