Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,777
- 24,211
Kocha wa APR aombe radhi
"Mapinduzi Cup ni Tournament Maalum yenye heshima kubwa hapa Afrika Mashariki na Kati.. Timu nyingi kubwa, Wachezaji wengi wakubwa wameshiriki.
Tunapaswa kuyalinda, kuyaheshimu kwa nguvu zetu zote.. Hata mtu anapotaka kuyaongelea ni Lazima ayaongelee kwa Nidhamu.. Isionekana mtu anakuja kushiriki kama 'msaada' tu kwa wenye mashindano.. Hii sio sawa Kabisa.
Mistake za waamuzi kwenye Football zinatokea mpaka World Cup.. Hata ujio wa VAR bado kuna makosa mengi ya waamuzi yametokea.
Inakuaje mtu mwenye Taaluma ya Ukocha anayakosea Heshima mashindano ya Mapinduzi kirahisi tu kwa sababu ya Waamuzi?
Video hapo juu (Ipo kwenye ukurasa wa Ally Kamwe Instagram) Timu yake ya APR ilipewa BAO LA MCHONGO dhidi ya JKU kutoka ZANZIBAR mbona hakusema Hatushiriki Tena kwa sababu Waamuzi wanatupendelea?
Wakikosea Waamuzi kwa wengine Meno yote Nje na kujiona bonge la Kocha.. Wanashangilia mpaka wanavua Nguo uwanjani.. Wakikosea wengine Mnasusa??
Sasa Kwa Tukio la Jana na Hilo hapo la mechi ya JKU Lipi lina upendeleo wa wazi kabisa??? Nafikiri Kocha wa APR anatakiwa KUOMBA MSAHAMA HADHARANI kwa kauli yake.
"Mapinduzi Cup ni Tournament Maalum yenye heshima kubwa hapa Afrika Mashariki na Kati.. Timu nyingi kubwa, Wachezaji wengi wakubwa wameshiriki.
Tunapaswa kuyalinda, kuyaheshimu kwa nguvu zetu zote.. Hata mtu anapotaka kuyaongelea ni Lazima ayaongelee kwa Nidhamu.. Isionekana mtu anakuja kushiriki kama 'msaada' tu kwa wenye mashindano.. Hii sio sawa Kabisa.
Mistake za waamuzi kwenye Football zinatokea mpaka World Cup.. Hata ujio wa VAR bado kuna makosa mengi ya waamuzi yametokea.
Inakuaje mtu mwenye Taaluma ya Ukocha anayakosea Heshima mashindano ya Mapinduzi kirahisi tu kwa sababu ya Waamuzi?
Video hapo juu (Ipo kwenye ukurasa wa Ally Kamwe Instagram) Timu yake ya APR ilipewa BAO LA MCHONGO dhidi ya JKU kutoka ZANZIBAR mbona hakusema Hatushiriki Tena kwa sababu Waamuzi wanatupendelea?
Wakikosea Waamuzi kwa wengine Meno yote Nje na kujiona bonge la Kocha.. Wanashangilia mpaka wanavua Nguo uwanjani.. Wakikosea wengine Mnasusa??
Sasa Kwa Tukio la Jana na Hilo hapo la mechi ya JKU Lipi lina upendeleo wa wazi kabisa??? Nafikiri Kocha wa APR anatakiwa KUOMBA MSAHAMA HADHARANI kwa kauli yake.
Mwenyekiti wa Wasemaji Afrika Ally Kamwe." Ameandika Kamwe.