MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,104
Anzeni na kura ya maoni kuhusu wanaotaka muungano na wasioutaka muungano ndiyo utajua kwa nini mbuzi wanafyatuana huku wanakimbia, unakuta kitu kimo ndani huku kinatema protein
Daah,mifano mingine migumu sana kuielewa!Ukianza kujaribu kuuelewa mfano huu unaweza ukajikuta unawaza vitu vya ajabu!Anzeni na kura ya maoni kuhusu wanaotaka muungano na wasioutaka muungano ndiyo utajua kwa nini mbuzi wanafyatuana huku wanakimbia, unakuta kitu kimo ndani huku kinatema protein
Kweli uchizi sio mpaka uvue nguo, ccm ndio imepoteza mwelekeo wizi, ccm, ufisadi ccm ,rushwa ccm, na sasa siasa wanafanya ccm wakifanya wengine uchochezi. Bambaf kabisaKiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu mwache ajiulize kwa nini wanyama wengine wanatulia sehemu moja lakini mbuzi mpaka wakimbie ndiyo wanapata utamuDaah,mifano mingine migumu sana kuielewa!Ukianza kujaribu kuuelewa mfano huu unaweza ukajikuta unawaza vitu vya ajabu!
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Jibu swali usilete porojo!Kweli uchizi sio mpaka uvue nguo, ccm ndio imepoteza mwelekeo wizi, ccm, ufisadi ccm ,rushwa ccm, na sasa siasa wanafanya ccm wakifanya wengine uchochezi. Bambaf kabisa
Wengine mmepewa vichwa kwa bahati mbaya ukweli uti wa mgongo peke yake ungewatosha! hebu tusaidie kwako ww upinzani nini Chadema Cuf au NccrKiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Baada ya CCM kupoteza dira kwa kushindwa kusimamia sera zake na kujikita kutumia mabilioni ya kodi zetu na mabavu ya dola kuua upinzani jee ipigwe kura ya maoni ili kujua kama CCM ni chama cha siasa au ni genge la kigaidi?Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Kinachoendelea sio upinzani kupoteza muelekeo bali ni serikali kuonekana isiyoheshimu demokrasia na kuwa serikali ya kiongizi na sio ya watu..yajayo yanatishaKiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.
Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Ukiona upinzani unaogopa polisi ujue hakuna mpinzani hapo ni wachumia tumbo watupu!Akili yako haina akili, hivi upinzani na nyie nani aliyepoteza muelekeo? Nyie hamna chama kwasasa, ushahidi hebu jisahau uweke tume huru au tupige kura kwa kujipanga kama mtapata Hata 10%!
Ushahidi zaidi, Polisi wa nini kwenye maboksi ya kura? Unajua sababu yake? Hamkubariki tena!
Muungano upi unaouzungumzia?Anzeni na kura ya maoni kuhusu wanaotaka muungano na wasioutaka muungano ndiyo utajua kwa nini mbuzi wanafyatuana huku wanakimbia, unakuta kitu kimo ndani huku kinatema protein
Kama ya Mdee kudai ameitwa na polisi kumbe kasombwa na karandinga!!
Usijifanye hujasoma hapo juu, sawa labda nitumie lugha nyepesi muungano wa beberu na jike la mbuzi umewahi kuuona?, wanapotafuta mtoto?Muungano upi unaouzungumzia?
SMZ yapewa ekari 30 kujenga ofisi zao Dodoma......... Usisahau hilo!