Mfanyakazi wa Barrick apotelea mgodini

Mfanyakazi wa Barrick apotelea mgodini

Mbongo akipata cheo husaliti mpaka nafsi yake ...Captain Philip ni mmoja wapo! upotoshaji wangu uko wapi? miners hawapewi simu'huyu bwana hajapatikana'mgodi upo 3940 level toka usawa wa ardhi'hofu mgodini ipo'300wagonjwa na hufa vyombo mbalimbali vimetafiti hadi bungeni imesonwa! upotoshaji wangu uko wapi? tena umeniobgezea machungu Manina wewe...mwenzetu hayupo wewe unasema napotosha! ebo...

kitu cha kusikitisha ni uzalishaji unaendelea wakati mfanyakazi haonekani.Hii inaonyesha jinsi gani kuna wawekezaji wapo juu ya sheria.Haya ni maisha ya wafanyakazi, watu wasilete utani, leo ni siku ya ngapi sijui mtu haonekani alafu bado watu wanashurutishwa kazi.Kweli kutoka moyoni kwa dhati kabisa huu ni ubinadamu kweli?
 
kitu cha kusikitisha ni uzalishaji unaendelea wakati mfanyakazi haonekani.Hii inaonyesha jinsi gani kuna wawekezaji wapo juu ya sheria.Haya ni maisha ya wafanyakazi, watu wasilete utani, leo ni siku ya ngapi sijui mtu haonekani alafu bado watu wanashurutishwa kazi.Kweli kutoka moyoni kwa dhati kabisa huu ni ubinadamu kweli?

tangu tarehe 19/05 usiku kuamkia tarehe 20/05 leo siku 9 hajapatikana! halafu manina mmoja anajiita Captain analeta crushing ideas....
 
Mbongo akipata cheo husaliti mpaka nafsi yake ...Captain Philip ni mmoja wapo! upotoshaji wangu uko wapi? miners hawapewi simu'huyu bwana hajapatikana'mgodi upo 3940 level toka usawa wa ardhi'hofu mgodini ipo'300wagonjwa na hufa vyombo mbalimbali vimetafiti hadi bungeni imesonwa! upotoshaji wangu uko wapi? tena umeniobgezea machungu Manina wewe...mwenzetu hayupo wewe unasema napotosha! ebo...

Matusi yako hapa yanazidi tu kueleza kuwa wewe ni mtu wa namna gani na sina haja ya kuchukua your way coz wote wenye akili hapa wameshakuelewa kuwa wewe ni mpotoshaji.Hiyo level ni ya kawaida sana na huko ndiko dhahabu iliko au unataka waifuate wapi?Hiyo ya watu 300 huwa naiona kwenye udako na serikali yoyote duniani haiwezi kuruhusu mazingira kama haya unayoyasema hapa.Nilitarajia wewe ukiwa mgodoni utoe taarifa sahihi ziko hapo Clinic na hata ukisoma Manifest ya Dash utajua ni nani anasafiri kwa ajili ya matibabu.Fanya kazi usaidie familia na nchi yako as kelele za humu JF zinazidi tu kuthibitisha umbumbumbu wako.
 
Matusi yako hapa yanazidi tu kueleza kuwa wewe ni mtu wa namna gani na sina haja ya kuchukua your way coz wote wenye akili hapa wameshakuelewa kuwa wewe ni mpotoshaji.Hiyo level ni ya kawaida sana na huko ndiko dhahabu iliko au unataka waifuate wapi?Hiyo ya watu 300 huwa naiona kwenye udako na serikali yoyote duniani haiwezi kuruhusu mazingira kama haya unayoyasema hapa.Nilitarajia wewe ukiwa mgodoni utoe taarifa sahihi ziko hapo Clinic na hata ukisoma Manifest ya Dash utajua ni nani anasafiri kwa ajili ya matibabu.Fanya kazi usaidie familia na nchi yako as kelele za humu JF zinazidi tu kuthibitisha umbumbumbu wako.

Mbumbumbu ni yule aliye tayari kusaliti nafsi yake kukana ukweli kwa cheo na kunyenyekea makabulu..
 
Mbumbumbu ni yule aliye tayari kusaliti nafsi yake kukana ukweli kwa cheo na kunyenyekea makabulu..

