Elections 2010 Mgombea CHADEMA Nkenge ajiondoa kugombea Ubunge

Kuna msululu mkubwa wa wagombea wa Chadema kujiengua hata kama majina yao yameshapitishwa, kama alivyokengeuka Slaa kuacha ubunge na kukurupukia Uraisi ,ndivyo hivyo wengi wa wachadema watakavyofanya alimuradi kuharibu kura za wanananchi.

Maalim Mwiba,

Naona swala la Dr. Slaa kugombea Urais limekukera sana ... pole sana ndugu yangu. Ambacho bado sijaelewa mpaka sasa, ulitaka CUF pekee ndio ipambane na CCM? Mbona vyama vingine vyote vimeweka wagombea na sijawahi kukusikia ukiwasema vibaya? Mgombea wa TLP (Mutamwega) alishawahi kuwa Mbunge huko kwao Mara, sijakusikia ukimsema aende kugombea Ubunge?

Tangu Kampeni zimeanza Prof. Lipumba ametembelea mikoa 4 tu [Lindi, Mtwara, Ruvuma na Mbeya]. Baada ya hiyo ziara akatoa tathimini ya CUF kwamba malengo yao ni kuchukua viti 20 huku Tanganyika. Sasa kama chama kina malengo ya kushinda majimbo 20 tu, ni kura zipi za wananchi ambazo zitakuwa zimeharibika?

Tukiweka ushabiki pembeni, CCM hawalii na Lipumba, wanalia na Dr. Slaa maana ndiye threat kwao na anawanyima usingizi. Ndio maana JK ameshindwa kuhudhuria shughuli za kisiasa nje nchi ambazo kwa kawaida tumezowea kuona anaenda mwenyewe, mfano, Mkutano wa UN, pale Rwanda na Burundi alipomtuma Pinda aende. Unadhani hiyo ni kawaida?

Ni haki yako kutetea CUF, lakini sioni hoja katika swala la Dr. Slaa kugombea. Sana sana ningemuomba kaka yangu Prof. Lipumba apumzike. Wenzake aliogombea nao kuanzia 1995 wameishawaachia wengine. Mrema na Cheyo wako majimboni. Akina Sengondo Mvungi, Mbatia, Mbowe na wengineo, walijaribu once wakashindwa wakawapisha wengine.

Kama Lipumba angesimama against Kikwete, CCM wasingehitaji kupiga kampeni kwa kuwa ungekuwa ni ushindi wa chee. Sasa hizo kura alizoharibu Dr. Slaa ziko wapi?
 
Someone asked a good question but came up with a crapy conclusion..........
Why CHADEMA????? Kwa nini wagombea wa CUF au TLP hawajitoi, well this is not a coincidence is a carefully calculated move ya kuwaonyesha wananchi ni namna gani CHADEMA haina umaarufu and make no mistake mtaanza kusikia majukwaani sasa hivi hata kutoka kwa mwenyekiti wa CCM kuhusu mambo haya.

I beg to differ. Once again, instead of examining campaign strategies and resolving the on-going internal conflict, we cry faul for every mishap. We do nothing but spelling and justifying defeat even before the election. I asked earlier as to why only Chadema big shots defect back to CCM!! The answer I get (see in bold above) sounds as familiar as the song mungu ibariki Tanzania....As much as I would like to see oppositions win election I am fed off with their inability to stop crying faul for everything.

When Zitto was in favor of purchaing dawns crapy generators Chadema cried faul.....ask why and you get answer similar to the one in bold above. Zitto's attemp to run for the national chairmanship of Chadema was seen as " carefully calculated move ya kuwaonyesha wananchi ni namna gani CHADEMA haina umaarufu " by his opponents. Similar cry was echoed by Chadema supporters when Zitto took charge in evaluating mining contracts. I fail to know what Chadema does vis-a-vis what the so called "traitors" of Chadema do. For, every mishap in Chadema is percieved as " carefully calculated move ya kuwaonyesha wananchi ni namna gani CHADEMA haina umaarufu ".

