green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,308
- 35,852
Kata ya Kivule na Majohe ipo gizani sasa inaendea masaa 24 toka Tanesco wakate umeme. Si kawaida hali kutokea na hamna taarifa yoyote ya mababiliko ya ratiba ya mgao. Kama mmeamua kukatisha kutoa huduma maeneo haya tangazeni wananchi wajue namna kupata umeme wa uhakika kwa njia zingine mbali na Tanesco. Mnakera sana nyie kenge