Sawa wewe ni mwelewa sio?Toka huko sasa!!Unakaaje sehemu ambayo unaweza kufa wakati wowote?Unazo akili kweli?Yaani sehemu inaweza kukuua umekaa tu na unakuja kupiga kelele hapa JF?Dhahabu inachimbwa haichumwi kama zabibu nimeshakwambia...Hizo ndo taratibu zake huwezi unaacha.Mi niliacha na nina good life tu ya kiwango changu ila naushukuru sana mgodi kwa kuniwezesha kukabiliana na maisha na leo nimeajiri v ijana wa Kitanzania
 
Ni mfanyakazi kwa jina la Fungwe Charles William amepotea chini ya ardhi tangu jana saa 2 usiku alipokwenda shift night! Tukio hili limekuwa la aina yake kwani mgodi umesitisha shughuli za ulipuaji miamba ya dhahabu! Timu ya uokoaji ya mgodi hapa bulyanhulu inaendelea kumtafuta aidha akiwa hai au laaaaa.....kiukweli hofu imetanda huku wengine wakidhani pengine ameangukiwa na mwamba na wengine wakidhani kuwa labda alitumbukia kwenye Water Sump zilizopo chini ya ardhi! Waliokuwa na mhanga kabla ya tukio wamesema mwenzao aliwaaga na kuondoka akiwa anaendesha mashine aina ya ceasar au UTV kwa jina ! mpaka naondoka mgodini saa nane na dakika arobaini na saba mchana huu bado mtu huyu hajapatikana....Nitazidi kutoa habari zaidi kama zinavyopatikana...
Kwa hiyo unataka kusema ni kama ile ya Malaysia!
 
jamaa mpaka sasa hajapatikana uzalishaji unaendelea kama kawaida juzi jumatatu usiku wameanza kulipua utafutaji umesitisha barrick wametoa namba atakaye muona marehemu atoe taarifa na bima ndiyo itakayo mlipa kaburu noma
 
jamaa mpaka sasa hajapatikana uzalishaji unaendelea kama kawaida juzi jumatatu usiku wameanza kulipua utafutaji umesitisha barrick wametoa namba atakaye muona marehemu atoe taarifa na bima ndiyo itakayo mlipa kaburu noma

He...!!
Mkuu, kumbe Barrick ni kaburu?
 
Matusi yako hapa yanazidi tu kueleza kuwa wewe ni mtu wa namna gani na sina haja ya kuchukua your way coz wote wenye akili hapa wameshakuelewa kuwa wewe ni mpotoshaji.Hiyo level ni ya kawaida sana na huko ndiko dhahabu iliko au unataka waifuate wapi?Hiyo ya watu 300 huwa naiona kwenye udako na serikali yoyote duniani haiwezi kuruhusu mazingira kama haya unayoyasema hapa.Nilitarajia wewe ukiwa mgodoni utoe taarifa sahihi ziko hapo Clinic na hata ukisoma Manifest ya Dash utajua ni nani anasafiri kwa ajili ya matibabu.Fanya kazi usaidie familia na nchi yako as kelele za humu JF zinazidi tu kuthibitisha umbumbumbu wako.
Hivi wale waliofukiwa bulyanhulu walikuwa wangapi vile na wa nchi gani vile..!
 
jamaa mpaka sasa hajapatikana uzalishaji unaendelea kama kawaida juzi jumatatu usiku wameanza kulipua utafutaji umesitisha barrick wametoa namba atakaye muona marehemu atoe taarifa na bima ndiyo itakayo mlipa kaburu noma
Huu ujuha, mtu kapotelea mgodini wanatoa namba ya nini? Hivi huwa hamruhusiwi kugoma ndugu?
 
Hivi wale waliofukiwa bulyanhulu walikuwa wangapi vile na wa nchi gani vile..!

Walikuwa watu 300 na ni Wantanzania.China pia imefunga migodi yake yote baada ya watu kufa Underground.Uturuki pia imefunga migodi yote kwa sababu majuzi hapa kuna watu wamekufa mgodini.Nimesikia wizara ya Uchukuzi pia inatarajia kuzuia mabasi yote kusafiri kwenda sehemu yoyote nchini kwa sababu yanaua watu kwa ajali.
 
Duh...Poleni sana wa ndugu,nimewahi fanya kazi pale,sikuwahi ona Miner mwenye kitambi,isipokuwa walinzi tu,ambao huwa hawaingii kule chini,Mtendaji wa kaya wasalimie pale ma miner Njogopa,Migire,Kanunha na Sixbert Mlingwa,
 
Duh...Poleni sana wa ndugu,nimewahi fanya kazi pale,sikuwahi ona Miner mwenye kitambi,isipokuwa walinzi tu,ambao huwa hawaingii kule chini,Mtendaji wa kaya wasalimie pale ma miner Njogopa,Migire,Kanunha na Sixbert Mlingwa,

haina matata kamanda! salaam wamezipata mkuu
 
Back
Top Bottom