Mfumo mpya wa cheatting waingia!!


Ni PM kwani nilikuwa nahitaji sana mtu wa namna hii.
 
Loh umenikumbusha enzi zile tuliitumiaga sana hiyo hotel tena mida hiyo hiyo ya lunch time. Hee hivi hadi leo bado tu mambo yako vile vile?

Wakukae kumbe na wewe UMENAJISI ile hoteli eeeeh! ULIKUWA UNAENDA NA NANI LUNCH TIME?
 
DAWA YA KUCHEAT IYO
Wanasayansi wana mambo!
Dawa ya kuzuia nyumba ndogo


Sasa kumegunduliwa dawa aina ya homoni inayoweza kuwazuia wanaume kwenda nje, au kuwa na uhusiano wa pembeni,
Dawa hii iliyovumbuliwa Ujerumani inaitwa FIDELITY HORMON. Dawa ya uaminifu! Au kampuni hiyo ya ujereumani imeipa dawa hiyo jina la CUDDLE DRUG! Dawa ya kukumbatiana.
Dr René Hurle*mann, of Bonn University nchini Ujerumani anasema mwanamume akipewa dawa hii ya kumeza huyeyuka na kuingia katika damu, hivyo mwanamke mrembo akipita karibu, basi mume analazimika kukaa umbali wa inchi sita . Mume bila kujua damu yake itakuwa haipatani na mwanamke mwengine mbali na mkewe.
Mwanamke huyo akiwa mrembo zaidi , ndio dawa inafanya kazi vizuri zaidi. Ni FIDELITY HORMON. Tembe za uaminifu.
BBC Swahili - Medianuai - Mkeo aweza "kunusa" uoga wako
source
 

Sijaelewa hayo mayai YANAHUSIKAJE HAPO!!!!
 
Full ma-ubunifu lakini kumbukeni jezi muwapo uwanjaniiiiiiiii!
Alafu ni mwisho kumuamini mama K.
 
Wiyelele tushampa solutn amchukue beki3 au ka vp a-apply hii cheating style akirud home jioni mwepesiii na tabasamu tele wala hatakumbuka kuwa wife wake hajaosha vyombo lol

In fact, nimepeleka posa, wamekubali. Raha ikoje jamani! Wacha nijimwage mie, baridi imenichosha!
 

Du? Hiyo kali kabisa! It means wasomi wanastuana wao kwa wao tu!
 
ha! na mimi ndo nasikia hii.sasa kwa kuwa nishajua;na mimi leo ni leo! lunch ikifika tu, huyoooo! ala!
 
Du? Hiyo kali kabisa! It means wasomi wanastuana wao kwa wao tu!

Kumbe jeeeeeeeee!!!!!!! HIZI NA NYAKATI ZA MWISHO!!!!!!!! Lawyer kwa Judge!, Bosi kwa Secretary, Mhasibu kwa Cashier, Mfanyabiashara na Mteja, SHINDWA MWENYEWE TU HAPO!
 
Hii si mbinu mpya ilikuwapo tangu zamani sana 199..... huko Boss wangu (Baba yangu mdogo) mmoja alikuwa anasema nimpeleke lunch mpango wa kando wake tukifika tunakula ansema tusubiri hapo tunakuja kumbe wanajivinjari na kutoka mie hata moja kichwani sina siku nikaja kusoma hiyo makitu imeandika Bar & Guest House.
 
aahahahahhahaahahhahahha yale yale aliyokuwa anasema mlinzi ofisini kwetu!
wanaume wengi siku hizi mziki wao mwepesi!
imagine mdada katoa cha asubuhi kwa mumewe,kafika ofisini anatoa viwili kwa colleague,akirudi home tena kama kawa!
nilikuwa sijamwelewa yule babau wa kimakonde!now ndo nimeelewa kwanini alitupa makavu siku ile
eti enzi zao thubuutuuuu!mtu akitoka kuchakatua utamjua tu akirudi miguu haikutani kama njia panda vile !lol!
 

Mi bado sijaelewa!!!!!!1 Ina maana dushelele za zamani ZILIKUWA KUBWA SANA!? AMA SHUGHULI ILIKUWA PEVU ZAIDI!? Kuliko sasa ama aje? Badi niko njia panda mwenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…