ringer lactate
New Member
- Dec 16, 2012
- 1
- 0
waliosoma hilo gazeti watuthibitishie...maana nna waswas na source yake
Mkuu Ritz
Hivi tutasalimika na hawa viongozi wa Chadema? Waporaji wake za watu; majambazi; mafisadi waongo wote wamo humo kweli kazi ipo.
Chama
Gongo la mboto DSM
Ingekuwa vizuri kama ungemwaga ufisadi wa CCM hapa ili tukaujua vizuri zaidi.Mkuu CCM wakifanya ufisadi tuseme lakini Chadema wakifanya ufisadi tunyamaze...aisee!!
Mods uko wapi? unaruhusu uongo hadharani humu jamvin....huyu ritz mwongo sana...soma vizuri mwananchi kama limataja watuhumiwa...
Kwani wazabuni wanachaguliwa na nani? Tuchambue kwa kujenga sio kwa nia ya madaraka tu. Halmashauri zinazoongozwa na chadema zilitakuwa kuwa mfano.
cdm si ndo wanaongoza halmashauri na ndio wenye maamuzi mana katika halmashauri madiwani ndio wenye mamlaka ya mwisho....sasa hao wamekula fedha za miradi.....
Tulitegemea cdm mtakuwa mfano wa kuungwa katika halmashauri za wilaya mnazoziongoza lakini mumeonhyesha uzaifu mkubwa kuwa hakuna kitu ni maneno maneno tu ..... Halmashauri tu inawshinda je mtaweza ongoza nchi??????.......
Wanabodi.
Chama cha CHADEMA kimefanya ufisadi mkubwa na kukwamisha miradi mingi ikiwemo Mradi wa Maji Karatu Vijijini (Kaviwatu) tume ndogo iliyoundwa kuchunguza kukwama kwa miradi hiyo ilitaka baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi wa mradi huo wafukuzwe.
Mradi huo wa maji umeleta mpasuko mkubwa ndani ya chama hicho hasa baina ya sekeretarieti ambayo inadaiwa kuwakingia kifua baadhi ya watuhumiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho ambao wanataka hatua za kinidhamu zichukuliwe.
Baadhi ya viongozi wa CHADEMA ambayo wanatajwa kufanya ufisadi ni Mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Natse, Mbunge wa viti maalumu Cicilia Pareso na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Karatu Lazaro Maasai na Diwani wa Karatu Mjini Jubiless Mnyenye.
SOURCE: MWANANCHI DESEMBA 17, 2012.
Mkuu ritz acha umbeya,kadiri ya siku zinavyozidi ,unazidi kujishushia heshima tu jamvini.Una shida gani kunako ubongo,bila kushabikia uzushi unaohusu CHADEMA? aha! aha! mkuu unafirisika,labda uje na ID mpya,hongera kwa kuchagua ujinga.Wanabodi.
Chama cha CHADEMA kimefanya ufisadi mkubwa na kukwamisha miradi mingi ikiwemo Mradi wa Maji Karatu Vijijini (Kaviwatu) tume ndogo iliyoundwa kuchunguza kukwama kwa miradi hiyo ilitaka baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi wa mradi huo wafukuzwe.
Mradi huo wa maji umeleta mpasuko mkubwa ndani ya chama hicho hasa baina ya sekeretarieti ambayo inadaiwa kuwakingia kifua baadhi ya watuhumiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho ambao wanataka hatua za kinidhamu zichukuliwe.
Baadhi ya viongozi wa CHADEMA ambayo wanatajwa kufanya ufisadi ni Mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Natse, Mbunge wa viti maalumu Cicilia Pareso na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Karatu Lazaro Maasai na Diwani wa Karatu Mjini Jubiless Mnyenye.
SOURCE: MWANANCHI DESEMBA 17, 2012.
Dr Slaa chukuwa hatua Karatu.
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:
Forum:Naona mambo yameanza kuwekwa hadharaniWanabodi.
Chama cha CHADEMA kimefanya ufisadi mkubwa na kukwamisha miradi mingi ikiwemo Mradi wa Maji Karatu Vijijini (Kaviwatu) tume ndogo iliyoundwa kuchunguza kukwama kwa miradi hiyo ilitaka baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi wa mradi huo wafukuzwe.
Mradi huo wa maji umeleta mpasuko mkubwa ndani ya chama hicho hasa baina ya sekeretarieti ambayo inadaiwa kuwakingia kifua baadhi ya watuhumiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho ambao wanataka hatua za kinidhamu zichukuliwe.
Baadhi ya viongozi wa CHADEMA ambayo wanatajwa kufanya ufisadi ni Mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Natse, Mbunge wa viti maalumu Cicilia Pareso na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Karatu Lazaro Maasai na Diwani wa Karatu Mjini Jubiless Mnyenye.
SOURCE: MWANANCHI DESEMBA 17, 2012.
Waungwana chama cha CHADEMA kipo katika kipindi kigumu ambaho uongozi wake haujuwi pa kushika ili kurudi katika mstari wa kawaida. Hali imekuwa mbaya kwa vile vuguvugu la kutaka mabadiliko limeanzishwa na vijana ambao wana nguvu kubwa ya ushawishi ndani ya chama. Haijulikani uongozi wa juu utakuja na kauli gani baada ya kuendesha vikao siku 2 mfululizo pasipo ajenda zenye mshiko; huku matawini waanachama wanajiuliza kulikoni hatima ya chama chao; hasa tuhuma nzito dhidi ya Dr. Slaa zina asilimia kubwa ya ukweli pasipo kupata wazo mbadala kutoka kwa Dr. Slaa na Mwenyekiti wa Chama.
Dalili zipo wazi kuwa CHADEMA imeshindwa M4C badala yake kivitendo wanaendesha M4D ikiashiria mwisho wa CDM na harakati zao kuelekea mjengoni Magogoni.
KILICHOPO SASA HIVI NDANI YA CDM NI MATUMIZI YASIYO NA TIJA KUTUMIA RASLIMALI IKIWEPO RUZUKU NYINGI KUENDESHA VIKAO VYA MAELEWANO BADALA YA KUIMARISHA CHAMA.