Chama cha ACT-Wazalendo kinamsimamisha Ndugu Samson Mwigamba kuwa mgombea Urais wa Chama hicho.
ACT-Wazalendo watafanya Mkutano MKUU wa Kidemokrasia wa kupitisha jina la Mgombea Urais. ACT-Wazalendo kimemsimamisha mtu muadilifu tofauti na vyama vingine.
Mwigamba ni MHAINI.
Halafu, hii taarifa kwa umma uliyotoa haiwezi kuwa na uzito bila kumtaja Lowassa na Magufuli?!