Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Iweje nchi nyingine SGR isiwe big white elephant project alafu Tanzania iwe white elephant project?
Kuhusu why SGR yetu might be a big white elephant, karibu mitaa hii, Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta...
Iweje nchi zingine shirika la ndege lifanye vizuri ila ATC isifanye vizuri? Unataka kutuambia Tanzania hamna haja ya kuwa na ndege
Kwenye ATC tatizo ni management, kikawaida unaanza na business plan ndio kisha unanunua ndege. Not the other way.
P
 
Wanabodi,

Kilichonistua, kunitisha, kunihuzunisha, kunisikitisha, kunisononesha, kunigopesha na kuninyongoneza ni the reasons behind, sababu alizonitajia kada huyu za why mgombea wa CCM mwakani ni Magufuli, ambazo ndizo zimepelekea the inner core ya CCM kuamua mgombea wake wa urais wa 2015 ni lazima awe John Pombe Magufuli tuu, and no one else!.

Kwa vile sababu hizo alizonitajia, baadhi kweli ni sababu za msingi na ziko justifiable kwa any reasonable man, sababu nyingine alizonitajia sio tuu ni unreasonable, bali pia ni unjustifiable! na hazikubaliki kabisa katika Tanzania ya leo!.

Paskali
Hapa nilitajiwa sababu
Na mbaya zaidi kaanza kuwa "prophet of doom" he always wishes doomsday to come in Tanzania for his devilish foresight about someone the "damned"

Na wote tuseme Amina ,
Mkuu The imp, kuna kitu umekisema hapa, Pascal Mayala kazeeka haoni mbele tarehe 25 mwezi 9, mwaka 2019 kunihisu mimi, halafu kilikuja kutokea kweli!. Nikisoma hapa ulisema nini kunihusu na nikipima na kilichokuja kutokea, kiukweli, naanza kujiogopa!.
Nakupitisha kwenye baadhi ya mabandiko yangu uangalie tarehe ya mabandiko hayo, nilisema nini lini na nini kimekuja kutokea kuhusu hicho nilicho kisema!.

The most powerful thing in this world is the power of will!.
Japo kuna msemo kuwa kauli huumba, kumbe kiukweli, kinachoumba sio kauli, bali the will ikiyoko ndani ya hiyo kauli.
If the will is strong enough, you can wish anything and it will happen or materialize!

P
 
Uzi wa mwaka 2012 💯💯...alafu kuna mtu anajiita paschal mayala anadai eti yeye ndio alitabiri Magufuli atakua Rais kwenye thread aliyoiandika 2014😂😂
Mkuu masare, nitake radhi!. Maudhui ya uzi huu sio nani atakuwa rais wa Tanzania 2015, bali tutatawaliwa kidikiteta 2015 bila kumtaja specifically rais wetu atakuwa nani.

Mimi bandiko langu hili Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli sio la utabiri, sio la ubashiri, sio guess work, ni info pack!, nimeambiwa na mtu from deep inside!.

Katika bandiko hili langu, nime copy kitu gani kutoka bandiko hili Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

la Mkuu MAGAMBA MATATU?.
P
 
based on sababu nilizo tajiwa!, then nitaziweka hadharani hizo sababu za kwa nini CCM imeamua mgombea wake wa urais kwa uchaguzi wa 2015 lazima awe ni John Pombe Magufuli tuu na sio mtu mwingine yoyote!, na kiukweli mkizisikia hizo sababu nilizotajiwa, naamini hata nyinyi sio tuu mtashangaa, bali mtakubaliana na mimi kwanini mtu huyu asiwe!.
Hivi ulishwaziwekaga Mkuu?
 
Mkuu masare, nitake radhi!. Maudhui ya uzi huu sio nani atakuwa rais wa Tanzania 2015, bali tutatawaliwa kidikiteta 2015 bila kumtaja specifically rais wetu atakuwa nani.

