Mtendaji wa kaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 334
- 59
- Thread starter
- #201
Hapa kuna maswali mengi yanahitaji majibu
1.Inawezekanaje mtu akaingia shaft asia.ngukie bottom level na badala yake aninginie katikati.
2.Taarifa zinasema shaft inspection ilishafanyika katika harakati za kumtafuta marehemu kwanini hakuonekana mara ya kwanza na aonekane leo?
3.Muda wote cage ilikuwa inaoparate inawezekana cage ikaoparate wakati kuna mtu ananinginia kwenye kuta za shaft?
4.Taarifa zinasema wakati wa kumpata marehemu watanzania wote hawakutakiwa kuja kazini kwanini?
wafanyakazi wote jumapili walikatazwa kwenda wakati siyo kawaida