Mfumo wa Vyama vingi na Katiba ya chama kimoja

Mfumo wa Vyama vingi na Katiba ya chama kimoja

Polisi+maDC+maRC+maDED=CCM

Sisiem bila vyombo vya dola no wepesi zaidi ya tissue paper
 
Usiombe upinzani wa vyama ukafa, UPINZANI ni kama imani za kidini upon rohoni, na siku kundi fulani likifanikiwa kuua upinzani ujue ugaidi unainyemelea nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
watu wenye akili kama zako ni hasaara kwa taifa bora hata ungezariwa mbuzi watu wengekuwya soup
 
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
MASIKINI UMEPATA MATAKO YAKO HULIA MBWATA SASA
 
Hizi kura za maoni sio za kushadadia saaana......unaweza pata matokeo usiyotarajia! Waulize waingereza jinsi zigo lao la Brexit linavyowatesa!
 
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Watanzani wanahitaji zaidi maelezo kuhusu iliko 2.5 T kuliko kuwauliza watanzania wangapi wanataka kurudi utotoni! Hata kama wapo obvious haiwezekani ukishakuwa kijana ukarudi tena utoto labda kwa wajinga tu wanaweza kujibidisha kuuliza hilo.
 
Hizi kura za maoni sio za kushadadia saaana......unaweza pata matokeo usiyotarajia! Waulize waingereza jinsi zigo lao la Brexit linavyowatesa!
Aitishe kura hapa!😀
 
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!

Rais ametumia madaraka yake kuhakikisha vyama vya upinzani havifanyi siasa, kisha nyie mnaofadika na hujuma zake mnakuja kupima upepo kama kweli upinzani umekufa. Kwa taarifa yako upinzani unaweza kufa, ila sio kwa hii approach ya kuwapiga wapinzani risasi, kuwaacha na vilema vya kudumu, kuwafunga na kuwazuia kukutana na wananchi. Hiki kinachofanyika sio ushindani wa kisiasa bali ni matumizi mabaya ya cheo cha rais kuhakikisha wananchi wote wanamtii na kumuogopa. Kujengea wananchi hofu hakuwezi kuwa njia ya kuua upinzani.
 
Back
Top Bottom