Mgomo mwingine walipuka IFM

Very unfair..kwa nini vijana wetu wasome kwenye mazingira magumu hivi?
Kwa kweli hali tuliyofikia kwenye sekta muhumu ya elimu inasikitisha sana
 
nasikia mkuu wa chuo amekubaliana na matakwa ya wanafunzi kuwa watasogeza mitihani mbele ili waweze kumalizia kutoa vitambulicho vya mitihani kwa nafasi na mambo mengine je ni kweli management imesalimu amri!!!!!!!!!

hii ni kweli kabisa
 
mmh! huwa nina wasiwasi na migomo inayoanzishwa wakati wa mitihani.Examination fever hiyo jamani!wakiambiwa waende tu kwenye mitihani na vitambulisho vya shule tu badala ya vitambulisho vya mitihani bila kujali kama umemaliza ada au la watakubali?TAFAKARI
Tafadhali elewa hoja kuu yahuo mgomo,
Muache kejeli watu msiojua hali halisi ya pale IFM
Mi nina mdogo wangu yuko pale na ninataarifa za huo mgomo wote
Kuna wananfunzi wengi tu hawajamaliza kulipa ada zao na walikuwa wanakatazwa kufanya mtihani,
Kwa nini wasiachwa tu wafanye mtihani kwanza? wakirudi wanalipa ada iliyobakia??
swala la vitambulishwao kucheleweshwa pia ni moja ya madai ya wahusika.
 
Kuna watu wavivu wa kuchanganua mambo hadi wanaudhi, sisi hatujagome mitihani bali madai yetu ya msingi ni;
1.Tunataka wanafunzi wote waruhusiwe kufanya mitihani na sio kuwabagua waliomalzia na ambao hawajamalizia
2. Mitihani isigezwe wiki moja mbele kwani watu walishtuliwa ghafla na unataratibu huu mbovu, unaosumbua na kukera wa kutoa ID mpya kwahiyo hao wachache walio hangaika hadi kuzipata walipoteza muda mwingi (3 to 4 dayz) kuhangaikia hizo ID na sio kusoma.
3. Majibu mabovu, kejeli na dharau za management zishughulikiwe
3. Tunataka kujua coursework zetu zote kabla hatuja seat for our finalz.
Sasa nyie waandishi feki mliochakachua taaluma zenu endeleeni kukurupuka na kutoa taarifa zenu mnazotaka kutoa. After all those are your reports nt ours.
 
Nyantella nafurahi kuwa unafikiria vyema. Nasema hivyo kwa kuwa ili ufikiri kisomi hasa kiinterlectual lazima uangalie pande mbili za shilingi. Umeangalia wanafunzi na pia utawala. Kuna mtu kasema leo ndiyo siku ya mwisho ya kulipa ada na hajalipa au atalipa leo wakati huo huo anasema angepaswa apewe ID kabla hajalipa sidhani kama hiyo ipo duniani. Pili mtu alikua anajua kuwa ana mtihani asijiandae tu kwa kuwa hajapewa ID, ndicho kinampa stress? Jamani wanafunzi wenzangu tujiangalie msiwe kama wale wenzangu wa injinia UDSM wanalazmisha mwezao arudi chuoni ilihali mwenzao kakosea kujitetea toka mwanzo.

Kwa upande wa utawala nadhani lazima kuna tatizo la kupashana habari (information management) wanafunzi hasa wale ambao wanaona elimu ya chuo ni ya kubabaisha tu hivyo kula goodtime huwa wanatafuta loophole hivyo kama taarifa hazitembei itakua ndio kigezo cha kuanzia na kuwa provoke wengine. Wanafunzi wanahitaji kutaarifiwa au kukumbushwa kuhusu kulipa ada kwa wakati kila mara. Alafu kama mwanafunzi ameshalipa apatiwe ID ili awashawishi wengine walipe.

