Mgogoro waitikisa CHADEMA!

Mgogoro waitikisa CHADEMA!

Hakuna Halmashauri iliyofanikiwa chini ya hawa jamaa.Ni njaa tu ndo zitawaua
 
Mkuu kajipange upya, mimi niko huku karatu hakuna kitu cha aina hiyo, mgogoro uliopo ni wa viongozi na wala si wakutafuna pesa, kwani wao ndo Mkurugenzi wa halimashauri? kmauulize mkurugenzi yeye ndo mwenye pesa,
huo mgogoro wa viongozi haujasababishwa na ccm lakini?
 
Mkuu mi nipo karatu na jambo hilo ni la kweli ila cicilia paresso, hahusiki but wengine wote mafisadi hasa bodi maji na kushambuliwa kwa maeneo ya wazi yote mpaka uwanja wa mpira
 
Hapo kwenye Red, naona unatafuta kuingiza siku mkuu, hivi kwa akili yako Mbunge anawezaje kula pesa? yeye ni mhasibu?

Wanatengeneza njia ya kupata za kwenda kula Christmas, si unajua malipo kulingana na idadi ya mabandiko yanayotaja na kuishambulia CDM na viongozi wake
 
Wanabodi.

Chama cha CHADEMA kimefanya ufisadi mkubwa na kukwamisha miradi mingi ikiwemo Mradi wa Maji Karatu Vijijini (Kaviwatu) tume ndogo iliyoundwa kuchunguza kukwama kwa miradi hiyo ilitaka baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi wa mradi huo wafukuzwe.

Mradi huo wa maji umeleta mpasuko mkubwa ndani ya chama hicho hasa baina ya sekeretarieti ambayo inadaiwa kuwakingia kifua baadhi ya watuhumiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho ambao wanataka hatua za kinidhamu zichukuliwe.

Baadhi ya viongozi wa CHADEMA ambayo wanatajwa kufanya ufisadi ni Mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Natse, Mbunge wa viti maalumu Cicilia Pareso na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Karatu Lazaro Maasai na Diwani wa Karatu Mjini Jubiless Mnyenye.

SOURCE: MWANANCHI DESEMBA 17, 2012.

Hujui unachikishadadia, kama huamini nenda Karatu ukaone na usimuliwe siyo unakomaa kwe magorofa hapa town alafu unashadadia mambo yanayotokea huko.

Mradi huo umekuwa ukuhujumiwa tangu 2010 wakati wa uchaguzi na si wanachadema kama unavyopiga kelele...

Hao viongozi wa CDM Karatu na Mbunge wao wamehojiwa ili kuangalia namna gani ya kudeal na wanaohujumu mradi wa maji..

Haiingii akilini, maji yamesambazwa na CDMtangu 1999 hadi 2000 then leo 2013 watokee CDM waanze kuhujumu... Hivi hawa CCM na vibaraka wao hata kutest tutology ya baadhi ya statement za magazeti yanawashinda???

Au ndiyo zile propaganda kazini ambayo imetufikisha hapa, Mara Dr Slaa mwanaCCM ana hadi Kadi so what?? kwani Mwakyembe ana Kadi ya CDM. Sisi tunampima mtu kwa utendaji kazi, Uadilifu, Uwezo wa Akili hasa pale anapodefend interest za Nchi na Stregth yake katika kudeal na Mafisadi basi
 
cdm si ndo wanaongoza halmashauri na ndio wenye maamuzi mana katika halmashauri madiwani ndio wenye mamlaka ya mwisho....sasa hao wamekula fedha za miradi.....
Tulitegemea cdm mtakuwa mfano wa kuungwa katika halmashauri za wilaya mnazoziongoza lakini mumeonhyesha uzaifu mkubwa kuwa hakuna kitu ni maneno maneno tu ..... Halmashauri tu inawshinda je mtaweza ongoza nchi??????.......

Ndo matatizo ya kuvaa viatu visivyo size yako ona sasa vinakubana.Umetumwa kachukue posho yako Lumumba kwa Nchemba.
 
Wanabodi.

Chama cha CHADEMA kimefanya ufisadi mkubwa na kukwamisha miradi mingi ikiwemo Mradi wa Maji Karatu Vijijini (Kaviwatu) tume ndogo iliyoundwa kuchunguza kukwama kwa miradi hiyo ilitaka baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi wa mradi huo wafukuzwe.

Mradi huo wa maji umeleta mpasuko mkubwa ndani ya chama hicho hasa baina ya sekeretarieti ambayo inadaiwa kuwakingia kifua baadhi ya watuhumiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho ambao wanataka hatua za kinidhamu zichukuliwe.

Baadhi ya viongozi wa CHADEMA ambayo wanatajwa kufanya ufisadi ni Mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Natse, Mbunge wa viti maalumu Cicilia Pareso na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Karatu Lazaro Maasai na Diwani wa Karatu Mjini Jubiless Mnyenye.

SOURCE: MWANANCHI DESEMBA 17, 2012.