I am of a view that Chadema, like any other institution, isn't perfect and the road to victory won't be as smooth as we would like it to be. With this in mind I think Chadema needs to rethink their strategies and most important, be truthful and accept the loss of fighters along the way. It is childish to think that all chadema supporters should finish the race/fight. Rather than percieving the "dropouts" as traitors Chadema should include them in the list of the challenges it faces. No one was born CCM, CUF, or Chadema...everybody is a member of a particular party by choice. Choices are dynamic.
 
Ninaendelea kusisitiza kuwa vita ya ukombozi si lelemama, Vita ya ukombozi yahitaji wanamapinduzi wa ukweli na wanaharakati wanao kubali kujitoa muhanga. Hiv Wagombea wa APPT ,SAU, CHAUSTA, NCCR MAGEUZI, NRA, JAHAZI ASILI na vyama vingine visivyo na wabunge hivyo havipati RUZUKU toka SERIKALINI wagombea hao wanapata fedha toka wapi? Gharama zao za kampeni zinagharimiwa na nani? Hivyo ni wazi wagombea wengi ktk kampeni hizi wanajitegemea kwa gharama. NDIO MAANA NASISITIZA SANA WANANCHI na WAPENDA MABADILIKO tuwachangie wagombea tunao waona ni tumaini jema kwa Taifa letu bila kujali anatoka chama gani.

Ni vyema Bwana FOCUS akawa mbunifu na mkweli wakati wa kampeni zake, kwa kuwaeleza wanaomuunga mkono kuwa kampeni zinz kwama sababu ya ukata na kuomba michango kwa wenye mapenzi mema kwake na CHAMA chake, TBC jana wameonyesha mgombea wa CHADEMA huko Njombe Bw NYAGAWA na mwisho tuliona bakuli likipitishwa ili wenye mapenzi mema na CHADEMA wachangie. Pia alionyeshwa babu mmoja akikataa katakata kuchangia kwakuwa wao CHADEMA wanaitaji kura yeye atawapa lakini sio fedha. Nimetoa ushaidi huo kuonyesha kuwa fedha ni tatizo la wagombea wengi.Ushuhuda mwingine ni wa Marehemu MB PHARES KABUYE ambaye alikuwa mwalimu mstaafu na alikuwa mbunge pekee wa TLP na katika shuhuda zake alisema alitumia usafiri wa Baiskeli na wakati mwingine kwenda kwa miguu ili kuwafikia wapiga kura na kuwaomba ridhaa yao, Bw. MREMA aliwahi kukiri kuwa Marehemu KABUYE alipambana hadi kushinda bila msaada wa Fedha toka TLP Makao Makuu.(Japo kuwa ushindi wake ulitenguliwa na mahakama) na rufaa ya Bw KABUYE ilikuwa aijasikilizwa na mahakama umauti ukamfika kwa kupata ajali mkoa wa morogoro akiwa safarini kwenda Dar) Ninachotaka kuonyesha hapa kuwa si FOCUS pekee anaye tumia gharama zake, ni wajibu wake , chama chake ngazi ya wilaya mkoa na jimbo kutafuta suluhisho na si kukimbia mapambano. KUmbuken mgombea ubunge wa CHADEMA jimbo la mbeya mjini ameandaa CONCERT ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kampeni zake na za DK SLAA huyo ni mpiganaji SUGU ajakata tamaa na anaendeleza mapambano bila kuchoka sababu yeye ni SUGU.

