MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,734
Aisee, mimi sitaki kuwa mtetezi wa Wamasai ila hawa jamaa wanaonewa kwa asilimia 100.
Kenya Hifadhi ya Amboseli wamepeaa count ya Kajiado waisimamie kuanzia sasa na huo Ruto anadai ni Ushauri wa UNESCO baada ya kuona Wamasai hawana shida na wanyama.
Sasa kwa nini wamasai wa Ngorongoro wanatimuliwa.
Kenya Hifadhi ya Amboseli wamepeaa count ya Kajiado waisimamie kuanzia sasa na huo Ruto anadai ni Ushauri wa UNESCO baada ya kuona Wamasai hawana shida na wanyama.
Sasa kwa nini wamasai wa Ngorongoro wanatimuliwa.