Kuhusu vyombo vya habari. Ninachoamini hakuna kitu kibaya kama kugombana na waandishi wa habari hata kama ni mmoja hasa wanafunzi maana hujui ukitoka chuoni utaenda wapi unatakutana na nani. Na hasa kwa mambo ya sasa ambapo kila kitu kinafanywa siasa hata pale panapohitaji sayansi asilia na ndiyo maana mwenzangu ameuliza kama tunaweza kupambana kuhusu maslahi ya umma au kugombania elimu kama ilivyo kwa maslahi binafsi? Nakumbuka nikiwa secondari umeme ukikatika tulikua tunashangilia lakini nlipotua chuo ilikua umeme unapokatika watu ni vilio lakini is quit diferent this time ingawa siyo kwa wote ila utkuta mwanafunzi wa chuo anafurahi umeme ukikatika anafurahi na kusema afadhali tukose wote, watu hawamsikilizi mwalimu na kutake notes wanasubiri wezao waandike wao watoe copy na kusoma kama mwezake aliyoelewa na kuandika, mtu yuko chuo kikuu lakini yeye ananoye book 2 tu kwa masomo yote na madesa kibao na photocopy ya madaftari ya wenzie mwalimu akifundisha yeye anasikiliza mziki through earphones akisema kibonde tunaanza kulalama, tunakuwa kama serikali bana kupenda kusemwa vizuri tu ikisemwa vibaya inakasirika? Kwani alichosema Kibonde kuhusu wanafunzi wa vyuo vikuu vimeanza kusemwa leo kwani uongo? Magazeti ya udaku yamekua yakieleza yaleyele lakini hawakushambuliwa lakini kwasababu tu aliyasema wakati muafaka ndio tunaanza kulalama.
 
Nyantella nafurahi kuwa unafikiria vyema. Nasema hivyo kwa kuwa ili ufikiri kisomi hasa kiinterlectual lazima uangalie pande mbili za shilingi. Umeangalia wanafunzi na pia utawala. Kuna mtu kasema leo ndiyo siku ya mwisho ya kulipa ada na hajalipa au atalipa leo wakati huo huo anasema angepaswa apewe ID kabla hajalipa sidhani kama hiyo ipo duniani. Pili mtu alikua anajua kuwa ana mtihani asijiandae tu kwa kuwa hajapewa ID, ndicho kinampa stress? Jamani wanafunzi wenzangu tujiangalie msiwe kama wale wenzangu wa injinia UDSM wanalazmisha mwezao arudi chuoni ilihali mwenzao kakosea kujitetea toka mwanzo.

Kwa upande wa utawala nadhani lazima kuna tatizo la kupashana habari (information management) wanafunzi hasa wale ambao wanaona elimu ya chuo ni ya kubabaisha tu hivyo kula goodtime huwa wanatafuta loophole hivyo kama taarifa hazitembei itakua ndio kigezo cha kuanzia na kuwa provoke wengine. Wanafunzi wanahitaji kutaarifiwa au kukumbushwa kuhusu kulipa ada kwa wakati kila mara. Alafu kama mwanafunzi ameshalipa apatiwe ID ili awashawishi wengine walipe.

Kuhusu vyombo vya habari. Ninachoamini hakuna kitu kibaya kama kugombana na waandishi wa habari hata kama ni mmoja hasa wanafunzi maana hujui ukitoka chuoni utaenda wapi unatakutana na nani. Na hasa kwa mambo ya sasa ambapo kila kitu kinafanywa siasa hata pale panapohitaji sayansi asilia na ndiyo maana mwenzangu ameuliza kama tunaweza kupambana kuhusu maslahi ya umma au kugombania elimu kama ilivyo kwa maslahi binafsi? Nakumbuka nikiwa secondari umeme ukikatika tulikua tunashangilia lakini nlipotua chuo ilikua umeme unapokatika watu ni vilio lakini is quit diferent this time ingawa siyo kwa wote ila utkuta mwanafunzi wa chuo anafurahi umeme ukikatika anafurahi na kusema afadhali tukose wote, watu hawamsikilizi mwalimu na kutake notes wanasubiri wezao waandike wao watoe copy na kusoma kama mwezake aliyoelewa na kuandika, mtu yuko chuo kikuu lakini yeye ananoye book 2 tu kwa masomo yote na madesa kibao na photocopy ya madaftari ya wenzie mwalimu akifundisha yeye anasikiliza mziki through earphones akisema kibonde tunaanza kulalama, tunakuwa kama serikali bana kupenda kusemwa vizuri tu ikisemwa vibaya inakasirika? Kwani alichosema Kibonde kuhusu wanafunzi wa vyuo vikuu vimeanza kusemwa leo kwani uongo? Magazeti ya udaku yamekua yakieleza yaleyele lakini hawakushambuliwa lakini kwasababu tu aliyasema wakati muafaka ndio tunaanza kulalama.