Mimi bandiko langu hili Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli sio la utabiri, sio la ubashiri, sio guess work, ni info pack!, nimeambiwa na mtu from deep inside!.

Katika bandiko hili langu, nime copy kitu gani kutoka bandiko hili Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

la Mkuu MAGAMBA MATATU?.
P

Moja kati ya maandiko yako bora kabisa
 
nimeambiwa na mtu from deep inside!.
shaq.png
 
Hapa nilitajiwa sababu

Mkuu The imp, kuna kitu umekisema hapa, Pascal Mayala kazeeka haoni mbele tarehe 25 mwezi 9, mwaka 2019 kunihisu mimi, halafu kilikuja kutokea kweli!. Nikisoma hapa ulisema nini kunihusu na nikipima na kilichokuja kutokea, kiukweli, naanza kujiogopa!.
Nakupitisha kwenye baadhi ya mabandiko yangu uangalie tarehe ya mabandiko hayo, nilisema nini lini na nini kimekuja kutokea kuhusu hicho nilicho kisema!.

The most powerful thing in this world is the power of will!.
Japo kuna msemo kuwa kauli huumba, kumbe kiukweli, kinachoumba sio kauli, bali the will ikiyoko ndani ya hiyo kauli.
If the will is strong enough, you can wish anything and it will happen or materialize!

P
Mkuu Pasikali, kweli wewe ni mtu na nusu, ulitisha sana kwenye hii thread na ingefaa upewe tuzo.
Nje ya Mada vipi changamoto ya kupata mtoto uzeeni unaonaje unazimudu?
 
Mkuu Pasikali, kweli wewe ni mtu na nusu, ulitisha sana kwenye hii thread na ingefaa upewe tuzo.
Mkuu Kadhi Mkuu 1 , thanks for this!, mtu ukifanya jambo jema la kustahili tuzo, then utapata tuzo, hata kama waliopo hawakuthamini, wanakupuuza na kukudharau, lakini mwisho wa siku, utapata tuu tuzo yako kupitia karma, hivyo tuzo yangu ipo njiani inakuja.
P
 
Hivi ulishwaziwekaga Mkuu?
Pascal Mayalla tunaomba utuwekee hizo sababu, maana ahadi ni deni.
Wakuu imhotep na Sexless hizo sababu nilizipotezea na kutoa sababu kwa nini niizipotezea na kutoa sababu ya kuzipotezea!.
Update: 12/07/2015

Leo hili limetimia ni kweli aliyepita ni Magufuli, nimezitafakari sababu nilizotajiwa ile siku napewa tetesi hii, na kuzipima na hiki kilichotokea, nimejikuta nimelazimika kutoziamini kuwa zile nilizosikia ndizo sababu zenyewe halisi.

Kwa sisi waandishi tuna kanuni ya kuandika only the truth, yaani kuandika nothing but the truth, sasa ili uweze kuandika jambo lolote, ni lazima jambo hili uwe ama umelishuhudia mwenyewe likitokea na ama umeelezwa na trusted sources na kujiridhisha kuwa ni la kweli, ndipo unaliandika.

Ikitokea ukilisikia jambo la mashaka mashaka, unapaswa ulipime kwanza, ujiridhishe na ukweli wake, ukiisha ridhika ndipo uliamini na ndio uliandike.

Kama ikitokea wewe kama mwandishi wa habari, ukasikia jambo lolote ambalo ni la mashaka huliamini, then hupaswi kuliandika, tena hata ikibidi usiliseme wala kuliandika ili lisijulikane.

Hivyo hizo sababu nilizotajiwa siku hiyo napewa tetesi hii kuwa mgombea urais wa CCM atakuwa ni John Magufuli, and why he has to John Pombe Magufuli only and nobody else, kwa sasa mimi siziamini, na kwa vile siziamini, naomba nisizitaje wala nisiziseme kabisa humu.

