Mfumo (software) Kusomana na NMB account

Mfumo (software) Kusomana na NMB account

LiFe 2-point-0

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2024
Posts
4,253
Reaction score
11,621
Wakuu na wadau wa jukwaa hili la Tech habari ya majukumu?

Kama mdau mwenzenu kwenye upande huu nimekuja kuomba kusaidiwa namna naweza pata mwongozo.
Nimekutana na challenge ambayo katika software wateja wangu wanatumia, kunahitajika namna ya kuweza kuona malipo yanayofanyika kwenye account moja kwa moja pasipo ulazima wa kusubiri waletewe payslips.

Sasa the development part na masuala ya APIs kwa ujumla wake ,yoote technical sio ishu maana ndio maisha yetu ya kila siku kama developers, Changamoto inakuja namna ya kupata hii access (intergratarion) kati ya software yetu na Nmb!.

Nimefuatilia na nikaja kutana na kampuni moja (jina kapuni) ambao wao wanatoa APIs za ku integrate kama vile nahitaji, lakini hawa wanafanya kazi kama aggregators (mtu kati) na hivyo kupelekea ku charge fee kwenye kila transaction ambayo itafanyika kwenye account kwa njia hii.

Tatizo sio ku charge, tatizo nililoona ni problem ni amount wanayo charge ambayo ni 2%. Yan kwa malipo yanayofanyika lets say 2,500,000/=, wao watachukua 50,000/=, kiasi ambacho ni kikubwa mnooooo kwa namna ambavyo naona itakua mzigo.

Sasa naomba kujua kama kuna namna naweza pata hii huduma straight toka kwa NMB moja kwa moja maana hawa wateja wangu ni wateja wao already so wananufaika nao tayari, Je kuna uwezekano nikapata hii intergration toka kwao bila kupitia mtu kati?? Je kuna mtu anaweza akawa ameshafanya kitu ya namna hii na thia Bank??

UNAWEZA ULIZA WHY NISIENDE MWENYEWE NMB!?
Kiukweli nimeshawahi fika pale Hq kabisa Nmb sanaa house, lakini nikiri nilikutana na kikwazo. Either nilikutanishwa na mtu asiye sahihi au hakutaka kunisaidia japo am sure aliniewa.
Ni tofauti na ile bank nyingine (pale mitaa ya ubalozini) nilishafika na wao walikua straight kwenye makubaliano na walikua very official mpaka kufikia hatua ya kusaini nao mkataba wa huduma within 1 month tu baina yao na sisi na charges zao ni very reasonable naamini ni kwasababu niko nao direct in contract sio kupitia mtu kati. Japo nao kwenye implementation vijana wao wa tech wana usumbufu mkubwa tu.

Wakuu naomba kusaidiwa kujua kama kuna mtu amesha attend challenge kama hii najua humu pia kuna watu ambao pia wanaweza nisaidia ku skip hizi itifaki za kirasimu nikakutanishwa na watu sahihi pale Nmb.

Natangulisha shukrani.
Kama kuna mahala sijaeleza sawa niko tayar kutoa ufafanuzi.
Ahsanteni
 
Nmb ndio wanaopaswa kuingia mkataba na hiyo software ya wateja wako ili ziweze kusomana. Jinsi mitandao ya simu ilivyofanikiwa kusomana na mabenki ndivyo hivyo wanatakiwa kufanya kwa kuunganishwa na mashirika ya kimataifa kama vile Pay Pal.
Kufanya hivyo inategemea na mkakati wa uendeshaji benki kama unalenga kukua na kupanuka kupitia mitandao.
 