Mkubwa ukisoma hii thread utaona nimesema ID zimeanza kugaiwa ghafla last week yaani ni kama kamtego kwakuwa walijua wote tunataka tufanye examz na hivyo walijua tutaangaika tu mpaka tuipate hiyo hela fine, tatizo likawa hiyo process yao ya kuishue ID kama ukilipa ni kero, nenda huku rudi huku, peleka asubuhi njoo jioni, system iko down, mara sijui nenda ofisi ile lakini imefungwa, huku wanamsaidia huyu wewe hapana, kero tupu yaani mimi binafsi nimetumia siku 4 kuanzia alhamisi ID nikafanikiwa kupewa jumapili na wakati jtatu asubui nna mtihani. Na wakati huo huo lugha zao zilikuwa chafu na za dharau sana. Unanimbia nijiandae tu, siwezi coz last tym kwenye test 2 walinizui kufanya test kwa kuwa sikuwa nimeshughulikia ID yangu mapema nikakosa test, leo ntawezaje kusoma na ID sijapata?
Kingine prospectus inaniambia leo ndio siku ya mwisho ya kulipa ada sasa kwanini uninyime kufanya mtihani wakati muda wa kulipa ada bado ninao? Siwezi kuogopa jeshi, waandishi wa habari wala raisi kama wanakosea nitawaambia kosa lao bila kujali uwezo wao, haiwezekani waripoti kitu ambacho sio kweli haukugomea mitihani wala hatugomei mitihani leo.
Mimi najua matatizo ya chuo changu na ninajua kuwa madai yangu ni ya msingi na muhimu ili niweze kusoma vizuri na kumaliza chuo salama coz najua nilichokifuata hivyo basi naomba usinifananishe wala kunihusisha na migomo ya vyuo vingine bali judge me according to the problem at hand an nt otherwise.
 
mmh! huwa nina wasiwasi na migomo inayoanzishwa wakati wa mitihani.Examination fever hiyo jamani!wakiambiwa waende tu kwenye mitihani na vitambulisho vya shule tu badala ya vitambulisho vya mitihani bila kujali kama umemaliza ada au la watakubali?TAFAKARI

samahani mkubwa hivi wewe ulisomea wapi? Na sasa hivi uko wapi? Samahani sana lakini natakujua tu ili nione ntakujibu vipi ili unielewe vizuri.
 
Mkubwa ukisoma hii thread utaona nimesema ID zimeanza kugaiwa ghafla last week yaani ni kama kamtego kwakuwa walijua wote tunataka tufanye examz na hivyo walijua tutaangaika tu mpaka tuipate hiyo hela fine, tatizo likawa hiyo process yao ya kuishue ID kama ukilipa ni kero, nenda huku rudi huku, peleka asubuhi njoo jioni, system iko down, mara sijui nenda ofisi ile lakini imefungwa, huku wanamsaidia huyu wewe hapana, kero tupu yaani mimi binafsi nimetumia siku 4 kuanzia alhamisi ID nikafanikiwa kupewa jumapili na wakati jtatu asubui nna mtihani. Na wakati huo huo lugha zao zilikuwa chafu na za dharau sana. Unanimbia nijiandae tu, siwezi coz last tym kwenye test 2 walinizui kufanya test kwa kuwa sikuwa nimeshughulikia ID yangu mapema nikakosa test, leo ntawezaje kusoma na ID sijapata?
Kingine prospectus inaniambia leo ndio siku ya mwisho ya kulipa ada sasa kwanini uninyime kufanya mtihani wakati muda wa kulipa ada bado ninao? Siwezi kuogopa jeshi, waandishi wa habari wala raisi kama wanakosea nitawaambia kosa lao bila kujali uwezo wao, haiwezekani waripoti kitu ambacho sio kweli haukugomea mitihani wala hatugomei mitihani leo.
Mimi najua matatizo ya chuo changu na ninajua kuwa madai yangu ni ya msingi na muhimu ili niweze kusoma vizuri na kumaliza chuo salama coz najua nilichokifuata hivyo basi naomba usinifananishe wala kunihusisha na migomo ya vyuo vingine bali judge me according to the problem at hand an nt otherwise.

Greek,

Kwanza tuanze pole pole unasema wewe ulikuwa unajua wajibu wako wa kulipa karo na unafahamu prospectus inasemaje kuhusu malipo ya ada. Swali linakuja ni wanafunzi wangapi wameisoma hiyo prospectus wakajua mwisho wa kulipa ada yao (yaani fees structure kwani fahamu ya kwamba ni jukumu lako kama mwanafunzi kufuatilia malipo ya ada na sio chuo kufatilia kama wewe umelipa ada). Wakati nasoma mimi UDSM nilikuwa nafuatilia kila inapokaribia miezi miwili ada kulipwa nifahamu tatizo liko wapi ili nilitatue kabla sijafika wakati wa mtihani. Ni vigumu kuawaamini kwamba migogoro ya wakati wa karibu na mtihani kunakusababishia stress unless uwe hujasoma na unatafuta sababu ya kutofanya mtihani.

Pili umesema ID zimeanza kutolewa kiholela one week before (sijui kama ni kweli au la) sasa nikuulize hilo linakuuzuia nini wewe usifanye mtihani? Mie nakumbuka kuna mshkaji wangu hakuwa na student ID mpaka siku ya mtihani na alifanya na akafaulu vema. Sasa nikuulize je ID ndio kinachokuzuuia kufanya mtihani?

