MFUMO WETU WA ELIMU UNATUHARIBIA VIJANA MAISHA

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,537
4,517
Ni safari ndefu yenye gharama nyingi za muda na pesa...lakini mafanikio ni madogo kulinganisha na hasara zake...

Sijui lengo lake hasa ni lipi mfumo huu...

Maana vijana wanaanza kuharibikia wakiingia form 1...form 3 ni kuchochea tu uharibifu...hasa mabint mpaka anafika chuo...hata awe mchaMungu vipi...chuoni ni taasisi inayoharibu mabint wetu sana...

Waliotutungia mfumo huu...usikute wenyewe walisoma mpaka darasa la 4 primary...alaf mpk form 4 alafu sijui 6 then chuo...ndo wakatuletea utumbo huu...

Huu mfumo huu...hebu nieleze experience yako...
 
Naunga mkono hoja
Vijana wengi wanaharibika hasa wakifika vyuoni inasikitisha.. vijana badala ya kufuata masomo vyuoni bali wao wanafuata mambo ya anasa
Ila sijaona sababu ya mfumo kuharibiwa me naona ni mtu binafsi na akili kwasababu sio wote wanaopotea mkuu
 
Naunga mkono hoja
Vijana wengi wanaharibika hasa wakifika vyuoni inasikitisha.. vijana badala ya kufuata masomo vyuoni bali wao wanafuata mambo ya anasa
Ila sijaona sababu ya mfumo kuharibiwa me naona ni mtu binafsi na akili kwasababu sio wote wanaopotea mkuu
Kaka ni mtihani...
 
Back
Top Bottom