LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,463
- 12,255
- Thread starter
-
- #41
Maneno si ndio haya sasa. I knew hapa kuna kitu kitapatikana kwa manufaa ya wengim shukran sana mkuu. Soo niende pale Hq straight right. Niombe kuonana na kitengo cha digital marketing si ndio? Kuna mdau alisema hivi kule juu kabisaaFanton Mahal omba, watakuita ( meeting) watahitaji kujiridhisha na huduma zako, lakini pia watahitaji VAPT kama umefanya ili wajiridhishe na hii ipo kwa wote hata Kama utataka Vodacom au NIDA ni utaratibu.. achana mtu kati
Vodacom ukikidhi vigezo vyao, hasa upande wa usalama na wakijiridhisha wanakupa. Nimekuwa nikifanya VAPT kwa company kadhaa zina hitaji kufanyia integration kuanzia NIDA, Vodacom etcUsijifanye mjuaji bank kampuni ndogo hawatoi API ....vodacom tu ukiwa hawakuelewi hawakupi sembuse NMB solution ni selcom tu ...... angalizo naongea kama mtaalaam na mzoefu kwenye issue za online payments hizo so najua nini naongea.....
Shukran ,mwaga shule kidogo hapa. Japo hasa ninachohitaji ni kukutana na watu sahihi basi pale Nmb. Nitafika hapo kesho mapemaaReverse engineer API/Key kutoka kwenye POS, machine yao itaona POS imefanya request kumbe ni app Yako!
Nenda straight hapo, omba. Kesho nitakupa maelekezo kamili, maana kuna watu nawafanyia assessment upande wa security wanafanya hizo integration kesho nitakuchukulia maelezo yote, ila achana na mtu kati utaingia gharamaManeno si ndio haya sasa. I knew hapa kuna kitu kitapatikana kwa manufaa ya wengim shukran sana mkuu. Soo niende pale Hq straight right. Niombe kuonana na kitengo cha digital marketing si ndio? Kuna mdau alisema hivi kule juu kabisaa
Chief, we need to talk more. Kama hutojali, ni pm, maana hapa naona ume lockVodacom ukikidhi vigezo vyao, hasa upande wa usalama na wakijiridhisha wanakupa. Nimekuwa nikifanya VAPT kwa company kadhaa zina hitaji kufanyia integration kuanzia NIDA, Vodacom etc
C.c Fanton Mahal
Kabisaa mkuu, Friday, nilifika Selcom, pale Uhuru Heights wale jamaa bwana hata sikuwaelewa.ila achana na mtu kati utaingia gharama
Bongo watu hupenda tumia advantageKabisaa mkuu, Friday, nilifika Selcom, pale Uhuru Heights wale jamaa bwana hata sikuwaelewa.
Hata sijawaeleza what i exactly want, wao wakanipa requirements zao na wakasema wana charge 1.2M, nikaomba kkkao nao ,wakasema niwachek next week kuanzia kesho yan, so nitafika hapo na uzuri kwakua wako just opposite na Nmb, itakua rahis tu
Ina frustrate sana hii kituBongo watu hupenda tumia advantage
CRDB HQ hii ni dar mkuu, au nasema uwongo?ao wa ubalozini ni bank gani ?? by mkoani pipozi
Mkuu usiseme hivyo, ukubwa wa kampuni ukoje? mkuu unadhani wewe pekeako ndio una jua hizo mbanga ? me mwaka jana nlikuwa namuasist dogo mmoja hivi wa chuga na ishue kama hiyo jamaa wanampa API ina broken links za kutosha haifanyi kazi...sa si bora wasingempa tu na dogo kampuni yake ni kubwa yani kubwa sana....Kampuni kubwa ije kuomba msaada jamii forum una akili wewe NMB hawatoi api kwa company ndogo elewa dogo
Yeah chiefCRDB HQ hii ni dar mkuu, au nasema uwongo?
Wadau gani hao walikua wanamfanyia hivyo ???Mkuu usiseme hivyo, ukubwa wa kampuni ukoje? mkuu unadhani wewe pekeako ndio una jua hizo mbanga ? me mwaka jana nlikuwa namuasist dogo mmoja hivi wa chuga na ishue kama hiyo jamaa wanampa API ina broken links za kutosha haifanyi kazi...sa si bora wasingempa tu na dogo kampuni yake ni kubwa yani kubwa sana....