Hivyo naomba sasa tuchukulie bandiko hili kuwa ni mwana JF mmoja kwa jina la Paskali, nilijiandikia tuu kuwa mgombea urais wa CCM kwa mwaka 2015 atakuwa ni Dr. John Pombe Magufuli, na ikatokea tuu kuwa ni kweli, mgombea urais wa CCM kwa 2015 akawa ni John Pombe Magufuli, yaani I just happened

Nawaombeni sana tuchukulie kupitishwa kwa jina la Dr. John Pombe Magufuli, kuwa mgombea urais wa CCM, has just happened tuu na has nothing to do bandiko hili wala na sababu nilizotajiwa, bali kuhesabike tuu kuwa kumetokea tuu naturally, by chance, bila any pre meditated moves, na hili bandiko lichukuliwe tuu kama just a coincidence, kuwa mwana jf mmoja nilisema mgombea wa CCM kwa mwaka 2015 atakuwa ni John Pombe Magufuli na kweli ikatokea tuu coincidentally, mgombea urais wa CCM kwa mwaka 2015 kweli akawa ni Dr. John Pombe Magufuli.

Kwa mtakaonielewa asanteni kwa kunielewa, na kwa wale ambao ni wazito kuelewa mambo ya kufikirika tuu au ambao msio nielewa poleni na samahanini sana!.

Hongera sana Dr. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi, CCM.

Paskali
Kwa mfano ukikutana na Sangoma fulani, akakuambia watu wa Tanga, Zanzibar na Sumbawanga kwa uchawi ni hatari!, yule nanilii kwao ni wachawi sana, kupitia TV zao za kisangoma, alimshuhudia yule nanilii akimroga yule naniliu ili kwa kumtupia majini, wakamue ili yeye ndio awe!.

Baada ya muda kweli naniliu akaanza kuugua ikafanywa siri!, hospitali kila wakipima hawaoni kitu!, mwisho wa siku jamaa kakabwa na hatimaye akachomoka, yaani akavuta! na kweli yule nanilii akawa!.

Jee wewe ndio ungekuwa ni mwandishi wa habari hii story ungeiandika?.

P
 
Mkuu Pasikali, kweli wewe ni mtu na nusu, ulitisha sana kwenye hii thread na ingefaa upewe tuzo.
Mkuu Kadhi Mkuu 1 , thanks for this!, mtu ukifanya jambo jema la kustahili tuzo, then utapata tuzo, hata kama waliopo hawakuthamini, wanakupuuza na kukudharau, lakini mwisho wa siku, utapata tuzo yako kupitia karma, hivyo tuzo yangu ipo inakuja.
P
 
Kidogo nilipata madokezo kama hayo
Hapa ndio nilimwita Magufuli bulldozer kabla ya mtu yeyote Tanzania

Lakini watu wanaomfahamu wanamuonaje Magufuli kama Raisi? Wengi wanaona Tanzania ilipofikia inahitaji raisi kama Magufuli - namna fulani ya bulldozer ambalo linatumia nguvu bila kuangalia lojiki. Hata hivyo, wengi wana wasiwasi sana na influence ya Mkapa kwa Magufuli - kwamba itakuwa kama Mkapa karudi kwenye uraisi, na wengi hilo hawalitaki.
 
Wakuu imhotep na Sexless hizo sababu nilizipotezea na kutoa sababu kwa nini niizipotezea na kutoa sababu ya kuzipotezea!.

Kwa mfano ukikutana na Sangoma fulani, akakuambia watu wa Tanga, Zanzibar na Sumbawanga kwa uchawi ni hatari!, yule nanilii kwao ni wachawi sana, kupitia TV zao za kisangoma, alimshuhudia yule nanilii akimroga yule naniliu ili kwa kumtupia majini, wakamue ili yeye ndio awe!.

