Niliona kidogo jamaa (yule mdogo mdogo) yuko poa, ila muda ule ule Aljazeera walikua wanaonesha kichapo alichokula Ghadafi and was more interesting kuliko hizi siasa za CCM, yule bwanasijui anaitwa mwakayii(wa je tutafika?) ukimsikiliza vizuri utagundua ana uCCM mwingi sana ndani yake