Nmb ndio wanaopaswa kuingia mkataba na hiyo software ya wateja wako ili ziweze kusomana.
yeah this is okay na kwa hapa hakuna shida kabisaa.
Jinsi mitandao ya simu ilivyofanikiwa kusomana na mabenki ndivyo hivyo wanatakiwa kufanya kwa kuunganishwa na mashirika ya kimataifa kama vile Pay Pal.
ni kweli
Kufanya hivyo inategemea na mkakati wa uendeshaji benki kama unalenga kukua na kupanuka kupitia mitandao.
Nafikiri hii ni common na they do ndio maana kwa kupitia aggrrgators hili linafanyika. Sasa je how about ku skip hawa middle firm nikawa served na bank straight ili kuepuka hiz charges kubwa??
 
Hii changamoto yako ni ya kawaida sana, na ukweli ni kwamba kikwazo unachopata NMB moja kwa moja kinatokana na taratibu zao nzito za compliance. Benki kubwa kama NMB lazima zifuate masharti makali ya data security, AML (Anti-Money Laundering), na BOT regulations. Hii ndiyo maana mara nyingi ukienda front desk au ukaonana na afisa wa ICT asiye kwenye kitengo husika, unaweza kuambiwa haiwezekani wakati huduma ipo. Kwa kawaida, access ya moja kwa moja ya banking APIs hutolewa tu kwa taasisi ambazo tayari zina makubaliano rasmi na benki mfano fintechs zilizoidhinishwa na BOT au kampuni zilizosaini mkataba wa huduma.

Njia sahihi ya kupata integration moja kwa moja ipo, na inahusu kupitia kitengo cha NMB Digital Banking / Tech & Innovation. Hapa ndipo majibu ya masuala ya API hupatikana. Kawaida utatakiwa kuandika barua rasmi kwa jina la kampuni yako au mteja wako, ukieleza use-case unayotaka mfano transaction notification API au account statement API. Pia benki huomba justification ya usalama: mfumo wako unalinda vipi data, una encryption, una audit trail n.k. Baada ya hapo, benki hufanya makubaliano ya biashara ambayo kwa kawaida huwa na ada ya setup + fee ndogo ya kila transaction (flat), tofauti kabisa na 2% ya aggregators.

Sababu kubwa ya aggregators kutoza 2% ni kwa sababu wao tayari wameshaingia gharama kubwa za compliance na mikataba na benki. Wana licence ya BOT ya kufanya payment facilitation kwa niaba ya watu binafsi au makampuni madogo. Hiyo 2% ndiyo njia yao ya kurudisha gharama na kupata faida. Tatizo ni kwamba kwa scale kubwa ya transactions, hiyo fee inakuwa mzigo mkubwa sana kwa mteja wako.

Ukipenda kuepuka wakala, njia rahisi ni kutumia corporate account ya NMB ya mteja wako na kuomba huduma ya Direct Banking API au Host-to-Host (H2H) integration. Hii ipo, lakini ni huduma ya corporate clients pekee. Njia nyingine ni kufika NMB HQ ukiomba specifically kuonana na Digital Banking Team, siyo front office. Pia, ikiwa mteja wako ni corporate kubwa, waache wao waandike barua moja kwa moja, mara nyingi corporate wakiongea, benki huchukua hatua haraka kuliko developer binafsi.

Kwa hiyo, unaweza kupata integration moja kwa moja na NMB. Lakini sharti uwe na kampuni iliyosajiliwa kisheria, uwe tayari kupitia due diligence ya usalama wa mfumo wako, na ulipie ada ya setup pamoja na support fee ya mara kwa mara. Aggregators ni njia rahisi lakini ghali; njia ya kudumu na salama ni kupitia NMB Digital Banking / Innovation team na corporate agreement na ukitumia mgongo wa mteja wako ambaye tayari ni corporate client, nafasi ya kufanikisha hili ni kubwa zaidi.
 
yeah this is okay na kwa hapa hakuna shida kabisaa.

ni kweli

Nafikiri hii ni common na they do ndio maana kwa kupitia aggrrgators hili linafanyika. Sasa je how about ku skip hawa middle firm nikawa served na bank straight ili kuepuka hiz charges kubwa??
Kufanya hivyo ni lazima benki iwe imejiandaa kutekeleza utalaamu huo na Board of Directors ya benki hiyo iwe imelichakata hilo wazo na kuridhia kufanyika kwake.
 
