Mfanyakazi wa Barrick apotelea mgodini

Mfanyakazi wa Barrick apotelea mgodini

VP kuhusu hiyo ceaser aliyoondoka nayo haijaonekana bado tuanzie hapo niijuavyo no mashine kubwa hats ingedumbukia kwenye u/g sump lazima ingeonekana

Ceasar ilionekana Super Ramp! inasemekana aliiacha super ramp then haikujulikana alitokomea wapi
 
Ceasar ilionekana Super Ramp! inasemekana aliiacha super ramp then haikujulikana alitokomea wapi

Labda jamaa aliamua kujitoa uhai makusudi nijuavyo mambo ya u/g mining operations operator wa ceaser ni lazima awe well oriented na mazingira ya underground ukizingatia construction wanazunguka maeneo yote
 
Labda jamaa aliamua kujitoa uhai makusudi nijuavyo mambo ya u/g mining operations operator wa ceaser ni lazima awe well oriented na mazingira ya underground ukizingatia construction wanazunguka maeneo yote

Kweli kabisa...zoezi la kumpata limeshindikana ..wanadai wasubiri harufu ya maiti iliyooza ndo wabaini yuko wapi
 
kazi ngumu mshahara mdogo ata laki 8 haifiki jaman,alaf ni underground angalau ata buzwagi iko open pit.wakati expert ambaye mponae kitengo kimoja na afanyi kaz kama wewe anakula zaidi ya mil 5,na risky kibao serikali ipo kimya wakati watanzania wananyonywa.
mkuu utafiti wako haujakamilika na mie nafanya kazi mgodini jina kaputi hakuna expert ambaye analipwa million 5 ni kuanzia dola elfu 8 hadi dola elf hamsini hizo dola elf nane ni kima cha chini cha expert.
 
Kweli kabisa...zoezi la kumpata limeshindikana ..wanadai wasubiri harufu ya maiti iliyooza ndo wabaini yuko wapi

Mkuu nasikia toka saa5 asubuhi kuna rescue team inayotumia mbwa kusense harufu toka North Mara wamekuja kuongeza nguvu ya usakaji vp mpaka mida hii hakijasomeka tu!!?
 
So sad . Hatuna feed back mpaka sasa so tunasubiri update labda leo jioni. Ingawaje tangu mwanzo wa tukio hakuna taarifa Rasimi kutoka uongozo mkuu sijajua kwa nini maana hii ni mpya.
 
Isije ikawa katoroka pia

Atoroke apitie wapi wakati system inasoma kuwa tangu aingie hajatoka...na nguo zake zipo kwenye kabati lake mine dry! picha zinaonesha wakat wa kuingia tu wakati wa kutoka hazijaonesha!
 
So sad . Hatuna feed back mpaka sasa so tunasubiri update labda leo jioni. Ingawaje tangu mwanzo wa tukio hakuna taarifa Rasimi kutoka uongozo mkuu sijajua kwa nini maana hii ni mpya.

Unajua wawekezaji kama barrick wanabebwa sana na serikali halafu waandishi wa habari wanang'ang'ana na ziara za akina Kinana wanaacha kumlika huko! Migodini wanakufa kila mwezi lakini hawatangazi....vyombo vya habari vya ajabu ajabu
 
ajali za migodini zimekuwa nyingi sana siku hizi yaani Mungu atunusuru kwa ajali hizi.
 
Inasikitisha sana, Jamaa alikuwa classmate wangu O'level. Natumaini atapatikana akiwa hai..
 
Atoroke apitie wapi wakati system inasoma kuwa tangu aingie hajatoka...na nguo zake zipo kwenye kabati lake mine dry! picha zinaonesha wakat wa kuingia tu wakati wa kutoka hazijaonesha!

Ok ni kumuombea km yu haI atoke salama
 
Back
Top Bottom