huo mgogoro wa viongozi haujasababishwa na ccm lakini?Mkuu kajipange upya, mimi niko huku karatu hakuna kitu cha aina hiyo, mgogoro uliopo ni wa viongozi na wala si wakutafuna pesa, kwani wao ndo Mkurugenzi wa halimashauri? kmauulize mkurugenzi yeye ndo mwenye pesa,
Hapo kwenye Red, naona unatafuta kuingiza siku mkuu, hivi kwa akili yako Mbunge anawezaje kula pesa? yeye ni mhasibu?
Wanabodi.
Chama cha CHADEMA kimefanya ufisadi mkubwa na kukwamisha miradi mingi ikiwemo Mradi wa Maji Karatu Vijijini (Kaviwatu) tume ndogo iliyoundwa kuchunguza kukwama kwa miradi hiyo ilitaka baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi wa mradi huo wafukuzwe.
Mradi huo wa maji umeleta mpasuko mkubwa ndani ya chama hicho hasa baina ya sekeretarieti ambayo inadaiwa kuwakingia kifua baadhi ya watuhumiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho ambao wanataka hatua za kinidhamu zichukuliwe.
Baadhi ya viongozi wa CHADEMA ambayo wanatajwa kufanya ufisadi ni Mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Natse, Mbunge wa viti maalumu Cicilia Pareso na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Karatu Lazaro Maasai na Diwani wa Karatu Mjini Jubiless Mnyenye.
SOURCE: MWANANCHI DESEMBA 17, 2012.
cdm si ndo wanaongoza halmashauri na ndio wenye maamuzi mana katika halmashauri madiwani ndio wenye mamlaka ya mwisho....sasa hao wamekula fedha za miradi.....
Tulitegemea cdm mtakuwa mfano wa kuungwa katika halmashauri za wilaya mnazoziongoza lakini mumeonhyesha uzaifu mkubwa kuwa hakuna kitu ni maneno maneno tu ..... Halmashauri tu inawshinda je mtaweza ongoza nchi??????.......
Wanabodi.
Chama cha CHADEMA kimefanya ufisadi mkubwa na kukwamisha miradi mingi ikiwemo Mradi wa Maji Karatu Vijijini (Kaviwatu) tume ndogo iliyoundwa kuchunguza kukwama kwa miradi hiyo ilitaka baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi wa mradi huo wafukuzwe.
Mradi huo wa maji umeleta mpasuko mkubwa ndani ya chama hicho hasa baina ya sekeretarieti ambayo inadaiwa kuwakingia kifua baadhi ya watuhumiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho ambao wanataka hatua za kinidhamu zichukuliwe.
Baadhi ya viongozi wa CHADEMA ambayo wanatajwa kufanya ufisadi ni Mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Natse, Mbunge wa viti maalumu Cicilia Pareso na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Karatu Lazaro Maasai na Diwani wa Karatu Mjini Jubiless Mnyenye.
SOURCE: MWANANCHI DESEMBA 17, 2012.
Hili ndilo tatizo la kuwa na akili ya kuungaunga. Huwezi kutoa hoja bila kuomba desa kwa mkimbizi chama?
Haya sasa Chama kuja kipande hii umuokoe huyu zuzu mnayemtuma hapa lakini hana uwezo wa kuwawakilisha!
Mkuu Ritz
Hivi tutasalimika na hawa viongozi wa Chadema? Waporaji wake za watu; majambazi; mafisadi waongo wote wamo humo kweli kazi ipo.
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu Mwita Maranya hujakatazwa kumwita Molemo akupe desa; mimi sijawa mkimbizi ni mchapa kazi asilia kama vile ulivyoondoka Mugumu Serengeti na kulikita Dar na mimi niliamua kuondoka Dar na kulikita DC yote maisha tu mkuu
Chama
Gongo la mboto DSM
CC: Ritz
Wanabodi.
Chama cha CHADEMA kimefanya ufisadi mkubwa na kukwamisha miradi mingi ikiwemo Mradi wa Maji Karatu Vijijini (Kaviwatu) tume ndogo iliyoundwa kuchunguza kukwama kwa miradi hiyo ilitaka baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi wa mradi huo wafukuzwe.
Mradi huo wa maji umeleta mpasuko mkubwa ndani ya chama hicho hasa baina ya sekeretarieti ambayo inadaiwa kuwakingia kifua baadhi ya watuhumiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho ambao wanataka hatua za kinidhamu zichukuliwe.
Baadhi ya viongozi wa CHADEMA ambayo wanatajwa kufanya ufisadi ni Mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Natse, Mbunge wa viti maalumu Cicilia Pareso na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Karatu Lazaro Maasai na Diwani wa Karatu Mjini Jubiless Mnyenye.
SOURCE: MWANANCHI DESEMBA 17, 2012.
Mkuu CCM wakifanya ufisadi tuseme lakini Chadema wakifanya ufisadi tunyamaze...aisee!!