Mfumo (software) Kusomana na NMB account

Mfumo (software) Kusomana na NMB account

mitandao ya simu wanakata 1% benki 4%
Ji update mkuu. Japo hawa jamaa wanaji contradict sana. Nikiwa kwenye kikao nao walinambia
Mobile ni 0.5% na Bank ni 2%

Email nimepokea leo baada ya kuomba confirmation wamenitumia hiki 👇👇
Screenshot_20250903_144119_Gmail.jpg
 
Ji update mkuu. Japo hawa jamaa wanaji contradict sana. Nikiwa kwenye kikao nao walinambia
Mobile ni 0.5% na Bank ni 2%

Email nimepokea leo baada ya kuomba confirmation wamenitumia hiki 👇👇
View attachment 3463846
mm nliachana nao mda kidogo walikua wanakata 4% alafu 1% ya mitandao ya simu, sema kama ni TAX exclusive apo kazi ipo
 
mm nliachana nao mda kidogo walikua wanakata 4% alafu 1% ya mitandao ya simu, sema kama ni TAX exclusive apo kazi ipo
Hizo exclusive of Tax man. Very veru crazy charges. Unafanyaje now??
 
Sidhani kama hizi banks zetu zina public developers APIs, so solution ni mbili
Moja, ukutane nao na wakubali kukupa access ya APIs zao, au mbili utumie Payment provider kama Azampay etc ambaye tayari kashafanya most of heavy lifting for you but 3 au 5% haiepukiki.

As developer sijajua why unaumizwa na hio 3% kiasi cha kutaka ku reinvent the wheel, at the end of the day client ndo analipa as long as anaona value
 
Back
Top Bottom