Wana JF itabidi niilaumu serikali kwa kunifanya niwe mlevi kwani kila umeme unapokatika hasa usiku by saa moja najongea kwenye baa yenye umeme napiga laga zangu mpaka mida ya kulala naenda kulala, hata iwe monday, kwa hali hii mgao ukiendelea kwa miezi kadhaa ntakuwa chapombe! please serikali naomba mgao uishe, maana najua madhara yake ni makubwa