JE, matatizo utatuliwa kwa kuyakimbia?NA SUMU ujalribiwa kwa KUIONJA? FOCUS kujitoa ni kukimbia tatizo hivyo ujatafuta suluhu maana CCM wapo na ulivyojitoa umewapa nafasi ya kuendelea kuwapo hivyo WEWE ndie tatizo kwa kujitoa na kusababisha wananchi wakose nafasi ya kuliondoa tatizo CCM jimboni mwao. Na kwa kuwa sumu haijalibiwi kwa kuionja wewe umeonja Mlungula wa CCM (SUMU) sasa ujue dhambi ya usaliti itakuandama kizazi hata kizazi maana Umetenda usaliti kwa kuthubutu kuwaonjesha SUMU wana NKENGE kwa kuiachia nafasi CCM iongoze tena kwa miaka mitano mingine. FOCUS huo ni usaliti maana ilibidi ujadiliane na chama chako na kufikia muafaka nasi kujiamulia wewe kumbuka uwamuzi wako unawanyima wana NKENGE haki ya kuchagua, usingegombea ili chadema wasimamishe mgombea mwingine na wananchi wapate haki ya kuchagua.

Wana JF na watanzania wenzangu ni vyema tukumbuke mwaka huu yatupasa kuchagua mtu na si chama hivyo huyu bwana FOCUS hatakama ni mgombea wa CHADEMA na wengi mnaamini kuwa chadema ni chama mbadala lakini ukweli ni kuwa hafai na kama angeshinda ilikuwa hatari kwa waTZ wote Kumbukeni CUF wanamgombe huko NKENGE mpimeni kama ni mzalendo na mwanamageuzi wa dhati achaguliwe bila kuangalia itikadi yake. Tunachoitaji mabadiliko CHANYA na lengo ni kuitoa CCM katika uongozi wa nchi, na lengo si CCM waondoke tu bali tunaowaingiza madarakani ni viongozi wa dhati na wazalendo kwa nchi yao? kama wagombea wa upinzani ni wababaishaji ni bora kumpa mgombea mzalendo na mpiganaji wa ufisadi na mpenda maendeleo wa CCM kuliko mwizi,fisadi na kibaraka wa CHADEMA au CUF (Wa upinzani).

Pamoja na hayo yote wana JF tukumbuke maoni yetu na kuhamasishana kwetu hakutokuwa na tija kama hatuichangii CHADEMA (VYAMA VYA UPINZANI) ili iweze kushiriki kampeni bila tatizo. Kumbukeni uchaguzi ni gharama na hoja ya FOCUS kuwa kazidiwa na gharama si ya kuibeza sana kw upande mwingine inamantiki. HAYA SHIME KUJITOA KWA FOCUS KUWE CHACHU WA WAPENDA MABADILIKO KUCHANGIA CHADEMA/CUF na WAPINZNI WENGINE ILI MAFISADI WASIPATE UPENYO WA KUJIINGINZA kulaghai wagombea kwa fedha zao kwa madai wagombea hawaletewi fedha za kampeni.
Man, real i cried as i went thru ur post.
Je mgombea alishindwa nini kunyamaa kimya bila kujitoa akasitisha tu kampeni halafu asubiri kwenye kura?
Mimi nina mashaka sana na hawa wagombea wa JIONI yaani ambao wanajiingiza kwenye mkondo wasiojua kasi yake.

Nilishasema ktk threads za awali. CHADEMA iwe makini na watangaza nia wake maana wengi WANATUMIKA ni majeshi ya akiba.
Nasubiri kampeni ziishe nitume maombi ya kazi CHADEMA maana naona kuna kitu kinakosena pale.
 
Continue watching up this page for more breaking news sooooooooon............................................:becky:
 
Kumbe ni MGANGA NJAA? Watu kama hawa hawatakiwi kabisa kambi ya Upinzani! Msaliti mkubwa kwa Watanzania wanaotaka mabadiliko!

Mnasikie NYIE MAFISADI? Msije Upinzani! Kaeni huko huko!
 
Continue watching up this page for more breaking news sooooooooon....................................... .....:becky:
 
I beg to differ. Once again, instead of examining campaign strategies and resolving the on-going internal conflict, we cry faul for every mishap. We do nothing but spelling and justifying defeat even before the election. I asked earlier as to why only Chadema big shots defect back to CCM!! The answer I get (see in bold above) sounds as familiar as the song mungu ibariki Tanzania....As much as I would like to see oppositions win election I am fed off with their inability to stop crying faul for everything.

