ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,004
- 9,081
Lazima uote ndoto za hatari hatari kwa ugiligili huo uliomeza usiku wa tukio
Lazima uote ndoto za hatari hatari kwa ugiligili huo uliomeza usiku wa tukio
kwani Martin Luther alikunywa nini mpaka akaota ile "I have a dream..."Lazima uote ndoto za hatari hatari kwa ugiligili huo uliomeza usiku wa tukio
Hii comments Ina tofauti gani na nilichoandika hapo juu? Ushahidi wa kimazingira pekee haitoshi kumtia mtu hatiani.General rule states that circumstencial evidence must be corraborated
Hamis Shedafa vs R
"Among other things when there exist circumstencial evidence must be corraborated"
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Demu wake mbona hakujitokeza kumtetea.Jamaa alitoroka shulen kwao akamfata Demu wake kwenye hicho chuo likapigwa tukio na yeye akashikwa kwnye eneo la tukio wakamuunganisha kwenye hiyo kes hakua gaid chalii hajui hata kupakia risas kwenye magazine
Acha maneno wewweeNaskia dogo alikuwa na sponsor wake(basha) alikuwa anasoma pale garissa na ndiyo dogo alienda kwake.
Aliogopa kusema hivo kwasababu wazazi wangejiua kusikia mtoto wao gay
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaolazimishwa kujitoa mhanga ni wachache sana, wengi wanajitoa wenyewe wakiassociate kitendo hicho na suala la kiimaniYes ukisoma story zao wengi wanadanganywa wanajikuta tayari washaingia kwenye mtego na kuchomoka hawawezi. Wengi ni victims. Hata Boko Haram wengi wanaojitoa mhanga wanakuwa wamelazimishwa. Nilisoma story ya binti flani aliyefungwa mabomu lakini bahati nzuri hayakulipuka na wategua mabomu waliweza yategua. Alikuwa kalazimishwa kujitoa mhanga baada ya kutekwa.
Kuna mengi nyuma ya story ya huyu kijana ambayo haiko wazi.
Sio 9 nawewe ni 72Ngoja aende Wanakofundishwa kwamba atapewa MABIKIRA 9 akale raha za Ahera. Dogo alitoroka shule kisa tu Mafundisho ya watu wachache Wapumbavu wanaoharibu Vijana wetu.
Tukemee na Tutoe taarifa kwa Vyombo vya Usalama pindi tunapoona Mawakala wa Vikundi vya Kigaidi wakiwashawishi Vijana kwenda kuungana na Vikundi hivi.
Kule Cabo Delgado Watanzania pia wapo na Wengine huenda ni Member hapa JF, hebu waoneeeni huruma Hawa Vijana wadogo mnawarubuni kutenda Unyama. Hakika mnawafutia ndoto zao za Maisha.
We jamaa tunashindwa hata kukuelewa...kijana alifikaje Garisa bila mchongo wowote ule !?? isitoshe Tz alitoweka kwa kipindi kirefu tu na hakuna mtu aliyejua yupo wapi leo hii unataka ushahidi gani!!!..Nyie ndio mnawafanya hawa watu(magaidi) waendelee kuona kumbe kuna watu wanawaunga mkono .Sitoshangaa kuona unafurahia yalitokea NigeriaMbona watu mna uelewa mdogo hivi?
Hapa tunachangia under speculation what if
He was not guilty
What if alishindwa Tu kujieleza vizuri..
Aliekwambia hapa tunamtetea nani?
Au tunaunga mkono alichofanya kama kafanya kweli nani?
Ndio hivyo ameshajinyonga zake kama unasikia uchungu mfuateBro kajisaidie haja kubwa.
Kisha rudi tena kusoma argument za jamaa. Mie mwenyewe naamini dogo hakua na hatia yoyote.
Ni vile tu tukio limetokea na yeye akiwa mazingira hayo.
Ukitoka kujisaidia rudi hapa.
Walichoongea BBC usiku huu naungana na wewe kabisa, wengine wamefungwa miaka arubaini (40) yeye kafungwa maisha, rufaa inasikilizwa ati kajiua, hapo mkuu, dhana yangu ni kwamba gereza wanajua kilichomuua si kwamba kajiuaNdo maana nilisema Una tatizo la kuelewa
Hoja zangu nyingi zime base kwenye maswali
Kuuliza zaidi kuliko kupinga..
Hata niliposema kitu hakiko sahihi nimekubali waliokuja kunikosoa...
Na nimeongea waziwazi hapa nina speculate Tu kuwa hakuwa na hatia
Au pengine alikuwa brainwashed kuingia huko..
Kuna mtu humu kasema dogo alipewa Bomu
Akaenda kujificha badala ya kulipua Hilo bomu...
Sasa gaidi gani gani anaogopa kulipua bomu na kujificha???
Nchi zenye mahakama na mifumo mizuri huyu
Dogo asingehukumiwa maisha .
Hakimu pengine alikuwa emotional
Hakuna sehemu niliposema huyu dogo ni 100
Percent innocent au hakushiriki kabisa..
I hope umenielewa
Korani 2:216Najivunia Yesu Ndiye Mwenye Uwezo
Naona fahari Kuwa Mkiristo
Aksante Mungu