Mfumo wa Vyama vingi na Katiba ya chama kimoja

Mfumo wa Vyama vingi na Katiba ya chama kimoja

Sizani kama nitaeleweka kwa wengi swali hili nimeliuliza kwa Wajuvi wa masuala ya Siasa hasa ktk kipindi ambacho tumeshuhudia vurugu wakati wa Kampeni za Chaguzi ndogo ambazo zimehitimishwa Jana Je Tunaelekea wapi kama Taifa,Kwa maoni yngu nibora tubaki na chama kimoja kama mfumo wa vyama vingi umetushinda,Ni Rahisi sana kuipoteza amani lakini kuirudisha nikazi kubwa sana
Uoga wako ndio umekupelekea kulete hoja mfu humu jf. Kwanini usishauri tudai katiba mpya, au kukifuta CCM unakimbilia kufuta vyama vingi, sijakuelewa kwako wewe vyama vingi ni vipi, na hicho Chama kimoja unachotaka kibaki ni kipi?
 
Ujumbe muhimu sana....

Hii amani tuliyonayo haijashuka toka mbinguni, Bali tumeitengenezea mazingira yake.

Sasa imekuja serikali ya awamu ya 5 inataka kuurejesha mfumo wa chama kimoja, kwa bunduki na kila aina ya bila.........

Sijui kama watawala wetu wanajua madhara ya hiki wanachokifanya!
 
Uoga wako ndio umekupelekea kulete hoja mfu humu jf. Kwanini usishauri tudai katiba mpya, au kukifuta CCM unakimbilia kufuta vyama vingi, sijakuelewa kwako wewe vyama vingi ni vipi, na hicho Chama kimoja unachotaka kibaki ni kipi?
Wewe una akili ndogo sana au huna akili kabisa.

Usikurupuke kuchangia mada usiyoielewa.
 
Wewe una akili ndogo sana au huna akili kabisa.

Usikurupuke kuchangia mada usiyoielewa.
Jibu hoja acha utoto, unadai tufute vyama vipi? Na kibaki kipi? Kwako wewe ukivamiwa kwako uko ladhi ukimbie nyumba. Nyambafu!!
 
Sizani kama nitaeleweka kwa wengi swali hili nimeliuliza kwa Wajuvi wa masuala ya Siasa hasa ktk kipindi ambacho tumeshuhudia vurugu wakati wa Kampeni za Chaguzi ndogo ambazo zimehitimishwa Jana Je Tunaelekea wapi kama Taifa,Kwa maoni yngu nibora tubaki na chama kimoja kama mfumo wa vyama vingi umetushinda,Ni Rahisi sana kuipoteza amani lakini kuirudisha nikazi kubwa sana
Umuhimu wake ni mkubwa sana. Wapinzani wanapaswa kusimama kwenye zamu yao sawasawa. Katiba zao zieleweke, mission na vision ziwepo na wawe na mipango endelevu ya kurthisha itikadi yao kwa vijana. Kwa maoni yangu wapinzani wamekosa mikakati na mbinu mbadala za kututoa tulipo. Hata kujenga hoja hawawezi,wanaweza tu kulalama na kutukana.
Wanatukatisha tamaa sana hasa wanapojivua wajibu wowote ule eti mpaka watakapotwaa dola. Maisha ni leo,kesho siyo yako.
 
Wewe una akili ndogo sana au huna akili kabisa.

Usikurupuke kuchangia mada usiyoielewa.
Nafikiri mkimsoma tena mtamuelewa. Sidhani kama amekurupuka, hakujibu moja kwa moja lakini ana issues za msingi.
 
Hata kikiwa chama kimoja, hali itakuwa ileile maana yataibuka makundi ndani ya chama kimoja.Kama misingi ya haki haizingatiwi lazima amani itoweke.
 
Uoga wako ndio umekupelekea kulete hoja mfu humu jf. Kwanini usishauri tudai katiba mpya, au kukifuta CCM unakimbilia kufuta vyama vingi, sijakuelewa kwako wewe vyama vingi ni vipi, na hicho Chama kimoja unachotaka kibaki ni kipi?
Wewe na yeye mnaongelea suala moja, anacho kisema ni sawa na kama angesema " Serikali ya CCM inavunja katiba ya nchi kwa kukandamiza uhuru wa vyama vya upinzani"
 
Sizani kama nitaeleweka kwa wengi swali hili nimeliuliza kwa Wajuvi wa masuala ya Siasa hasa ktk kipindi ambacho tumeshuhudia vurugu wakati wa Kampeni za Chaguzi ndogo ambazo zimehitimishwa Jana Je Tunaelekea wapi kama Taifa,Kwa maoni yngu nibora tubaki na chama kimoja kama mfumo wa vyama vingi umetushinda,Ni Rahisi sana kuipoteza amani lakini kuirudisha nikazi kubwa sana
Ivi Tanzania tuna Amani au tunawoga?
 
..umuhimu wa vyama vingi bado upo.

..kuwepo kwa vyama vingi kunajenga utamaduni wa kutafuta madaraka kwa njia za kidemokrasia na kupitia sanduku la kura.

..tukiondoa mfumo wa vyama vingi, au wananchi wakikosa imani na mfumo wetu wa uchaguzi, kuna hatari ya watu kutafuta uongozi kwa njia "mbadala" na nchi yetu kuingia ktk machafuko.
 
Kwadalili hizi 2020 kama nchi tunaweza ingia katika historia mbaya sana. Tumshukuru MUNGU dhamira yao imeanza kuonekana mapema.
 
Uoga wako ndio umekupelekea kulete hoja mfu humu jf. Kwanini usishauri tudai katiba mpya, au kukifuta CCM unakimbilia kufuta vyama vingi, sijakuelewa kwako wewe vyama vingi ni vipi, na hicho Chama kimoja unachotaka kibaki ni kipi?
Mkuu soma hoja between the lines, utaelewa mleta hoja ana maana gani. Usiwe mwepesi wa kujadili kabla hujaelewa....
 
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
 
Upinzani haujapoteza pumzi
Tena ndio unaokua kwa Kasi zaidi.

Ni Serikali ya CCM iliyoishiwa Pumzi. Baada ya kuachana na kuruhusu siasa za ushindani. Ni pale ilipoona inapoteza majimbo na umaarufu wake nchini.
.it's a matter of perception..
"looking Glass half full or Half Empty".

Ukitazama chaguzi za marudio za Wilayani Siha, kinondoni. Zinakuja picha hii waziwazi
 
Back
Top Bottom