Ulitakiwa kufahamu majukumu yako kwanza ndipo uwalaumu chuo, kuna wanafunzi wamelipa ada yote wale unadhani ni fair mtihani wao uahirishwe kwasababu ya watu wakorofi wasiotaka kulipa karo. Unatakiwa kabla hujaaccept offer ya kusoma chuo kikuu ni vema ukafahamu majukumu yako na ya chuo ili ufahamu haki yako iko wapi. Venginevyo utakuwa unagomea mtihani na kutafuta sababu ya kutofanya mtihani kwa kigezo tu usumbufu.

Tatu kuhusu majibu ya kejeli waliofanya wanatakiwa kuchukuliwa hatua za kinidhamu kazini. Maana wanatoa public service na hivyo wanatakiwa kuwaheshimu. Lakini hilo ni la administrative matter halikuzuii wewe na wenzio msifanye mtihani.
 
mgomo ni haki yenu endeleeni kugoma. safi sana ikibidi nendeni ikulu mkamchomoe mkwere hana jipya hata kkidogo
 
nimeamuuuua kupasuka mkereketwaaaa
najisikia furaha sana kuona chuo cha IFM kimebadili misimamo na kugomea zulma za management kwaniii kipindii chetuu
wanafunziii ukianzisha mgomo wa maslahiiii huoniii mtuu freedom sqr ila mgomo ukihusuuu msosii kanteen utashangaaa wametokea wapiii kwani ndoutajua naniii ni naniiiii,sasa management inatakiwa kuelewa kuwa wanafunzi wengi ni watotoooo wa wakulima na sikama
walivyooo zoea kipindiii kile cha dorie kuongozaaa wanafunzi inservice wa hazina,saaaadaaaa lieniiiii mpakaaaa kielewekeeee kwaniii IFM ya sasa si ya watoto wa Vigogo tena na niiiiii ya Wakulimaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mapambio ya kuhamasishana yanaendelea, moja ya dai la msingi ni kusogeza mtihani huu mbele kwa zaidi ya wiki moja ili management iweze kuandaa ID's zetu na sisi tupate muda wa kujiandaa kwa examz bila stress, hizi ni final examz hawawezi wakazi treat kama test za vidudu.

Mimi nakubaliana kabisa na huu mtizamo wa kuahirisha mitihani hadi hapo swala hili litakapowekwa sawa. Tatizo ni kuwa viongozi wa vyuo wameshindwa kuwa pro-active, badala yao wengi ni reactive. Haiwezekani kabisa tatizo hilo lilipuke leo,. Walipoanza kubadilisha utaratibu wa vitambulisha wiki iliyopita - siku moja kabla ya mtihani walitegemea nini? Bodi ya mikopo yenyewe wanashindwa kuwa makini kuhakikisha kuwa wale wanaolipiwa mikopo imefika kwa wakati muafaka. Mwanangu anasoma chuo kimoja hapa nchini na ilibidi nitafute pesa haraka haraka ili aweze kufanya mitihani kwani Loan Board walibadilisha kiwango cha mkopo bila taarifa - hivi ni walezi wangapi wenye uwezo wa kulipa shs laki nne kwa taarifa ya siku mbili?. Labda utaratibu kwa sasa ingekuwa wafunge vyuo vyote hadi wasafishe Loan Board na kumuelewesha kila mwanafufunzi kiwango cha mkopo anachopata. Vinginevyo itakuwa kila wakati ni kumtaka Wazir Mkuu akashughulie aache majujukumu mengine ya kitaifa. Hivi Makatibu wakuu na makamishna wa wizara wanafanya kazi gani hadi PM aende akawasidie??
 
uanjua viongozi wa bongo ni wazembe sana, hasa hawa wanaoitwa wakuu wa vyuo, mimi nategemea wawe na busara na uongozi mzuri zaidi bcoz wana elimu ya kutosha amabayo wengine hawana ya uprofesa lakini ni madudu tu.

huyo professor wa ifm nilikuja na nikamsikiliza pale nikaona hakuna cha msingi alichoongea zaidi ya kuongeza chuki tu kwa wanafunzi.

hawa wakuu wa vyuo ni uozo mtupu, wapewe research tu wafanye, management wawaachie watu waliosoma management sio kwamba ukiwa professor basi utafanya uongozi mzuri.
 
Mmm Mkwere mbona unashughuli naona anajuta kwa nini alichakachua bora angekubali ili yaishe kuliko kuchakachua
 
Back
Top Bottom