Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Watanzania tumenyanyasika sana, tumeonewa sana, tumedhulumiwa sana, tumeumizwa sana na hii serikali yetu kwa hii migao ya umeme isiyokwaisha na inayokuja na visingizio lukuki.
Imefika wakati sasa tuamke na kudai haki yetu ya kupata umeme masaa 24 kama wanavyopata wao. Kwani wao wana haki ya nchi hii kuliko sisi?
Nani atutetee watanzania katika huu mgao mkali.
Imefika wakati sasa tuamke na kudai haki yetu ya kupata umeme masaa 24 kama wanavyopata wao. Kwani wao wana haki ya nchi hii kuliko sisi?
Nani atutetee watanzania katika huu mgao mkali.