Baada ya muda kweli naniliu akaanza kuugua ikafanywa siri!, hospitali kila wakipima hawaoni kitu!, mwisho wa siku jamaa kakabwa na hatimaye akachomoka, yaani akavuta! na kweli yule nanilii akawa!.

Jee wewe ndio ungekuwa ni mwandishi wa habari hii story ungeiandika?.

P
Kama nilivyokuelewa ndivyo ulivyomaanisha basi hapa lazima Pascal utakuwa umebeba siri nzito sana..
 
Kama nilivyokuelewa ndivyo ulivyomaanisha basi hapa lazima Pascal utakuwa umebeba siri nzito sana..
Mkuu St. Paka Mweusi , this is just an hypothetical situation and not real!. Nimetolea tuu mfano wa mtu kujisemea tuu jambo halafu likaja kutokea kweli but in realty halikupangwa limetokea tuu.

Mfano siku ile mtu alipozungumzia dhana ya usaliti na akasema "kuna mtu simu tumeitrap, mara anaulizia hivi mara vile, tunamuangalia tuu, that is the government, mtu msaliti hawezi kuachwa hivi hivi aka survive tuu!". Siku mbili tatu baada ya kauli hiyo, zikatokea zile pyu pyu kwa huyo jamaa!. Watu waliosikia wanaweza kudhani ni premeditated events kumbe ni an isolated events hazihusiani!.

Hivyo usiwe na wasiwasi wowote, mimi sina siri nzito yoyote, ila kuna watu wana siri nzito ya kilitokea nini, Watanzania tumekuja kujulishwa siku kadhaa baada ya kutokea kilicho tokea na kuelezwa kuwa ndio kimetokea!.
P
 
Hapa ndio nilimwita Magufuli bulldozer kabla ya mtu yeyote Tanzania
Mkuu Synthesizer naomba link yako kuona wewe ulimuita lini, mimi hilo neno nililiona jarida la The Economist na ililetwa humu jf na mkuu Geza, Geza Ulole kwenye uzi huu Tension between Tanzania's 'bulldozer' president and opposition
Alisema
Tension between Tanzania's 'bulldozer' president and opposition
But the president himself - known as "Bulldozer" since his days in office as a dynamic minister of works - is increasingly attracting

Tension between Tanzania's 'bulldozer' president and opposition | Africa | DW.COM | 01.09.2016
Mimi nami nikauliza Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"?
Lakini watu wanaomfahamu wanamuonaje Magufuli kama Raisi? Wengi wanaona Tanzania ilipofikia inahitaji raisi kama Magufuli - namna fulani ya bulldozer ambalo linatumia nguvu bila kuangalia lojiki. Hata hivyo, wengi wana wasiwasi sana na influence ya
Yes ni kweli na hili tulilisema pia Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
 
Mkuu Synthesizer naomba link yako kuona wewe ulimuita lini, mimi hilo neno nililiona jarida la The Economist na ililetwa humu jf na mkuu Geza, Geza Ulole kwenye uzi huu Tension between Tanzania's 'bulldozer' president and opposition
Alisema

Mimi nami nikauliza Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"?

Yes ni kweli na hili tulilisema pia Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
P
Mkuu Paskali, nilianza kumuita Magufuli kuwa ni buldozer toka mwaka 2013, na post nyingi nilizoweka baada ya hapo nilim-refer hivyo. Sasa sijui kama zilikuwapo zilizomuita hivyo kabla yangu. In fact, kwenye hiyo post ya 2013 (Baraza la Mawaziri nani atoke, Nani Abaki), ni kama nili-prophesy namna ya kiongozi Magufuli atakuwa, japo wakati huo tulikuwa tukimwongelea katika context ya U-PM. See below
  1. Baraza la Mawaziri: Nani atoke, Nani abaki, Nani aingie?

  2. Magufuli ni Mgombea urais ambaye atapata kura bila CCM kutumia mabilioni

  3. Sasa naona wazi kwamba Prof. Mwandosya ni tofauti sana na wengine
  4. Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom