Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 256
Ushauri wa bure kwa Sita, Mwakyembe, Magufuli, Kilango, Ole Sendeka na Tibaijuka. Ndege wa kundi moja huruka pamoja. Ukitembea na mwizi utakuwa mwizi. Kwa harakaharaka wote mnaonekana nyie ni watu wasafi katika dimbwi la mafisadi. Mnatumia nguvu nyingi sana kujibambanua na kuonyesha tofauti zenu na mafisadi.
Amueni sasa kujiunga na mafisadi kabisa ili nanyi muishi kwa amani, msitishiwe kuuwawa , nanyie anzisheni madili yenu kama ya Richmondi na dowans AU Jitoeni kama Mpendazoe ili mjiunge kundi linalo eleweka kuwa sawa na dhamira zenu, najua mnalijua. Karibuni sana msingoje mpaka UVCCM wawafukuze.
Amueni sasa kujiunga na mafisadi kabisa ili nanyi muishi kwa amani, msitishiwe kuuwawa , nanyie anzisheni madili yenu kama ya Richmondi na dowans AU Jitoeni kama Mpendazoe ili mjiunge kundi linalo eleweka kuwa sawa na dhamira zenu, najua mnalijua. Karibuni sana msingoje mpaka UVCCM wawafukuze.