duh we una makosa mengi sana
1. Umejiunga tu na kutupatia chai, umesema ulikuwa unafuatilia jf kupitia simu ya "batani". Sawasawa
2. Umeingia tu na kujipa umalkia.
Anyway, karibu sana. Kwanza nikupe siri, Moderator ni
Mbaga Jr
Pili, Ukiona kuna mtu anakusumbua niambie nimpe ban