Hii changamoto yako ni ya kawaida sana, na ukweli ni kwamba kikwazo unachopata NMB moja kwa moja kinatokana na taratibu zao nzito za compliance. Benki kubwa kama NMB lazima zifuate masharti makali ya data security, AML (Anti-Money Laundering), na BOT regulations. Hii ndiyo maana mara nyingi ukienda front desk au ukaonana na afisa wa ICT asiye kwenye kitengo husika, unaweza kuambiwa haiwezekani wakati huduma ipo. Kwa kawaida, access ya moja kwa moja ya banking APIs hutolewa tu kwa taasisi ambazo tayari zina makubaliano rasmi na benki mfano fintechs zilizoidhinishwa na BOT au kampuni zilizosaini mkataba wa huduma.

Njia sahihi ya kupata integration moja kwa moja ipo, na inahusu kupitia kitengo cha NMB Digital Banking / Tech & Innovation. Hapa ndipo majibu ya masuala ya API hupatikana. Kawaida utatakiwa kuandika barua rasmi kwa jina la kampuni yako au mteja wako, ukieleza use-case unayotaka mfano transaction notification API au account statement API. Pia benki huomba justification ya usalama: mfumo wako unalinda vipi data, una encryption, una audit trail n.k. Baada ya hapo, benki hufanya makubaliano ya biashara ambayo kwa kawaida huwa na ada ya setup + fee ndogo ya kila transaction (flat), tofauti kabisa na 2% ya aggregators.

Sababu kubwa ya aggregators kutoza 2% ni kwa sababu wao tayari wameshaingia gharama kubwa za compliance na mikataba na benki. Wana licence ya BOT ya kufanya payment facilitation kwa niaba ya watu binafsi au makampuni madogo. Hiyo 2% ndiyo njia yao ya kurudisha gharama na kupata faida. Tatizo ni kwamba kwa scale kubwa ya transactions, hiyo fee inakuwa mzigo mkubwa sana kwa mteja wako.

Ukipenda kuepuka wakala, njia rahisi ni kutumia corporate account ya NMB ya mteja wako na kuomba huduma ya Direct Banking API au Host-to-Host (H2H) integration. Hii ipo, lakini ni huduma ya corporate clients pekee. Njia nyingine ni kufika NMB HQ ukiomba specifically kuonana na Digital Banking Team, siyo front office. Pia, ikiwa mteja wako ni corporate kubwa, waache wao waandike barua moja kwa moja, mara nyingi corporate wakiongea, benki huchukua hatua haraka kuliko developer binafsi.

Kwa hiyo, unaweza kupata integration moja kwa moja na NMB. Lakini sharti uwe na kampuni iliyosajiliwa kisheria, uwe tayari kupitia due diligence ya usalama wa mfumo wako, na ulipie ada ya setup pamoja na support fee ya mara kwa mara. Aggregators ni njia rahisi lakini ghali; njia ya kudumu na salama ni kupitia NMB Digital Banking / Innovation team na corporate agreement na ukitumia mgongo wa mteja wako ambaye tayari ni corporate client, nafasi ya kufanikisha hili ni kubwa zaidi.
Chief, SHUKRANI NYINGI SANAAAA zikufikie, umejibu kila swali langu. Japo kuna machache nitaongeza.
Ahsante sanaa
 
Ndiyo mkuu, uko sahihi. Corporate customers ni makampuni au taasisi zilizojisajili kisheria na zina account za biashara benki. Hawa ndiyo mara nyingi hupatiwa huduma maalum kama hizo.
Hii nzuri maana my software inatunika na watu wa namna hii sio watu binafsi.

So kuna kitu hapo umekigusia H2H nafikiri hiki ndicho hasa na kinahitajika
 
Wakuu na wadau wa jukwaa hili la Tech habari ya majukumu?