Mods uko wapi? unaruhusu uongo hadharani humu jamvin....huyu ritz mwongo sana...soma vizuri mwananchi kama limataja watuhumiwa...
 
Leteni mabilion yetu ya uswis, epa, meremeta. Tangold n.k kwanza ndo tuongee ishu ya hizi thumni.
 
Hili ndilo tatizo la kuwa na akili ya kuungaunga. Huwezi kutoa hoja bila kuomba desa kwa mkimbizi chama?
Haya sasa Chama kuja kipande hii umuokoe huyu zuzu mnayemtuma hapa lakini hana uwezo wa kuwawakilisha!

Mkuu Mwita Maranya hujakatazwa kumwita Molemo akupe desa; mimi sijawa mkimbizi ni mchapa kazi asilia kama vile ulivyoondoka Mugumu Serengeti na kulikita Dar na mimi niliamua kuondoka Dar na kulikita DC yote maisha tu mkuu

Chama
Gongo la mboto DSM
CC: Ritz
 
Last edited by a moderator:
Watu wengi hawajuhi,mradi wa maji wa kaviwasu ni mradi wenye bodi huru inayojitegemea na ndiyo nguzo kubwa ya chadema pale karatu tangu enzi za mzee padri akiwa mbunge,pale fedha zina
iwa utafikiri hakuna mwenyewe kuna mtu anaitwa ticha ndiye meneja,si mbowe wala padri wanafahamu kwa kina ubadhiligu huo unaofanyika katika kaviwasu lakini wanashindwa kupiga kelele kutokana na kunufaika na ufisadi huo
 
Mkuu Ritz
Hivi tutasalimika na hawa viongozi wa Chadema? Waporaji wake za watu; majambazi; mafisadi waongo wote wamo humo kweli kazi ipo.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Thread kama hizi wale walio ziacha akili zao kwenye masaburi ya mafisadi huwakosi wataikomalia kweli kweli...
 
Mkuu Ritz
Hivi tutasalimika na hawa viongozi wa Chadema? Waporaji wake za watu; majambazi; mafisadi waongo wote wamo humo kweli kazi ipo.

Chama
Gongo la mboto DSM
N aukifanya mchezo wata mpora mpaka mama yako....
 
Mkuu Ritz
Hivi tutasalimika na hawa viongozi wa Chadema? Waporaji wake za watu; majambazi; mafisadi waongo wote wamo humo kweli kazi ipo.

Chama
Gongo la mboto DSM

Hahahaha... Mkuu chama naona umeamua kumpigia Ritz baada ya kuku-''beep'' kwa muda mrefu.
Mtahangaika sana lakini mtaishia kuisoma namba japo kimya kimya!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwita Maranya hujakatazwa kumwita Molemo akupe desa; mimi sijawa mkimbizi ni mchapa kazi asilia kama vile ulivyoondoka Mugumu Serengeti na kulikita Dar na mimi niliamua kuondoka Dar na kulikita DC yote maisha tu mkuu

Chama
Gongo la mboto DSM
CC: Ritz

Kumbe kamanda Molemo ndiye kiboko yenu? Ndo maana mnapasiana umbea kila siku na mwandani wako ritz!
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi.

Chama cha CHADEMA kimefanya ufisadi mkubwa na kukwamisha miradi mingi ikiwemo Mradi wa Maji Karatu Vijijini (Kaviwatu) tume ndogo iliyoundwa kuchunguza kukwama kwa miradi hiyo ilitaka baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi wa mradi huo wafukuzwe.

Mradi huo wa maji umeleta mpasuko mkubwa ndani ya chama hicho hasa baina ya sekeretarieti ambayo inadaiwa kuwakingia kifua baadhi ya watuhumiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho ambao wanataka hatua za kinidhamu zichukuliwe.

Baadhi ya viongozi wa CHADEMA ambayo wanatajwa kufanya ufisadi ni Mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Natse, Mbunge wa viti maalumu Cicilia Pareso na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Karatu Lazaro Maasai na Diwani wa Karatu Mjini Jubiless Mnyenye.

SOURCE: MWANANCHI DESEMBA 17, 2012.

Yeah right....JK amefariki dunia!!
 
Mkuu CCM wakifanya ufisadi tuseme lakini Chadema wakifanya ufisadi tunyamaze...aisee!!

Kama we ni mzalendo huwezi kunyamazia ufisadi wowote, sasa kwa hili kama ni kweli, walio fanya ufisadi ni wale walio tajwa na si chadema, chadema itakuwa imefanya ufisadi kama ikibainika wanachama wake wamehusika na isichukue atua kama walivyo mafisadi CCM.
 
napata shida sana na uelewa wako,ndio dcm waongoza halmashauri lakini mwenye fedha ktk halmashauri ni mkurugenzi sio madiwani,tatizo mradi umekwama sio kwamba fedha zimeliwa,nacdm wameonyesha wao ni chama makini ndio maana wameunda tume kuchunguza na tayari chama kimechukuwa hatua stahiki,je ccm ktk halmashauri wanazoziongoza miradi ikikwama nao wanafanya hivyo?
 
Back
Top Bottom