Mfanyakazi wa Barrick apotelea mgodini

Mfanyakazi wa Barrick apotelea mgodini

He...!!
Mkuu, kumbe Barrick ni kaburu?


Barrick ya sasa michosho siyo kama ya miaka ya 2006 chini ya gm mracek alikuwa anamwaga mpunga kama hana akili,yaani mwezi ukiisha ila ajali mnalamba bingo,kwakweli safety ilikuwa juu maana watu wote tulikuwa na molari
 
Barrick ya sasa michosho siyo kama ya miaka ya 2006 chini ya gm mracek alikuwa anamwaga mpunga kama hana akili,yaani mwezi ukiisha ila ajali mnalamba bingo,kwakweli safety ilikuwa juu maana watu wote tulikuwa na molari

Hii ya sasa ni hovyo tu
 
Walikuwa watu 300 na ni Wantanzania.China pia imefunga migodi yake yote baada ya watu kufa Underground.Uturuki pia imefunga migodi yote kwa sababu majuzi hapa kuna watu wamekufa mgodini.Nimesikia wizara ya Uchukuzi pia inatarajia kuzuia mabasi yote kusafiri kwenda sehemu yoyote nchini kwa sababu yanaua watu kwa ajali.
According to Mrema (mb) hao waliokufa bulyanhulu walifukiwa na katapila wakiwa mashimoni kwa amri ya watawala kisa waligoma kupisha mgodi kwa 'wawekezaji'.
 
Mtendaji wa Kaya, any updates? confirm nasikia kaonekana maiti, - source sio ya uhakika sana...
 
Mtendaji wa Kaya, any updates? confirm nasikia kaonekana maiti, - source sio ya uhakika sana...

Ni hearsay hata mimi nimesikia ila siwezi kuthibitisha mpaka nipate habari za uhakika kutoka timu ya uokoaji! Nitatoa taarifa ya uhakika kesho jumatatu
 
Marehemu kapatikana saa tano asubuhi tukiwa tunafanya shaft inspection kati ya 4130 na 3980 level kwenye maryan compatiment akiwa ananing'inia kavaa kila kitu boots, helmet na ear plugs kasoro miwani ila waya wa taa ukiwa shingoni inaonekana ni suicide shaft imefungiwa tunasubiria mine inspector na polisi ndio mwili utolewe
 
Marehemu kapatikana saa tano asubuhi tukiwa tunafanya shaft inspection kati ya 4130 na 3980 level kwenye maryan compatiment akiwa ananing'inia kavaa kila kitu boots, helmet na ear plugs kasoro miwani ila waya wa taa ukiwa shingoni inaonekana ni suicide shaft imefungiwa tunasubiria mine inspector na polisi ndio mwili utolewe

Ahsante kwa taarifa
 
kuna updates huko kuwa amepatikana akiwa ameshakufa. Alale pema peponi. Ameni
 
Asanteni kwa taarifa, Poleni wafiwa na wafanyakazi wote, RIP marehemu.
 
Marehemu kapatikana saa tano asubuhi tukiwa tunafanya shaft inspection kati ya 4130 na 3980 level kwenye maryan compatiment akiwa ananing'inia kavaa kila kitu boots, helmet na ear plugs kasoro miwani ila waya wa taa ukiwa shingoni inaonekana ni suicide shaft imefungiwa tunasubiria mine inspector na polisi ndio mwili utolewe

Shaft inspection ingefanyika siku iyo iyo huenda angepatikana alive!! RIP Fungwe
 
Hujui ukisemacho! miner trainee anaanza na basic ya 539000Tsh...laki tano na unafanyia kazi underground! ukipanda kuja Miner 1 basic 759000Tsh...sasa niambie hiyo payment nzuri iko wapi

Duh aisee nikionaga wale staff wa GGM wanavvyofanyaga vurugu kwenye bar na clubs najua wanavuta fungu la maana sana! Bora tuendelee kufanya yetu mtaani na maisha raha mustarehe.
 
Inasikitisha na itakuwa rekodi ya wafanyakazi wawili kufariki ndani ya miezi 3.Uongozi ujipime na kujiangalia, rasilimali watu ni muhimu kuthaminiwa sio DHAHABU tu.
Poleni sana.
 
Pamoja na kuwa marehemu kapatikana akiwa kaning'inia, still inahitaji uchunguzi, barrick iwajibishwe na osha na insurance ilipe. Ilikuwaje mfanyakazi aingie humo ndani completely alone na afanye kazi alone? Hakuna system ya usalama inayozuia hili kutokea? Manake otherwise kama mtu akivunjika mguu tu akashindwa kutembea atakufa hapo akijiburuza? The fact kuwa hii imechukua siku kadhaa kupata mwili, ni wazi kuna gap kubwa kwenye usalama wa wafanyakazi walio mgodi huu.

barrick, somebody gotta be fired
 
Pamoja na kuwa marehemu kapatikana akiwa kaning'inia, still inahitaji uchunguzi, barrick iwajibishwe na osha na insurance ilipe. Ilikuwaje mfanyakazi aingie humo ndani completely alone na afanye kazi alone? Hakuna system ya usalama inayozuia hili kutokea? Manake otherwise kama mtu akivunjika mguu tu akashindwa kutembea atakufa hapo akijiburuza? The fact kuwa hii imechukua siku kadhaa kupata mwili, ni wazi kuna gap kubwa kwenye usalama wa wafanyakazi walio mgodi huu.

barrick, somebody gotta be fired
Hapa kuna maswali mengi yanahitaji majibu
1.Inawezekanaje mtu akaingia shaft asia.ngukie bottom level na badala yake aninginie katikati.
2.Taarifa zinasema shaft inspection ilishafanyika katika harakati za kumtafuta marehemu kwanini hakuonekana mara ya kwanza na aonekane leo?
3.Muda wote cage ilikuwa inaoparate inawezekana cage ikaoparate wakati kuna mtu ananinginia kwenye kuta za shaft?
4.Taarifa zinasema wakati wa kumpata marehemu watanzania wote hawakutakiwa kuja kazini kwanini?
 
Duh aisee nikionaga wale staff wa GGM wanavvyofanyaga vurugu kwenye bar na clubs najua wanavuta fungu la maana sana! Bora tuendelee kufanya yetu mtaani na maisha raha mustarehe.
Kwa sasa hakuna mfanyakazi wa GGM anayelipwa chini ua Tsh.800000 tofautisha GGM na BGML
 
Duh aisee nikionaga wale staff wa GGM wanavvyofanyaga vurugu kwenye bar na clubs najua wanavuta fungu la maana sana! Bora tuendelee kufanya yetu mtaani na maisha raha mustarehe.

Mbwembwe za miner tu
 
Back
Top Bottom