Alipewa API ambayo haifanyi kazi na NMB akanicheki nijaribu kuasist na watu nnaowajua lakini ilishindikanaWadau gani hao walikua wanamfanyia hivyo ???
depending na swala lako, kupata straight kutoka NMB hio haiwezekan unless una leseni kama ya EVMAK lakini ipo njia unaweza kutumia benki zote kwa pamoja, kuna kampuni inaitwa selcom wao wana benki zote unataka na pia wa wenyewe ni benki, ila gharama zake lazima ulipe kama 2.5M kuanzia na utafanyiiwa upekuzi ofisi yako yote na utalipia 4% kwa kila transaction ila simplicity ni kwamba una access na mabenki yote nchini kama hao cooperate wako hawana shida sana na ghrama its a more nice choiceWakuu na wadau wa jukwaa hili la Tech habari ya majukumu?
Kama mdau mwenzenu kwenye upande huu nimekuja kuomba kusaidiwa namna naweza pata mwongozo.
Nimekutana na challenge ambayo katika software wateja wangu wanatumia, kunahitajika namna ya kuweza kuona malipo yanayofanyika kwenye account moja kwa moja pasipo ulazima wa kusubiri waletewe payslips.
Sasa the development part na masuala ya APIs kwa ujumla wake ,yoote technical sio ishu maana ndio maisha yetu ya kila siku kama developers, Changamoto inakuja namna ya kupata hii access (intergratarion) kati ya software yetu na Nmb!.
Nimefuatilia na nikaja kutana na kampuni moja (jina kapuni) ambao wao wanatoa APIs za ku integrate kama vile nahitaji, lakini hawa wanafanya kazi kama aggregators (mtu kati) na hivyo kupelekea ku charge fee kwenye kila transaction ambayo itafanyika kwenye account kwa njia hii.
Tatizo sio ku charge, tatizo nililoona ni problem ni amount wanayo charge ambayo ni 2%. Yan kwa malipo yanayofanyika lets say 2,500,000/=, wao watachukua 50,000/=, kiasi ambacho ni kikubwa mnooooo kwa namna ambavyo naona itakua mzigo.
Sasa naomba kujua kama kuna namna naweza pata hii huduma straight toka kwa NMB moja kwa moja maana hawa wateja wangu ni wateja wao already so wananufaika nao tayari, Je kuna uwezekano nikapata hii intergration toka kwao bila kupitia mtu kati?? Je kuna mtu anaweza akawa ameshafanya kitu ya namna hii na thia Bank??
UNAWEZA ULIZA WHY NISIENDE MWENYEWE NMB!?
Kiukweli nimeshawahi fika pale Hq kabisa Nmb sanaa house, lakini nikiri nilikutana na kikwazo. Either nilikutanishwa na mtu asiye sahihi au hakutaka kunisaidia japo am sure aliniewa.
Ni tofauti na ile bank nyingine (pale mitaa ya ubalozini) nilishafika na wao walikua straight kwenye makubaliano na walikua very official mpaka kufikia hatua ya kusaini nao mkataba wa huduma within 1 month tu baina yao na sisi na charges zao ni very reasonable naamini ni kwasababu niko nao direct in contract sio kupitia mtu kati. Japo nao kwenye implementation vijana wao wa tech wana usumbufu mkubwa tu.
Wakuu naomba kusaidiwa kujua kama kuna mtu amesha attend challenge kama hii najua humu pia kuna watu ambao pia wanaweza nisaidia ku skip hizi itifaki za kirasimu nikakutanishwa na watu sahihi pale Nmb.
Natangulisha shukrani.
Kama kuna mahala sijaeleza sawa niko tayar kutoa ufafanuzi.
Ahsanteni
selcom kupewa api unalipia 2.5M na transactions za benki ni 4% per mwamala,, mobile money 1%Kachukue API za selcom.... zina bank zote ....na mobile payments zote ni bure.... kisha fanya integration kwako....
"Mabank huwa hawapi API kwa kampuni ndogo ndogo, ni ngumu sana. Lakini Selcom ndio jibu—wana API moja tu ambayo inakupa access ya benki zote na mobile payments zote bure. Ukifanyia integration kwako, unakuwa solved mara moja."
Nimefika selcom. Charges zao ni 1.2M. Na hawana hio 4% per transaction, lini mara ya mwisho ume deal nao kwenye hili???selcom kupewa api unalipia 2.5M na transactions za benki ni 4% per mwamala,, mobile money 1%
Vipi mkuu ukitaka kwa miamala ya simu tu ..unalipia hio 1.4selcom kupewa api unalipia 2.5M na transactions za benki ni 4% per mwamala,, mobile money 1%
UNalipa 1.2m na kila transaction utakayokua unapokea wataku charge 0.5%Vipi mkuu ukitaka kwa miamala ya simu tu ..unalipia hio 1.4
ndio mkuuVipi mkuu ukitaka kwa miamala ya simu tu ..unalipia hio 1.4
Ni 1.2m sio 1.4m na wala sio 4%ndio mkuu