Mgogoro waitikisa CHADEMA!

Mgogoro waitikisa CHADEMA!

Source?!.. Hizo ni hisia, umbea au?????????????????????????????
 
Pamoja na mapungufu yake, CHADEMA wapo serious sana kumshughulikia yeyote anayekiuka miiko na taratibu za chama na taifa kwa ujumla. Hawa ndiyo wanaostahili kushika dola, maana kwa hakika hawatamvumilia fisadi. CHADEMA ni tofauti kabisa na CCM ambayo inaishi kwa kushabikia uenzetu na kulipana fadhila.

Naamini kama kampeni ya kujivua gamba ingekuwa iliendeshwa na chadema, ni dhahiri hakuna fisadi ambaye angesalia katika system. Hivi leo tusingezungumzia suala la mgao wa umeme, wala ukosefu wa maji Dar es salaam na maeneo mengine ya nchi ambayo miradi yake imehujumiwa na watu wachache.

Tuiunge mkono CHADEMA. Wapo tayari kumpoteza mwanachama ili kulinda heshima na miiko ya chama chao na sheria za nchi. Hawana muda wa kumwangalia mtu usoni. Long live CHADEMA!
 
Subiri Xmas ukapate ujira wako wa pilau ya mchicha pale lumumba.
 
Results 1 to 30 of 101
 
Pamoja na mapungufu yake, CHADEMA wapo serious sana kumshughulikia yeyote anayekiuka miiko na taratibu za chama na taifa kwa ujumla. Hawa ndiyo wanaostahili kushika dola, maana kwa hakika hawatamvumilia fisadi. CHADEMA ni tofauti kabisa na CCM ambayo inaishi kwa kushabikia uenzetu na kulipana fadhila.

Naamini kama kampeni ya kujivua gamba ingekuwa iliendeshwa na chadema, ni dhahiri hakuna fisadi ambaye angesalia katika system. Hivi leo tusingezungumzia suala la mgao wa umeme, wala ukosefu wa maji Dar es salaam na maeneo mengine ya nchi ambayo miradi yake imehujumiwa na watu wachache.

Tuiunge mkono CHADEMA. Wapo tayari kumpoteza mwanachama ili kulinda heshima na miiko ya chama chao na sheria za nchi. Hawana muda wa kumwangalia mtu usoni. Long live CHADEMA!

Mkuu Mungu wangu akubariki kwa ukweli wako huo.
 

....ccm wangia karatu ...cm ..0 na ..ana Ngorongoro...Tembo ...wa...nusa....
 



..majangili yapiga hodi KARATU ....TEMBO... NA... PEMBE..... Wakibimbilia Serengeti sasa tembo........wanaongelelea ..ziwa Victoria..... kuelekea...... Nile

Source:
LUMBUMBA
 
R.B

Kuandika kuwa CHADEMA waanza kutimuana itakuwa ni umbea, unasemaje tunaanza wakati huo ndo mwendo wetu??? sisi tunauthubutu, watu wasioendana na itikadi za chama ni utaratibu wetu kuwamimina, tumeshatimua madiwani Arusha na maeneo mengine, unaposema tunaanza unamaana gani hasa????

Neno kuanza ungekaa nalo kwanza hadi ukiona CCM wametimua mtu ndo ulitumie mana wao hawana uthubutu wa kufukuza mtu anayeenda kinyume na maadili ya chama sababu chama chao hakina maadili, sisi hatuna kuremba, ukijichanganya tunakumimina uwe diwani au mbunge.

Neno waanza nadhan hukupaswa kulitumia kwa chadema sisi hizo ndo zetu mbona toka kitambo, we mean business, we need discipline???Hatujaanza leo.
 
Last edited by a moderator:
Kamwe hatuwezi kulea mafisadi na majangili kama chama cha magamba.
 
Kuna kila ulazima wa kuwashughulika wale watovu wa nidhamu ili kukiweka chama chao vzr

CDM pigeni mzigo
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

UFAFANUZI WA AWALI KUHUSU KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHADEMA

KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) iliyoketi kikao chake cha kawaida kwa siku mbili, Desemba 15-16, 2012, katika Hotel ya Blue Pearl, jijini Dar es Salaam, imemaliza kikao chake Desemba 16, usiku.

Pamoja na kwamba maazimio yote ya kikao hicho yatatolewa kwa umma kupitia vyombo vya habari, Desemba 18, 2012, huu ni ufafanuzi wa awali kutokana na kuwepo kwa taarifa zinazowakanganya wanachama na Watanzania kwa ujumla, zilizoandikwa
tangu jana Jumapili na Jumatatu, katika baadhi ya vyombo vya habari.

Mbali ya kujadili masuala mbalimbali, ikiwemo kupokea taarifa ya hatua kadhaa za utekelezaji wa maazimio yatokanayo na vikao viwili
vilivyotangulia, Kamati Kuu pia ilijadili hali ya siasa nchini, mchakato wa Katiba Mpya na Vuguvugu la Mabadiliko (M4C).

