kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,368
Ubelgiji na Ufaransa Wamekuwa wakivuna shamba la Madini la Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kulifaidi pasipo kupanda kitu.
Nchi ya Congo ni moja katika ya nchi duniani zenye utajiri mkubwa wa madini lakini ajabu ni kwamba Congo ni kati ya nchi 10 maskini zaidi duniani!
Kumekuwa na mgogoro wa DR Congo na Rwanda, mgogoro huo kwa sasa umefikia pabaya kwani DR Congo imempa Balozi wa Rwanda, Vincent Karenga saa 48 kuondoka.
Congo inaituhumu Rwanda kuwa inawasapoti na kuwaunga mkono waasi wa M23.
Hata hivyo Rwanda siku zote wamepinga madai hayo! Kumekuwa na suluhisho za kidiplomasia lakini zote hizo hazikufua dafu mpaka sasa Rais wa Congo yuko tayari kutumia nguvu za kijeshi kutatua suala hilo, Rwanda imejibu na kusema wako tayari kwa hatua zozote za kichokozi za Congo.
Nchi hizi mbili ni washirika wa Afrika Mashariki, hivo basi lolote litakalojitokeza basi lina athari kwa Jumuiya yote ya Afrika Mashariki.
Ufaransa na Ubelgiji wanajua kila kitu kinachoendelea.
Afrika yafaa kuungana na kumpiga adui.
Nchi ya Congo ni moja katika ya nchi duniani zenye utajiri mkubwa wa madini lakini ajabu ni kwamba Congo ni kati ya nchi 10 maskini zaidi duniani!
Kumekuwa na mgogoro wa DR Congo na Rwanda, mgogoro huo kwa sasa umefikia pabaya kwani DR Congo imempa Balozi wa Rwanda, Vincent Karenga saa 48 kuondoka.
Congo inaituhumu Rwanda kuwa inawasapoti na kuwaunga mkono waasi wa M23.
Hata hivyo Rwanda siku zote wamepinga madai hayo! Kumekuwa na suluhisho za kidiplomasia lakini zote hizo hazikufua dafu mpaka sasa Rais wa Congo yuko tayari kutumia nguvu za kijeshi kutatua suala hilo, Rwanda imejibu na kusema wako tayari kwa hatua zozote za kichokozi za Congo.
Nchi hizi mbili ni washirika wa Afrika Mashariki, hivo basi lolote litakalojitokeza basi lina athari kwa Jumuiya yote ya Afrika Mashariki.
Ufaransa na Ubelgiji wanajua kila kitu kinachoendelea.
Afrika yafaa kuungana na kumpiga adui.