kula pesa siyo lazima uwe mhasibu ukisema waziri amekula pesa kwani yeye ni mhasibu wa wizara? Kilichopo ni kwamba ana shirikiana na wahasibu kula fedha,,hapo kwenye red, naona unatafuta kuingiza siku mkuu, hivi kwa akili yako mbunge anawezaje kula pesa? Yeye ni mhasibu?