Kamati Kuu pia ilipokea taarifa ya mwenendo wa chama kutoka maeneo mbalimbali nchini, ambapo ilijadili pia kasoro za utendaji wa viongozi wa chama katika Wilaya ya Karatu.

Kamati Kuu ilichukua uamuzi wa kusimamisha uongozi mzima wa Wilaya ya Karatu na kuweka shughuli za utendaji wa chama chini ya uangalizi wa Kamati Kuu mpaka hapo itakapotolewa maagizo mengine baadae.

Aidha, Kamati Kuu pia ilipokea na kujadili mwenendo wa utendaji kazi wa baadhi ya viongozi wa taasisi za kiserikali wanaotokana na
CHADEMA, hasa katika masuala ya ardhi na maji Wilayani Karatu.

Kikao pia kilibaini kuwa taarifa zinazohusu masuala hayo ya maji na ardhi ni tofauti na namna zilivyoripotiwa katika baadhi ya vyombo vya habari.

Aidha kutokana na mjadala, iliazimiwa hatua kadhaa zichukuliwe, ambazo umma utaarifiwa katika tamko la Kamati Kuu litakalotolewa
kupitia waandishi wa habari.

Imetolewa leo, Desemba 17, 2012,
Dar es Salaam na;
Tumaini Makene
Ofisa Mwandamizi wa Habari
CHADEMA
 
heri chadema ikose jimbo au halmashauri lakini nidhamu inabaki ndani ya chama
 
Pamoja na mapungufu yake, CHADEMA wapo serious sana kumshughulikia yeyote anayekiuka miiko na taratibu za chama na taifa kwa ujumla. Hawa ndiyo wanaostahili kushika dola, maana kwa hakika hawatamvumilia fisadi. CHADEMA ni tofauti kabisa na CCM ambayo inaishi kwa kushabikia uenzetu na kulipana fadhila.

Naamini kama kampeni ya kujivua gamba ingekuwa iliendeshwa na chadema, ni dhahiri hakuna fisadi ambaye angesalia katika system. Hivi leo tusingezungumzia suala la mgao wa umeme, wala ukosefu wa maji Dar es salaam na maeneo mengine ya nchi ambayo miradi yake imehujumiwa na watu wachache.

Tuiunge mkono CHADEMA. Wapo tayari kumpoteza mwanachama ili kulinda heshima na miiko ya chama chao na sheria za nchi. Hawana muda wa kumwangalia mtu usoni. Long live CHADEMA!

Hiki ulichosema ndio hakipo CCM. Wananchi wanapenda kuona nidhani inadumishwa kwa wote wanaokengeuka, lakini serikali ya CCM imekuwa ni chaka la kutunza wahalifu, siku CCM watakapoanza kutumia fagio la chuma alilopewa raisi Mwinyi mwaka ule, CCM itarudi kwenye chati kwa haraka, bila hivyo CCM ndio basi tena
 
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) iliyoketi kikao chake cha kawaida kwa siku mbili, Desemba 15-16, 2012, katika Hotel ya Blue Pearl, jijini Dar es Salaam, imemaliza kikao chake Desemba 16, usiku.

Pamoja na kwamba maazimio yote ya kikao hicho yatatolewa kwa umma kupitia vyombo vya habari, Desemba 18, 2012, huu ni ufafanuzi wa awali kutokana na kuwepo kwa taarifa zinazowakanganya wanachama na Watanzania kwa ujumla, zilizoandikwa tangu jana Jumapili na Jumatatu, katika baadhi ya vyombo vya habari.

Mbali ya kujadili masuala mbalimbali, ikiwemo kupokea taarifa ya hatua kadhaa za utekelezaji wa maazimio yatokanayo na vikao viwili vilivyotangulia, Kamati Kuu pia ilijadili hali ya siasa nchini, mchakato wa Katiba Mpya na Vuguvugu la Mabadiliko (M4C).

Kamati Kuu pia ilipokea taarifa ya mwenendo wa chama kutoka maeneo mbalimbali nchini, ambapo ilijadili pia kasoro za utendaji wa viongozi wa chama katika Wilaya ya Karatu.

Kamati Kuu ilichukua uamuzi wa kusimamisha uongozi mzima wa Wilaya ya Karatu na kuweka shughuli za utendaji wa chama chini ya uangalizi wa Kamati Kuu mpaka hapo itakapotolewa maagizo mengine baadae.

Aidha, Kamati Kuu pia ilipokea na kujadili mwenendo wa utendaji kazi wa baadhi ya viongozi wa taasisi za kiserikali wanaotokana na CHADEMA, hasa katika masuala ya ardhi na maji Wilayani Karatu.

