Mfumo wa Vyama vingi na Katiba ya chama kimoja

Mfumo wa Vyama vingi na Katiba ya chama kimoja

Ingawa hata hao wapinzani wana mapungufu yao, ila ni ukweli ulio wazi; Ccm inatumia nguvu nyingi sana ili tu kuendelea kuwatawala watanzania.

Mkitaka fair competition, muwaruhusu na hao wapinzani wenu wafanye mikutano ya kisiasa nchi nzima, rudisheni bunge live, ipitisheni tu ile rasimu ya Katiba ya Jaji Warioba kama ilivyo, halafu ndani yake kuwe na tume 'huru' ya uchaguzi (siyo hii ya kusimamiwa na wakurugenzi), polisi kazi yao ibakie tu kuangalia usalama na isionekane inawakandamiza hao wapinzani kwa namna yoyote ile!

Hakika saa mbili tu asubuhi mtakua mmesha angukia pua hata kama hao wapinzani wataweka tu kwenye zile fomu za kuchagua wagombea 'picha ya jiwe kubwaaaa'!
 
kuna wakati unakua sawa kuna wakati dish linayumba. hivi mpaka hatak wengine wafanye siasa unafikiri anaogopa nn??

kingine unaongelea matumiz mabaya ya ruzuku sijuu unajua ruzuku inavyotolewa. yaan ungejua tuu ruzuku inavyotolewa usingeuliza hili swali. niambie chauma wanapata sh ngap kwa mwaka?? kukufundisha ruzuku itategemea na idad ya kura za urais na idadi ya wawakilishi wako. ukitaja ruzuku kuliwa ubataja upinzani kukubalika
 
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Alafu ipigwe kura ya maoni kuona kama bado CCM tunaiitaji wananchi wa JMT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
hebu tuambie wewe unaonaje,toa mawazi yako kabla sisi hatujachangia mana inaonekana kabisa dharima yako ni nini kwa uzi wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upinzani umeshindwa au jiwe ndoo nchi imemshinda kabisa ,hajui afanyeje ,sasa matokeo yake ni kutesa raia maana hali ni ngumu sana hata Zimbabwe ina nafuu si aondoke tu maana akili yake imefikia mwisho .
 
Upinzani umeshindwa au jiwe ndoo nchi imemshinda kabisa ,hajui afanyeje ,sasa matokeo yake ni kutesa raia maana hali ni ngumu sana hata Zimbabwe ina nafuu si aondoke tu maana akili yake imefikia mwisho .
Zimbabwe hii waliyoenda akina Makonda na Gambo kuwapelekea usafiri wa ndege??!
 
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Wewe una hamu na matusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!

CCM bila polisi,tume ƴa uchaguzi na wasiojulika inabaki kwenye vitabu vya historia!
 
Back
Top Bottom