wafadhili wake wanajulikana, walifikiri wangeweza kuiteketeza CDM kwa kumtumia yeye, upepo umebadilika sasa ka chama kake kanaishia shimoni, returns hakuna.Na mfadhili wake mkuu alikuwa Lowassa si ndiyo?
wafadhili wake wanajulikana, walifikiri wangeweza kuiteketeza CDM kwa kumtumia yeye, upepo umebadilika sasa ka chama kake kanaishia shimoni, returns hakuna.Na mfadhili wake mkuu alikuwa Lowassa si ndiyo?
Mkuu naona umeishakuwa mateka wa fisadi Lowassa upo kama nyumbu unasubiri safari ya matumani.mkuu mbona unauliza maswali ya kindergarten?
Unajifanya humjui Boss wako!
Kaka kuiondoa ccm madarakani inataka mbinu za hali ya juu sana! Sasa huyo mughamba si anapoteza muda tu? Hivi kuna mwehu atampigia kura huyo? Bora hata angeenda kugombea udiwani huko kwao!! U-Rais? Hivi hakusikia mpaka akina Pinda, Bilal, Sumaye, Augustine (wawili), Muhongo, Mwigulu n.k. wamekatwa kwamba hawatoshei kwenye u-Rais? Sasa si angejipima hapo tu, akajiona kwamba hatoshi?Bora hawa pamoja na uchanga wao wamekataa kukodi mgombea kutoka chama chochote wanasimama peke yao, tofauti na Chadema wana miaka zaidi ya 20 lakini wagombea wao wote wa kukodi.
Mkuu ka-chama kake kana bendera nyingiiiiii!!!!!!!!!!! Yaani ukiona hivyo tu ujue hicho chama kinaongozwa na mataahira!!wafadhili wake wanajulikana, walifikiri wangeweza kuiteketeza CDM kwa kumtumia yeye, upepo umebadilika sasa ka chama kake kanaishia shimoni, returns hakuna.
Mwigamba ni MHAINI.
Halafu, hii taarifa kwa umma uliyotoa haiwezi kuwa na uzito bila kumtaja Lowassa na Magufuli?!
Kaka kuiondoa ccm madarakani inataka mbinu za hali ya juu sana! Sasa huyo mughamba si anapoteza muda tu? Hivi kuna mwehu atampigia kura huyo? Bora hata angeenda kugombea udiwani huko kwao!! U-Rais? Hivi hakusikia mpaka akina Pinda, Bilal, Sumaye, Augustine (wawili), Muhongo, Mwigulu n.k. wamekatwa kwamba hawatoshei kwenye u-Rais? Sasa si angejipima hapo tu, akajiona kwamba hatoshi?
Hata hivyo si nimesikia hiyo fomu ilitolewa kwa ajili ya Kitila Mkumbo sasa sijui watafanyaje?Kwenye chama chao chenye bendera nyingi kuliko wanachama ukishapona panga la Zitto msajili hana shida anakuwa fomu wananchi walakugawane huko uraiani.
Hamko seriousChama cha ACT-Wazalendo kinamsimamisha Ndugu Samson Mwigamba kuwa mgombea Urais wa Chama hicho.
ACT-Wazalendo watafanya Mkutano MKUU wa Kidemokrasia wa kupitisha jina la Mgombea Urais. ACT-Wazalendo kimemsimamisha mtu muadilifu tofauti na vyama vingine.
Hata hivyo si nimesikia hiyo fomu ilitolewa kwa ajili ya Kitila Mkumbo sasa sijui watafanyaje?
Chama cha ACT-Wazalendo kinamsimamisha Ndugu Samson Mwigamba kuwa mgombea Urais wa Chama hicho.
ACT-Wazalendo watafanya Mkutano MKUU wa Kidemokrasia wa kupitisha jina la Mgombea Urais. ACT-Wazalendo kimemsimamisha mtu muadilifu tofauti na vyama vingine.
wasaliti katika ubora wao wamemteua Mwigamba apeperushe bendera ya urais na saivi anasubiri kupitishwa na mkutano mkuu.source:npo kikaoni