Kama mdau mwenzenu kwenye upande huu nimekuja kuomba kusaidiwa namna naweza pata mwongozo.
Nimekutana na challenge ambayo katika software wateja wangu wanatumia, kunahitajika namna ya kuweza kuona malipo yanayofanyika kwenye account moja kwa moja pasipo ulazima wa kusubiri waletewe payslips.

Sasa the development part na masuala ya APIs kwa ujumla wake ,yoote technical sio ishu maana ndio maisha yetu ya kila siku kama developers, Changamoto inakuja namna ya kupata hii access (intergratarion) kati ya software yetu na Nmb!.

Nimefuatilia na nikaja kutana na kampuni moja (jina kapuni) ambao wao wanatoa APIs za ku integrate kama vile nahitaji, lakini hawa wanafanya kazi kama aggregators (mtu kati) na hivyo kupelekea ku charge fee kwenye kila transaction ambayo itafanyika kwenye account kwa njia hii.

Tatizo sio ku charge, tatizo nililoona ni problem ni amount wanayo charge ambayo ni 2%. Yan kwa malipo yanayofanyika lets say 2,500,000/=, wao watachukua 50,000/=, kiasi ambacho ni kikubwa mnooooo kwa namna ambavyo naona itakua mzigo.

Sasa naomba kujua kama kuna namna naweza pata hii huduma straight toka kwa NMB moja kwa moja maana hawa wateja wangu ni wateja wao already so wananufaika nao tayari, Je kuna uwezekano nikapata hii intergration toka kwao bila kupitia mtu kati?? Je kuna mtu anaweza akawa ameshafanya kitu ya namna hii na thia Bank??

UNAWEZA ULIZA WHY NISIENDE MWENYEWE NMB!?
Kiukweli nimeshawahi fika pale Hq kabisa Nmb sanaa house, lakini nikiri nilikutana na kikwazo. Either nilikutanishwa na mtu asiye sahihi au hakutaka kunisaidia japo am sure aliniewa.
Ni tofauti na ile bank nyingine (pale mitaa ya ubalozini) nilishafika na wao walikua straight kwenye makubaliano na walikua very official mpaka kufikia hatua ya kusaini nao mkataba wa huduma within 1 month tu baina yao na sisi na charges zao ni very reasonable naamini ni kwasababu niko nao direct in contract sio kupitia mtu kati. Japo nao kwenye implementation vijana wao wa tech wana usumbufu mkubwa tu.

Wakuu naomba kusaidiwa kujua kama kuna mtu amesha attend challenge kama hii najua humu pia kuna watu ambao pia wanaweza nisaidia ku skip hizi itifaki za kirasimu nikakutanishwa na watu sahihi pale Nmb.

Natangulisha shukrani.
Kama kuna mahala sijaeleza sawa niko tayar kutoa ufafanuzi.
Ahsanteni
Kachukue API za selcom.... zina bank zote ....na mobile payments zote ni bure.... kisha fanya integration kwako....
"Mabank huwa hawapi API kwa kampuni ndogo ndogo, ni ngumu sana. Lakini Selcom ndio jibu—wana API moja tu ambayo inakupa access ya benki zote na mobile payments zote bure. Ukifanyia integration kwako, unakuwa solved mara moja."
 
Wakuu na wadau wa jukwaa hili la Tech habari ya majukumu?

Kama mdau mwenzenu kwenye upande huu nimekuja kuomba kusaidiwa namna naweza pata mwongozo.
Nimekutana na challenge ambayo katika software wateja wangu wanatumia, kunahitajika namna ya kuweza kuona malipo yanayofanyika kwenye account moja kwa moja pasipo ulazima wa kusubiri waletewe payslips.

Sasa the development part na masuala ya APIs kwa ujumla wake ,yoote technical sio ishu maana ndio maisha yetu ya kila siku kama developers, Changamoto inakuja namna ya kupata hii access (intergratarion) kati ya software yetu na Nmb!.

