Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,226
- 4,730
Huyu mshikaji namfahamu sana kilichomcost ni kupenda sifa... Alitaka aonekane mkali ona Sasa anaenda zikwa hata mwaka hajauona
Da! Jamaangu Godshine!
Huyu mshikaji namfahamu sana kilichomcost ni kupenda sifa... Alitaka aonekane mkali ona Sasa anaenda zikwa hata mwaka hajauona
Huyu mshikaji namfahamu sana kilichomcost ni kupenda sifa... Alitaka aonekane mkali ona Sasa anaenda zikwa hata mwaka hajauona
Kilichomuua ni pombe?mbona sijaona uthubitisho wa hilo?
Hapana mkuu hapo unakosea..
Godson alikuwa mtu wangu wa karibu sana ninapokuwa Shinyanga, na hata niliposikia msiba wake ilibidi nitoke Dar kuja Shy kumuaga! Nilikuwa napenda kunywa nae pombe bar ya Bakurutu. Hakuwa mpenda sifa kama unavyodhani, sema alipenda kunywa pombe, na was very social kwa kila mtu.. Ndio maana aliagwa na mamia ya wakazi wa Shy.. na zaidi ya watu 20 walipoteza fahamu kwenye kumuaga!
Nilivyoambiwa na mtu wake wa karibu (jina nalihifadhi) ni kwamba siku anakunywa pombe alikuwa kwenye dozi..
Hope ndo kilichomuua!
Na alikuwa member humu jf, sema hakuwahi kuniambia id yake.. Ila ntaipata ili muandike R.I.P.
I appeal for support to the left-family, from producers of Konyagi, as he was well rising company sells.
R.I.P HOMIE
Kunywa mizinga 5 ya konyagi utaona huo uthibitisho
...mipango ya munngu...
Inakuaje kabibi kuwashwa na mume wa mtu kwa years and years?!!Halafu Slaa anataka gongo iwe halali!
Muuza vocha tu pale stendi wanasema mfanyakazi wa tigo