Mfasiri mmoja wa Kiingereza/Kiswahili anatakiwa.

Mtumwa baniani

Senior Member
Apr 13, 2013
128
26
Kazi hii ni ya mkataba wa mwezi mmoja ambao unaweza kuongezwa. Mfasiri/mkalimani huyo, anatakiwa kuwa na sifa ya uelewa mzuri wa lugha zote mbili, alie na uwezo wa kufasiri kwa kasi na ufasaha mazungumzo ya papo kwa papo na hata yale ya sauti katika picha za video. Awe na ufahamu wa matumizi ya program za kuingiza maneno katika video na ule wa matumizi ya kawaida ya Kompyuta.
Anaejisikia kuwa anazo sifa hizo na zingine za ziada, tafadhali aje PM.
Update:
Jamani,tumeondoa Kipengele cha uwezo wa kufasiri papo kwa papo maana tumeona kimewaogopesha wengi. Wale walio na background ya linguistics, Ualimu na Journalism wako encouraged kuomba hasa wakina Mama.
 
Kazi hii ni ya mkataba wa mwezi mmoja ambao unaweza kuongezwa. Mfasiri/mkalimani huyo, anatakiwa kuwa na sifa ya uelewa mzuri wa lugha zote mbili, alie na uwezo wa kufasiri kwa kasi na ufasaha mazungumzo ya papo kwa papo na hata yale ya sauti katika picha za video. Awe na ufahamu wa matumizi ya program za kuingiza maneno katika video na ule wa matumizi ya kawaida ya Kompyuta.
Anaejisikia kuwa anazo sifa hizo na zingine za ziada, tafadhali aje PM.

Mkuu mimi nakushauri bargaining ndo ifanyike PM ila
usaili (interview) ifanyike hapa hapa jukwaani live kwa
kuweka sentensi za kiswahili kisha aziandike kwa kiingereza
fasaha,

NB: Ukitaka kumkamata mswahili basi weka jambo katika maandishi.
 
Mbona una ROHO MBAYA MKUU?
acha vijana wenzako tupate hizi mia mbili mia mbili wewe si upo kwenye pay roll?
Mimi sio mtafuta mkalimani, ila mtafutaji hakuzungumzia kutafsiri maandishi, bali mazungumzo, ndio nilichokuwa najaribu kueleza.
 
Mkuu mimi nakushauri bargaining ndo ifanyike PM ila
usaili (interview) ifanyike hapa hapa jukwaani live kwa
kuweka sentensi za kiswahili kisha aziandike kwa kiingereza
fasaha,

NB: Ukitaka kumkamata mswahili basi weka jambo katika maandishi.
Huo usaili ufanyike hapa ili iweje? Wakati mtoa tangazo amesema waende PM?

JF uweke sentesi zitafasiriwe hapa unataka kujaza servers? Watakuja watu na ukosoaji ambao hata wewe hujawahi kuuona
 
Wenda kuna dili lla kwenda kwa malkia...si unajua mambo ya lugha gongana (language barrier.).
Kama hata accuracy? yaani usahihi wa kinachotafsiriwa sio issue, wanamtaka mkalimani wa nini?
 
Kazi hii ni ya mkataba wa mwezi mmoja ambao unaweza kuongezwa. Mfasiri/mkalimani huyo, anatakiwa kuwa na sifa ya uelewa mzuri wa lugha zote mbili, alie na uwezo wa kufasiri kwa kasi na ufasaha mazungumzo ya papo kwa papo na hata yale ya sauti katika picha za video. Awe na ufahamu wa matumizi ya program za kuingiza maneno katika video na ule wa matumizi ya kawaida ya Kompyuta.
Anaejisikia kuwa anazo sifa hizo na zingine za ziada, tafadhali aje PM.
Update:
Jamani,tumeondoa Kipengele cha uwezo wa kufasiri papo kwa papo maana tumeona kimewaogopesha wengi. Wale walio na background ya linguistics, Ualimu na Journalism wako encouraged kuomba hasa wakina Mama.
Mkuu nipo, let me know kama hujampata mtu bado.
 
Back
Top Bottom