Mgomo mwingine walipuka IFM

Mgomo ndio umeanza madai ni mengi sana lakini chanzo kikuu ilikuwa ni baada ya wanafunzi wengi kucheleweshewa na wengine kunyimwa kabisa ID mtihani uaonza leo kwa sababu tu hawajafikisha 70% ya ada, waliojitahidi kufikisha hicho kiwango wengi wao mpaka muda huu hawajapewa hizo ID na huku mtihani ulikuwa uanze leo asubuhi, hizo ID mpya zimeanza kutolewa ghafla katikati ya wiki iliyopita bila utaratibu maalum na kwa usumbufu mkubwa huku wahusika ambao ni management wakiwa wamejaa maneno ya dharau na kejeli, mpaka jana jioni wengi wa wanafunzi wamekuwa wakilia na kuzunguka sana hapa chuoni bila kupewa hizo ID, sasa jiulize hizi ni final examz sijui tunawezaje kujiandaa na examz ndani ya stress kama hizi. Naomba watu wa habari msikurupuke na kuja kutoa taarifa ambazo hamzijui na wala hamna uhakika nazo hasa nyie Clouds.
 
Mgomo ndio umeanza madai ni mengi sana lakini chanzo kikuu ilikuwa ni baada ya wanafunzi wengi kucheleweshewa na wengine kunyimwa kabisa ID mtihani uaonza leo kwa sababu tu hawajafikisha 70% ya ada, waliojitahidi kufikisha hicho kiwango wengi wao mpaka muda huu hawajapewa hizo ID na huku mtihani ulikuwa uanze leo asubuhi, hizo ID mpya zimeanza kutolewa ghafla katikati ya wiki iliyopita bila utaratibu maalum na kwa usumbufu mkubwa huku wahusika ambao ni management wakiwa wamejaa maneno ya dharau na kejeli, mpaka jana jioni wengi wa wanafunzi wamekuwa wakilia na kuzunguka sana hapa chuoni bila kupewa hizo ID, sasa jiulize hizi ni final examz sijui tunawezaje kujiandaa na examz ndani ya stress kama hizi. Naomba watu wa habari msikurupuke na kuja kutoa taarifa ambazo hamzijui na wala hamna uhakika nazo hasa nyie Clouds.

Ok, nimeelewa. Hii serikali sasa ni aibu. Kila eneo ni migomo tu. Mbona wakati wa Mkapa ni kama hali hii ilianza kutulia!!
 
according 2 prospectus leo 28th ndio tarehe ya mwisho ya kulipa hiyo 2nd installment ambayo ni 70% which means bado ninao muda sasa kwanini wanipe stress kwa kuninyima ID wakati deadline haijaisha?
 
Mgomo ndio umeanza madai ni mengi sana lakini chanzo kikuu ilikuwa ni baada ya wanafunzi wengi kucheleweshewa na wengine kunyimwa kabisa ID mtihani uaonza leo kwa sababu tu hawajafikisha 70% ya ada, waliojitahidi kufikisha hicho kiwango wengi wao mpaka muda huu hawajapewa hizo ID na huku mtihani ulikuwa uanze leo asubuhi, hizo ID mpya zimeanza kutolewa ghafla katikati ya wiki iliyopita bila utaratibu maalum na kwa usumbufu mkubwa huku wahusika ambao ni management wakiwa wamejaa maneno ya dharau na kejeli, mpaka jana jioni wengi wa wanafunzi wamekuwa wakilia na kuzunguka sana hapa chuoni bila kupewa hizo ID, sasa jiulize hizi ni final examz sijui tunawezaje kujiandaa na examz ndani ya stress kama hizi. Naomba watu wa habari msikurupuke na kuja kutoa taarifa ambazo hamzijui na wala hamna uhakika nazo hasa nyie Clouds.[/QUOTE]

Hapo kwenye red,hao watu wanamatatizo sana yani ni wambea kama majike hasa kibonde na pj,dawa yenu ipo jikoni ipo siku tutawaibukia hapo hapo mlipo......hii redio sijui ni ya sisiem wanaongea pumba sana hawa jamaaaa.
 
according 2 prospectus leo 28th ndio tarehe ya mwisho ya kulipa hiyo 2nd installment ambayo ni 70% which means bado ninao muda sasa kwanini wanipe stress kwa kuninyima ID wakati deadline haijaisha?

ulikusudia kusema Almanac mkuu?
 
Mapambio ya kuhamasishana yanaendelea, moja ya dai la msingi ni kusogeza mtihani huu mbele kwa zaidi ya wiki moja ili management iweze kuandaa ID's zetu na sisi tupate muda wa kujiandaa kwa examz bila stress, hizi ni final examz hawawezi wakazi treat kama test za vidudu.
 
Jamaa hapo juu yuko sawa kuwa prospectus huwa na Almanac ndani yake.
 
....hivi vyuo vya Tanzania navyo vimezidi! hawa watawala wanataka kuperekesha wanafunzi kama watu wasiojua haki zao!
ebwana mpaka kieleweke hapo! kwanza wanawapa stress wakati mlitakiwa kuwa na peace of mind ready for exams!
 
:msela:
 

Attachments

  • DSC00605.JPG
    DSC00605.JPG
    354.5 KB · Views: 156
....hivi vyuo vya Tanzania navyo vimezidi! hawa watawala wanataka kuperekesha wanafunzi kama watu wasiojua haki zao!
ebwana mpaka kieleweke hapo! kwanza wanawapa stress wakati mlitakiwa kuwa na peace of mind ready for exams!

Sawa Click_and_go nakubaliana nawe, ila kwa up ande mwingine hawa wanafunzi wangechangamkia masomo kama wanavyochangamkia migomo future ya TZ ingekua very bright as of now intellectual output ina approach zero with time wakati siasa inapanda nahisi tutatawala dunia in the near future kwa siasa, maana vyuo vyetu vinashindana kwa kugoma na wala sii kwa taaluma tena. Haiwezekani management za vyuo vyote nchini zikafanana namna hiyo I think there is something wrong somewhere. inabidi tufikiri na kuchukua hatua.
 
Back
Top Bottom