Mfanyakazi wa Barrick apotelea mgodini

Mfanyakazi wa Barrick apotelea mgodini

mmmh!!!
sina hakika na usemalo lkn kazi za migodini ni nzuri in terms of payments ingawa ni risk kama zilivyo za viwandani

Hujui ukisemacho! miner trainee anaanza na basic ya 539000Tsh...laki tano na unafanyia kazi underground! ukipanda kuja Miner 1 basic 759000Tsh...sasa niambie hiyo payment nzuri iko wapi
 
Poleni sana jamaa, nawaombeeni kila la kherI maana kazi za migodi si masihara, risk yake sii kama ya wale jamaa wanaovAa suti na kujiita waheshimiwa wenye kujipangia mishahara na wanachokifanya hakieleweki ila ninyi wenye kazi ngumu ndo mnabanwa kimaslahi ipo siku hii nchi haki na heshima vitapatikana

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mpaka saa 2 usiku huu timu ya uokoaji haijafanikiwa kumpata mfanyakazi huyo! Peter Burger meneja mkuu wa kampuni amesema watatumia wataalam wa kimataifa...hali si shwari

Mkuu, umesema aliondoka anendesha mashine ya UTV, je hiyo mashine yenyewe ilionekana au alipotea nayo.
 
Hivi emanuel mbise bado yuko hapo bulyanhu?!!! €±zzzzzzz


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ceasar ilionekana Super Ramp! inasemekana aliiacha super ramp then haikujulikana alitokomea wapi

Super Ramp ni karibu na shimo la kuingilia chini? au ni chini, ndani zaidi? nauliza hivi nikiwa na shaka ya mchongo wa kutoweka na jiwe badala ya kufia ndani. Barrick wamejitahidi sana kuweka vichemba vya usalama pamoja na mawasiliano kule ndani mpaka mtu amefukiwa lingejulikana ni hilo. Hofu inayonijia haraka kuna makusudi katika tukio hili. Super Ramp ipo umbali gani kutoka kwenye lango kuu la kuingilia shimoni? unaweza jua?
 
Super Ramp ni karibu na shimo la kuingilia chini? au ni chini, ndani zaidi? nauliza hivi nikiwa na shaka ya mchongo wa kutoweka na jiwe badala ya kufia ndani. Barrick wamejitahidi sana kuweka vichemba vya usalama pamoja na mawasiliano kule ndani mpaka mtu amefukiwa lingejulikana ni hilo. Hofu inayonijia haraka kuna makusudi katika tukio hili. Super Ramp ipo umbali gani kutoka kwenye lango kuu la kuingilia shimoni? unaweza jua?

Super Ramp ni barabara kuu zilizopo undetground! na kutoka chini kuna mashine ya kuwatoa na kuingiza Inaitwa Cage...huwezi kutoka kwa mguu sababu ni mbali mno kutoka usawa wa ardhi pia unapofika juu kuna geti linafunguka kwa kusoma kitambulisho chako na camera zipo pale kwahiyo kutoka na dhahabu chini ni rahisi ila kuitoa getini haiwezekani! geti linaonesha aliingia ila wakati wa kutoka halisomi! na mitambo inaonesha bado yupo chini! Ndo hivyo mkuu
 
Kazi za migodini ni hatari last week miner walikuwa dar kwa matibabu ya migongo wanaumia sana
 
Poleni sana wana BGML wenzangu,ingawa nliwakimbia ila tuko pamoja sana na msalimie sana Cyborg
 
Kazi za migodini ni hatari last week miner walikuwa dar kwa matibabu ya migongo wanaumia sana

Ndege ya barrick huwa inachukua wagonjwa wa rufaa ma miner kila wiki kuwapeleka hospitali kubwa...migongo kukatika...viuno mapafu ni kawaida sana....huwa wanafikishiwa Durban Hotel
 
Poleni sana wana BGML wenzangu,ingawa nliwakimbia ila tuko pamoja sana na msalimie sana Cyborg

Hata mimi naelekea kuwakimbia! migodini ni utumwa! wewe boot inajaa maji sababu ya joto! coverall inalowana mpaka unakamua kama wataka kuanika! vumbi lake na kelele ni noma
 
Jina lake anaitwa Fungwa William bado hajapatikana mpaka sasa! wakati huo huo meneja amelazimisha watu wapelekwe chini ya ardhi kufanya kazi wakati kuna ajali na bado hajaokolewa.

Sasa huku ni kujali safety na occupational health kwa wafanyakazi au ni kujali uzalishaji?
 
Kaka ndio maana mkitokaga underground uwa mnaburuza coverall nini?yani mnavoburuza ni kama hamzivai tena.

Kuna siku nlienda HR kufatilia mambo yangu na nkakutana na miner mmoja kachoka balaa na nguo zimechafuka balaa na kaenda kufatilia AAR card na akakutana n wakina Farida wakaanza kumuambia njoo kesho,kaka yalitoka matusi mpaka nkawa naona aibu n wale madada wote wakatulia hadi Vedastus (kabla hajaondoka) ndo akaja kusolve mambo
 
Kaka ndio maana mkitokaga underground uwa mnaburuza coverall nini?yani mnavoburuza ni kama hamzivai tena.

Kuna siku nlienda HR kufatilia mambo yangu na nkakutana na miner mmoja kachoka balaa na nguo zimechafuka balaa na kaenda kufatilia AAR card na akakutana n wakina Farida wakaanza kumuambia njoo kesho,kaka yalitoka matusi mpaka nkawa naona aibu n wale madada wote wakatulia hadi Vedastus (kabla hajaondoka) ndo akaja kusolve mambo

Nashangaa wanaolilia kuingia kazini hapa! hiyo siyo kazi kaka ni shughuli....umaskini unatuua kabisa....kina watu zaidi ya 300 wamekatika mgongo/uti wa mgongo
 
Back
Top Bottom