Nimefuatilia na nikaja kutana na kampuni moja (jina kapuni) ambao wao wanatoa APIs za ku integrate kama vile nahitaji, lakini hawa wanafanya kazi kama aggregators (mtu kati) na hivyo kupelekea ku charge fee kwenye kila transaction ambayo itafanyika kwenye account kwa njia hii.

Tatizo sio ku charge, tatizo nililoona ni problem ni amount wanayo charge ambayo ni 2%. Yan kwa malipo yanayofanyika lets say 2,500,000/=, wao watachukua 50,000/=, kiasi ambacho ni kikubwa mnooooo kwa namna ambavyo naona itakua mzigo.

Sasa naomba kujua kama kuna namna naweza pata hii huduma straight toka kwa NMB moja kwa moja maana hawa wateja wangu ni wateja wao already so wananufaika nao tayari, Je kuna uwezekano nikapata hii intergration toka kwao bila kupitia mtu kati?? Je kuna mtu anaweza akawa ameshafanya kitu ya namna hii na thia Bank??

UNAWEZA ULIZA WHY NISIENDE MWENYEWE NMB!?
Kiukweli nimeshawahi fika pale Hq kabisa Nmb sanaa house, lakini nikiri nilikutana na kikwazo. Either nilikutanishwa na mtu asiye sahihi au hakutaka kunisaidia japo am sure aliniewa.
Ni tofauti na ile bank nyingine (pale mitaa ya ubalozini) nilishafika na wao walikua straight kwenye makubaliano na walikua very official mpaka kufikia hatua ya kusaini nao mkataba wa huduma within 1 month tu baina yao na sisi na charges zao ni very reasonable naamini ni kwasababu niko nao direct in contract sio kupitia mtu kati. Japo nao kwenye implementation vijana wao wa tech wana usumbufu mkubwa tu.

Wakuu naomba kusaidiwa kujua kama kuna mtu amesha attend challenge kama hii najua humu pia kuna watu ambao pia wanaweza nisaidia ku skip hizi itifaki za kirasimu nikakutanishwa na watu sahihi pale Nmb.

Natangulisha shukrani.
Kama kuna mahala sijaeleza sawa niko tayar kutoa ufafanuzi.
Ahsanteni
Achana na hao maselikumu watakuua😅, nenda direct uingie nao ubia ufanye integration moja kwa moja, kuna mtu aliwahi kuniambia kwenye upande huo hiyo bank wako smart sana so kama ukikutana na mtu sahihi na mkafikia muafaka mtafanya biz.
 
Kachukue API za selcom.... zina bank zote ....na mobile payments zote ni bure.... kisha fanya integration kwako....
"Mabank huwa hawapi API kwa kampuni ndogo ndogo, ni ngumu sana. Lakini Selcom ndio jibu—wana API moja tu ambayo inakupa access ya benki zote na mobile payments zote bure. Ukifanyia integration kwako, unakuwa solved mara moja."
Hawa nikadhani ndio hao alisema wanahitaji 2% coz akienda huko atakutana na changamoto hiyo pia
 
Hawa nikadhani ndio hao alisema wanahitaji 2% coz akienda huko atakutana na changamoto hiyo pia
Usijifanye mjuaji bank kampuni ndogo hawatoi API ....vodacom tu ukiwa hawakuelewi hawakupi sembuse NMB solution ni selcom tu ...... angalizo naongea kama mtaalaam na mzoefu kwenye issue za online payments hizo so najua nini naongea.....
 
Ahsante kaka. Wako wapi hawa jamaa hapa town office zao??
Uhuru heights post ukifika pale ndo ofisi zao za payments... mambo ya intergratarion nenda na business licence,nida yako brela registration yako waachie na email yako wakimaliza kucheck watakumia sandbox credentials zao utatest the utaomba live mode credentials umemaliza .....ila tafuta fundi wa intergratation asome vizur ile documentations yao....ukikosa fundi niambie nipo nitafanya hiyo kazi
 
Back
Top Bottom