Kikao pia kilibaini kuwa taarifa zinazohusu masuala hayo ya maji na ardhi ni tofauti na namna zilivyoripotiwa katika baadhi ya vyombo vya habari. Aidha kutokana na mjadala, iliazimiwa hatua kadhaa zichukuliwe, ambazo umma utaarifiwa katika tamko la Kamati Kuu litakalotolewa kupitia waandishi wa habari.

Imetolewa leo, Desemba 17, 2012, Dar es Salaam na;

Tumaini Makene
Ofisa Mwandamizi wa Habari CHADEMA
 
Jana niliona uzi mmoja umeletwa na Ritz kuhusu mambo ya Karatu sikujua kama Ritz yuko ndani ya CDM!
 
Last edited by a moderator:
mkuu kajipange upya, mimi niko huku karatu hakuna kitu cha aina hiyo, mgogoro uliopo ni wa viongozi na wala si wakutafuna pesa, kwani wao ndo mkurugenzi wa halimashauri? Kmauulize mkurugenzi yeye ndo mwenye pesa,

mimi nashangazwa na nyie wanasiasa wa vyama hivi viwili ccm/cdm, ili mradi ukitetee chama chako nyote muko tayari kuiweka mhanga nchi yetu. Tusidanganyane uko mpasuko mkubwa sana katika kikao hichi cha cdm, wakubwa wengi akiwamo dr.slaa wanawapigia vifua mafisadi wa karatu. Na kuna wale majasiri ndani ya cdm wanosema, hata ikionekan harufu ya ufusadi popote au kwa mwanchama yeyote, basi ni lazima aonyeshwe mlango au achukuliwe hatua na kupelekwa mahakamani. Hamtaweza kuwatukana ccm kwa ufisadi na hali nyie muna protect mafisadi wano va ngu za kidini.
 
MGOGORO mkubwa unakinyemelea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), baada ya kuelezwa kuwa sekretarieti yake imekayakataa mapendekezo ya Tume ndogo iliyoundwa kuchunguza kukwama kwa miradi mingi ya maendeleo, ukiwamo wa Maji Karatu Vijijini (Kaviwatu), ambayo ilitaka baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi wa mradi huo wafukuzwe.

Mradi huo wa maji unaelezwa kusababisha mpasuko mkubwa ndani ya chama hicho hasa baina ya sekeretarieti ambayo inadaiwa kuwakingia kifua baadhi ya watuhumiwa na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho ambao wanataka hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi yao.

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba alisema kwamba baadhi ya viongozi wa Chadema Wilaya ya Karatu uliko mradi huo walihojiwa jana, lakini akasema hapakuwa na mpango wowote wa kufukuzana.

“Ninachoelewa ni kwamba waliitwa wakahojiwa na kitakachofuata ni kupewa maagizo ambayo lazima wayafuate na atakayekiuka ndiye atakayefukuzwa,” alisema Mwigamba.

Baadhi ya viongozi wa Chadema Karatu waliotarajiwa kuhojiwa jana ili kupata suluhu ya mgogoro huo ni pamoja na Mbunge wa Karatu, Mchungaji Israel Natse, Mbunge wa Viti Maalumu, Cecilia Pareso na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Karatu, Lazaro Maasai na Diwani wa Karatu Mjini, Jubiless Mnyenye.

Viongozi wakuu wa Chadema hawakupatikana jana kwa kuwa muda mwingi walikuwa katika kikao hicho ambacho kilimalizika jana, huku ikielezwa kuwa taarifa rasmi kuhusu yaliyojadiliwa itatolewa leo.

Alipoulizwa kuhusu mgogoro huo, Msemaji wa Chadema Tumaini Makene alisema agenda za kikao hicho zilikuwa wazi na ziliainishwa katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa juzi.

“Hakuna zaidi ya hizo na leo (jana), ni masuala ya Katiba Mpya. Kwenye yatonakayo, masuala mbalimbali katika maeneo mbalimbali ya nchi yanajadiliwa nchi nzima kwa sababu yanatokana na vikao vilivyopita si Karatu pekee. Angalia usije ukalishwa matangopori,” alisema.

Kumshinikiza Rais
Habari zaidi kutoka katika kikao hicho zinaeleza kuwa kamati hiyo imeazimia kuchukua hatua ya kumshinikiza Rais Jakaya Kikwete kusimamia utekelezaji wa masuala ambayo yapo katika mamlaka yake ikiwa ni pamoja na kumwajibisha Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Emmanuel Nchimbi.

Wengine ambao kimesema kinataka wawajibishwe ni Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali, Said Mwema, Mkuu wa Operesheni wa Polisi, Paul Chagonja na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile.

Kamati hiyo pia imeazimia kuanzia Januari kuwa na operesheni kubwa ya Vuguvugu la Mabadiliko (M4C), nchi nzima kushinikiza utekelezaji hatua za kinidhamu kwa watendaji hao na watuhumiwa wa ufisadi wa Fedha za Madeni ya Nje (EPA).

CHANZO: Mwananchi | Disemba 17, 2012

***************************

barida.
 
Back
Top Bottom