When Zitto was in favor of purchaing dawns crapy generators Chadema cried faul.....ask why and you get answer similar to the one in bold above. Zitto's attemp to run for the national chairmanship of Chadema was seen as " carefully calculated move ya kuwaonyesha wananchi ni namna gani CHADEMA haina umaarufu " by his opponents. Similar cry was echoed by Chadema supporters when Zitto took charge in evaluating mining contracts. I fail to know what Chadema does vis-a-vis what the so called "traitors" of Chadema do. For, every mishap in Chadema is percieved as " carefully calculated move ya kuwaonyesha wananchi ni namna gani CHADEMA haina umaarufu ".

I am of a view that Chadema, like any other institution, isn't perfect and the road to victory won't be as smooth as we would like it to be. With this in mind I think Chadema needs to rethink their strategies and most important, be truthful and accept the loss of fighters along the way. It is childish to think that all chadema supporters should finish the race/fight. Rather than percieving the "dropouts" as traitors Chadema should include them in the list of the challenges it faces. No one was born CCM, CUF, or Chadema...everybody is a member of a particular party by choice. Choices are dynamic.

Wait and see, time will tell!!!!!!
 
Continue watching up this page for more breaking news sooooooooon....................................... .....:becky:

According to Mnyika wa Chadema, huyu mgombea alifikia kujitoa lakini amebadili mawazo na anaendelea na kampeni. So hii discussion imeshakuwa superseded na haina tija kuijadili.

Wana JF, pamoja na ushabiki wetu wa kisiasa, lakini ni vyema sometimes kusimama kwenye mambo ya msingi. Chadema imeweza kusimamisha wagombea wa ubunge na udiwani kwa karibu asilimia 80 nchi nzima. Guys this is huge, na tuna kila sababu ya kuwapa sifa ukizingatia hawajashika dola na fedha wanazotumia ni misaada ya watu wenye mapenzi mema. CCM imeshika dola, ina hazina, imechukua fedha walizodai za mtikisiko wa uchumi, hizo ndizo zinafanyiwa kampeni. Kwa ukubwa wa kampeni ya CCM, zile 50 BN walizosema nadhani zilishakwisha weeks kadhaa toka waanze kampeni. Wenye kujua zaidi watujuze, na watupe breakdown ya zile tilioni 1.4 sijui za mtikisiko wa uchumi ziko wapi?

CCM wamejaribu kwa kiasi kuwahonga chadema na vyama vingine viwaachie majimbo, mfano huko Iringa kwa Kandoro, nimesikia CHADEMA wanalia na mgombea wao aliyechukua fomu na asirudishe kwa msimamizi wa uchaguzi-- just imagine, wanampeleka mahakamani. Kule kwa mzee Mkono nako msilisikia jamaa alibabatizwa euro kadhaa akatia fomu kwapani. Sehemu nyingie mtu alichukua fomu na akaishia mitini hakuonekana. So tuwape credit Chadema kwa kweli kwa hatua hii waliyofikia hadi leo, inatia moyo. At least asilimia 60-70 ni wagombea makini, this is huge plus kwao!!!!
 
According to Mnyika wa Chadema, huyu mgombea alifikia kujitoa lakini amebadili mawazo na anaendelea na kampeni. So hii discussion imeshakuwa superseded na haina tija kuijadili.

Wana JF, pamoja na ushabiki wetu wa kisiasa, lakini ni vyema sometimes kusimama kwenye mambo ya msingi. Chadema imeweza kusimamisha wagombea wa ubunge na udiwani kwa karibu asilimia 80 nchi nzima. Guys this is huge, na tuna kila sababu ya kuwapa sifa ukizingatia hawajashika dola na fedha wanazotumia ni misaada ya watu wenye mapenzi mema. CCM imeshika dola, ina hazina, imechukua fedha walizodai za mtikisiko wa uchumi, hizo ndizo zinafanyiwa kampeni. Kwa ukubwa wa kampeni ya CCM, zile 50 BN walizosema nadhani zilishakwisha weeks kadhaa toka waanze kampeni. Wenye kujua zaidi watujuze, na watupe breakdown ya zile tilioni 1.4 sijui za mtikisiko wa uchumi ziko wapi?

