Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
wanaopata mimba ni kiherehere chao.
Wanaoathiriwa na mgao wa umeme ni uzembe wao.
Mawazo ya 'kwamba tunamgao wa umeme ni ya chadema' wao hawaoni mazuri wanaona mabaya tu.
Serikari imefanya mambo mengi mazuri tangu uhuru, ikiwa ni pamoja na mgao wa umeme usiokwisha. Hayo yote ni maendeleo.
Ccm wamejitahidi sana kama si wao nchi ingekuwa haina hata generator, lakini sasa watu wengi wamejua generator, mishumaa, taa za chemli, torch za kucharge na solar.
Ngeleja tunakupongeza kwa utendaji wa hali ya juu ulio makini na wenye tija. Raisi anapaswa kukupa uwaziri mkuu.
Wanaoathiriwa na mgao wa umeme ni uzembe wao.
Mawazo ya 'kwamba tunamgao wa umeme ni ya chadema' wao hawaoni mazuri wanaona mabaya tu.
Serikari imefanya mambo mengi mazuri tangu uhuru, ikiwa ni pamoja na mgao wa umeme usiokwisha. Hayo yote ni maendeleo.
Ccm wamejitahidi sana kama si wao nchi ingekuwa haina hata generator, lakini sasa watu wengi wamejua generator, mishumaa, taa za chemli, torch za kucharge na solar.
Ngeleja tunakupongeza kwa utendaji wa hali ya juu ulio makini na wenye tija. Raisi anapaswa kukupa uwaziri mkuu.