Mfumo wa ajira unaotumika umefeli kutokana na sababu zifuatazo

Teleza1

Senior Member
May 16, 2020
190
198
Mfumo wa ajira unaotumika umefeli kutokana na sababu zifuatazo.

1. Haiwezekani jina la mtu aliye ajiriwa kujirudia zaidi ya Mara 195 alafu wasingizie kuwa ni tatizo la kiufundi.

2. Haiwezekani mtu aliyemaliza form 4 mwaka 2019 kuajiriwa alafu wasingizie kuwa mfumo ulikuwa hauruhusu ku edit wakati waliurekebisha ukawa unakubali kuedit.

3. Haiwezekani mhitimu aliyemaliza chuo 2016 au 2015 kuachwa kuajiriwa akaja kuajiriwa mtu aliyehitimu chuo mwaka 2019 au 2018 ukiangalia sifa za kuajiriwa zinafanana maana yake ni nini.

Mfumo wa TAMISEMI wa kutoa ajira hauko fair Sasa basi naomba mjitasmini upya la sivyo mtakuwa mnafanya kazi yenye laana kwa mwenyezi Mungu bila nyie kujua kuwa mmeshaingia kwenye laana.

Kuna watoto wa watanzania wanahangaika huku mtaani hawana ajira alafu nyie mko tu mnatazama Mambo yakienda hovyo kabisa,

Naomba kuwasilisha.

Prof Hans .
Mwalimu asiye na kituo maaalum.
Mkono mtupu haulambwi kauli mbiu ya TAMISEMI
 
ELIMU NAYO INACHEZEWA

Hakika utawala wa mkono wa chuma hadi elimu inachezewa, zinaingizwa siasa kwenye elimu.

hadi division 0 inaajiliwa.

HAKIKA NI WASHAMBA SANA.
 
Kwel serikali ina kazi!Yaani na wewe kwa mwandiko wako huo ulitaka uajiriwe?
Mbona Yule jamaa Alisema Saddam Hussein ni raisi wa Libya but still mkampa nchi. Je, hauoni kuwa tatizo linaanzia Ikulu kabisa

Acha kumnanga kijana wawatu. Wakati katika CCM kuna mpaka wabunge walioshia darasa la 7 umeshawahi kujiuliza hati zao za uandishi zinamuonekano gani !?
 
Mkuu waache wapumue

#nasema uongo ndugu zangu
Hatuwezi kuwaacha wapumue maana wamefanya mambo ya hovyo ambayo hayaweza tokea. Prof Ndalichako, mama ukiteuliwa wakakurudisha huko anza na hao wajinga wanaotaka kutupeleka kusiko julikana. Timua wote hao ngurumbili
 
Hawa jamaa wanajitetea na sababu za kitoto sana imagine eti mtu akosee index no ya form four afu apate ajira so nini maana ya interview au ku verify kama data ni sahihi.

Au huo mfumo hau sync na data za necta any way ngoja ninyamaze
 
Ili Uajiliwe sifa ya Kwanza ni Kadi ya SiSieM, Hakuna division 1 or Ziro..Wewe Uwe Mwana SiSieM. Utasikia MaSiSiem Wanasema Mimi Si Mpinzani Ni MwanaSiSiem Police Msiniguse. So Police brutalities , kunnyimwa ajira na kuteshwa,Kubambikiwa, Uonevu ni Haki Kwa Wanachama wa Vyama Vya Upinzani. Hakika Hizi ni Siasa za Kishamba na zinaliangamiza Taifa.
 
Mfumo wa TAMISEMI wa kutoa ajira hauko fair Sasa basi naomba mjitasmini upya la sivyo mtakuwa mnafanya kazi yenye laana kwa mwenyezi Mungu bila nyie kujua kuwa mmeshaingia kwenye laana
Kwa povu hili nakushauri ufikirie namna ya kujiajiri au kuwaajiri wanao la utaishia cape delgado
 
Mfumo wa ajira unaotumika umefeli kutokana na sababu zifuatazo.

1. Haiwezekani jina la mtu aliye ajiriwa kujirudia zaidi ya Mara 195 alafu wasingizie kuwa ni tatizo la kiufundi.

2. Haiwezekani mtu aliyemaliza form 4 mwaka 2019 kuajiriwa alafu wasingizie kuwa mfumo ulikuwa hauruhusu ku edit wakati waliurekebisha ukawa unakubali kuedit.

3. Haiwezekani mhitimu aliyemaliza chuo 2016 au 2015 kuachwa kuajiriwa akaja kuajiriwa mtu aliyehitimu chuo mwaka 2019 au 2018 ukiangalia sifa za kuajiriwa zinafanana maana yake ni nini.

Mfumo wa TAMISEMI wa kutoa ajira hauko fair Sasa basi naomba mjitasmini upya la sivyo mtakuwa mnafanya kazi yenye laana kwa mwenyezi Mungu bila nyie kujua kuwa mmeshaingia kwenye laana.

Kuna watoto wa watanzania wanahangaika huku mtaani hawana ajira alafu nyie mko tu mnatazama Mambo yakienda hovyo kabisa,

Naomba kuwasilisha.

Prof Hans .
Mwalimu asiye na kituo maaalum.
Mkono mtupu haulambwi kauli mbiu ya TAMISEMI
Tatizo jingine lililojitokeza ni kwamba, kuna baadhi ya majina ukidownload kwenye cm hayaonekani. Lakin kwenye computer yanaonekana.
Kuna ndugu yangu jina lake ni Jeremiah kwenye simu ukidownload waliochaguliwa jina lake halipo.
Lakin ukiingia kwenye computer linatokea.
Hii itawapoteza wengi kwa kudhan hawajachaguliwa kumbe mzigo kwenye cm hausomi baadh ya majina.

Mlioomba hiz nafasi hakikisheni mnafuatilia kwenye device mbalimbali. Hii serikali haiaminiki tena.
 
Mfumo wa ajira unaotumika umefeli kutokana na sababu zifuatazo.

1. Haiwezekani jina la mtu aliye ajiriwa kujirudia zaidi ya Mara 195 alafu wasingizie kuwa ni tatizo la kiufundi.

2. Haiwezekani mtu aliyemaliza form 4 mwaka 2019 kuajiriwa alafu wasingizie kuwa mfumo ulikuwa hauruhusu ku edit wakati waliurekebisha ukawa unakubali kuedit.

3. Haiwezekani mhitimu aliyemaliza chuo 2016 au 2015 kuachwa kuajiriwa akaja kuajiriwa mtu aliyehitimu chuo mwaka 2019 au 2018 ukiangalia sifa za kuajiriwa zinafanana maana yake ni nini.

Mfumo wa TAMISEMI wa kutoa ajira hauko fair Sasa basi naomba mjitasmini upya la sivyo mtakuwa mnafanya kazi yenye laana kwa mwenyezi Mungu bila nyie kujua kuwa mmeshaingia kwenye laana.

Kuna watoto wa watanzania wanahangaika huku mtaani hawana ajira alafu nyie mko tu mnatazama Mambo yakienda hovyo kabisa,

Naomba kuwasilisha.

Prof Hans .
Mwalimu asiye na kituo maaalum.
Mkono mtupu haulambwi kauli mbiu ya TAMISEMI
mbona walimu mnalalamika sana kazi zenyewe hamfanyi hata interview. Sasa inabidi wawaanzishie interview hapo mtaacha kulalamika. Hata hawa manesi na madaktari waanzishiwe interview.
 
Back
Top Bottom