CCM wamejaribu kwa kiasi kuwahonga chadema na vyama vingine viwaachie majimbo, mfano huko Iringa kwa Kandoro, nimesikia CHADEMA wanalia na mgombea wao aliyechukua fomu na asirudishe kwa msimamizi wa uchaguzi-- just imagine, wanampeleka mahakamani. Kule kwa mzee Mkono nako msilisikia jamaa alibabatizwa euro kadhaa akatia fomu kwapani. Sehemu nyingie mtu alichukua fomu na akaishia mitini hakuonekana. So tuwape credit Chadema kwa kweli kwa hatua hii waliyofikia hadi leo, inatia moyo. At least asilimia 60-70 ni wagombea makini, this is huge plus kwao!!!!

Nashukuru sana kwa ushauri na kutupatia taarifa mpya. Ukweli unabaki palepale huyo FOCUS mgombea wa jimbo la NKENGE kupitia CHADEMA si strong kwa mapambano ya UKOMBOZI wa WATANZANIA. Ni ukweli ulio wazi kuwa chama ni taasisi inayokuwa na katiba ,kanuni na taratibu za kujiendesha. Uwezi kukaa nyumbani na mkeo au familia yako au marafiki zako unafikia uamuzi wa kujitoa kugombea Ubunge bila kushirikisha chama chako, maana chama ndio kimekuteua ukiwakilishe na uwawakilishe wanachama wote wa chama chako ngazi ya jimbo, mkoa na Taifa. Utafanyaje maamuzi na familia au mke au marafiki bila kushirikisha chama? kwani familia au marafiki ndio waliokuteua uwawakilishe? kumbuka FOCUS sio mgombea binafsi ni mgombea wa chama chake CHADEMA.

Mnyika asiseme tu, huyo mgombea ameamua kughahiri kujitoa, atueleze ni kwanini alitaka kujitoa na ni sababu gani zimemfanya aghahiri kujitoa?
Kama tatizo ni chama tujue na kama tatizo ni FOCUS tujue. Hapa tusiendeshe siasa za ghiliba kama za CCM, sisi wanaharakati atuangalii eti huyu ni mgombea wa CHADEMA, CUF, TADEA nk ndio tumsupport ili wananchi wamchague, tunacho angalia huyo mgombea ni mpiganaji wa kweli , je ana uchungu na matatizo ya watanzania je atapigania rasilimali zetu, je akiwa bungeni anaweza kuwa mbunge wa kitaifa na si wa kabila au jimbo fulani. Kwetu sisi maslahi ya taifa/jimbo kwanza baadae ndio mgombea aangalie maslahi ya familia na yake binafsi.

Sababu tuliyoelezwa kuwa huyo bwana anajitoa ni gharama za uchaguzi kumzidia na hapati msaada toka ktk chama kusaidia gharama hizo, sasa anapoendelea kugombea ina maana chama kimemtumia fedha? Au tatizo la fedha kalitatuaje? CHADEMA msimng'anie ili muonekane mna wagombea wengi! ni afadhali muwe na wagomgea wachache wenye tija kuliko wengi mazezeta kama CCM, Mfana mzuri BUNGE LILILOPITA mlizidiwa idadi ya wabunge na CCM na CUF lakini mlifunika BUNGE kwa kutoa hoja nzito na kusimamia rasilimali za taifa. Huyo bwana bado anadeni kubwa la kuwaeleza wanaharakati na wapenda mabadiliko. Embu fuatilieni hoja za wachangiaji hapa JF, wote hawa watataka kupata majibu sahihi ya BW. FOCUS kuamua kurudi tena kugombea. wakati nia yake ya kujitoa wataka mabadiliko CHANYA wa nchi hii karibu wote Tanzania nzima walazipata habari hizo(member jft tupo Bongo yote. MNYIKA, MCHUKIA UFISADI , ICHONDI na RUTUNGA M. Tunaombeni maelezo ya kina kuhusu huyu MGOMBEA wa NKENGE kupitia chadema kuhusu kujitoa na kurudi kwake kwenye kinyang'anyiro cha ubunge
 
