Mkuu
Pasco kwa mtanzania wa kawaida atakwambia ITV ndio The best TV station kwa sababu ya
1/Big Coverage
2/Persistance
3/A bit balance news.
4/Kujaribu kuwapa kile watu wanachokitaka.
But kwa sababu zako ni kweli TBC ilifikia Ubora huo lakini kwa sababu wanarudi nyuma
kwa kasi kubwa.
*Japokuwa madai hayo sio siri kwa watumishi wa tbc Mtonyaji wa habari hii sio kijana wa juzi ni mtu mzima aliyefikia umri wa kustaafu, imebidi afikie kusema haya kwa sababu hataki kuwa kama wale wazee wa jumuiya ya East Africa iliyovunjika, anataka apate haki zake sasa na sio akishaacha kazi au kufa.