MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,349
- 11,228
Mkuu hizi agenda watu hawasukumi bure... kuna pesa nyingi sana watu wanavuta kutoka kwa foundations mbalimbali duniani.
Angalia NGO ya Maria Sarungi ililipewa pesa kiasi gani mwaka 2018
Unaweza kujikuta unasukuma gari la wenzako bila kujua. Ndio maana watu wengi mtandaoni wakianza kupiga kelele kuhusu jambo moja wanageuka kama makasuku, maneno yaleyale na inawezakana yanaandikwa na mtu mmoja
Angalia NGO ya Maria Sarungi ililipewa pesa kiasi gani mwaka 2018
Unaweza kujikuta unasukuma gari la wenzako bila kujua. Ndio maana watu wengi mtandaoni wakianza kupiga kelele kuhusu jambo moja wanageuka kama makasuku, maneno yaleyale na inawezakana yanaandikwa na mtu mmoja