Wewe MKUU hata huyo anayekutuma huko kibaruani kwako,,, unajuwa anafanya biashara gn? utajiri wa mtu una siri nyingi Sana,,, wapo watu kibao hapo bongo watu wanakutana nao viwanja,,,na watu wanajuwa wanachofanya,,,mabaharia tunasema WHAT HAPPENS IN THE JUNGLE STAYS IN THE JUNGLE....MIKAUSHO na wakirudi hapo na wao mikausho,,,MIKALI,, ,,usipige KELELE KAMA MBWA KOKO,,,,,huna unachojuwa connections wala system za mambo ya madawa,,,waache WENYEWE na mambo yao,,, hakuna MTU asiyependa pesa za haraka,,,,,wacha wivu ..wa kijinga,,,,mbona wewe unachofanya kwenye KIGENGE CHAKO WATU HAWAKUINGILII,, kama MAUMIVU yakizidi kalia kitu chenye ncha Kali,,,...UKOJOWE....upoze machungu....MKUU..