Nashukuru sana kwa ushauri na kutupatia taarifa mpya. Ukweli unabaki palepale huyo FOCUS mgombea wa jimbo la NKENGE kupitia CHADEMA si strong kwa mapambano ya UKOMBOZI wa WATANZANIA. Ni ukweli ulio wazi kuwa chama ni taasisi inayokuwa na katiba ,kanuni na taratibu za kujiendesha. Uwezi kukaa nyumbani na mkeo au familia yako au marafiki zako unafikia uamuzi wa kujitoa kugombea Ubunge bila kushirikisha chama chako, maana chama ndio kimekuteua ukiwakilishe na uwawakilishe wanachama wote wa chama chako ngazi ya jimbo, mkoa na Taifa. Utafanyaje maamuzi na familia au mke au marafiki bila kushirikisha chama? kwani familia au marafiki ndio waliokuteua uwawakilishe? kumbuka FOCUS sio mgombea binafsi ni mgombea wa chama chake CHADEMA.

Mnyika asiseme tu, huyo mgombea ameamua kughahiri kujitoa, atueleze ni kwanini alitaka kujitoa na ni sababu gani zimemfanya aghahiri kujitoa?
Kama tatizo ni chama tujue na kama tatizo ni FOCUS tujue. Hapa tusiendeshe siasa za ghiliba kama za CCM, sisi wanaharakati atuangalii eti huyu ni mgombea wa CHADEMA, CUF, TADEA nk ndio tumsupport ili wananchi wamchague, tunacho angalia huyo mgombea ni mpiganaji wa kweli , je ana uchungu na matatizo ya watanzania je atapigania rasilimali zetu, je akiwa bungeni anaweza kuwa mbunge wa kitaifa na si wa kabila au jimbo fulani. Kwetu sisi maslahi ya taifa/jimbo kwanza baadae ndio mgombea aangalie maslahi ya familia na yake binafsi.

Sababu tuliyoelezwa kuwa huyo bwana anajitoa ni gharama za uchaguzi kumzidia na hapati msaada toka ktk chama kusaidia gharama hizo, sasa anapoendelea kugombea ina maana chama kimemtumia fedha? Au tatizo la fedha kalitatuaje? CHADEMA msimng'anie ili muonekane mna wagombea wengi! ni afadhali muwe na wagomgea wachache wenye tija kuliko wengi mazezeta kama CCM, Mfana mzuri BUNGE LILILOPITA mlizidiwa idadi ya wabunge na CCM na CUF lakini mlifunika BUNGE kwa kutoa hoja nzito na kusimamia rasilimali za taifa. Huyo bwana bado anadeni kubwa la kuwaeleza wanaharakati na wapenda mabadiliko. Embu fuatilieni hoja za wachangiaji hapa JF, wote hawa watataka kupata majibu sahihi ya BW. FOCUS kuamua kurudi tena kugombea. wakati nia yake ya kujitoa wataka mabadiliko CHANYA wa nchi hii karibu wote Tanzania nzima walazipata habari hizo(member jft tupo Bongo yote. MNYIKA, MCHUKIA UFISADI , ICHONDI na RUTUNGA M. Tunaombeni maelezo ya kina kuhusu huyu MGOMBEA wa NKENGE kupitia chadema kuhusu kujitoa na kurudi kwake kwenye kinyang'anyiro cha ubunge

Habari nilizopata ni hizi:
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania-2010/74903-mgombea-wa-chadema-nkenge-atengua-uamuzi-wake.html
Habari zaidi nitawapa nikizipata toka Bukoba
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom