TANZIA Mfanyabiashara Haroon Zakaria Afariki Dunia

Bora amefariki kipindi cha Samia, ingelikuwa kipindi cha Magufuri tungelisikia corona imefanya yake kuna watu walimchikia Magufuri,mpaka kila baya lote lililotokea lililetwa na Magufuri,kaondoka hatusikii nyimbo za corona tena.
Corona au yeye jiwe? Hakuua kwa sera zake mbovu!!??
 
Dah akipata nafasi ya kuongea na mungu tunaomba atushtakie jiwe huko kwa aliyotutendea huku
 
Mkuu...ingia la sinza or kkoo!

Kuna wadada nilipishana nao mlangoni wanasonya kabisa nilivyoingia ndo nikajua why

Simsingizii, sina wivu ila zile sio nguo or viatu vya mtu mwenye akili timamu kuvaa, hata kama ni masikini!
Ndiyo maana babalevo alidai hatavaa tena minguo iliyochanikachanika ya vunja
 
Hawa ndio wafanyabiashara wenyewe yani ukitajiwa biashara zake unaziona kabisa hizi hapa na unazitumia kila siku. Sio wale wabongo mikogo mingi ila ukitafuta kazi zake mpaka usimuliwe kwa nguvu
Innallillahi Wainna Illaihi Raj Un. Kwa hiyo wale mabilionea wa Arusha wangeweza kuajiriwa na huyu Tycoon. Mwenyezimungu amlaze mahali pema peponi kwa yote aliyotenda.
 
Umetoka mkoani lini mkuu?
Ha ha haa,umejuaje Kama hayupo mkoani kwa Sasa?
Je huyo tajiri bidhaa zake hazifiki mkoani?
Ni lazima kila tajiri tumfahamu?
Ninatumia bidhaa nyingine Sana MATAJIRI wa hizo bidhaa siwafahamu.
Wengine nawajua lakini bidhaa zao sizijui.
Umenichekesha kwa kweli.
 
Aliwapa mitaji wanunuzi wadogo wa bidhaa zake/Aliwajengea na kuwasomesha watoto yatima..

Kubwa zaidi ni huyu aliekuwa akienda mwenyewe Muhimbili kuwaona wagonjwa ma wale wanao takiwa kusafiri nje ya nchi anawasafirisha...

Amejenga nyumba nyingi sana za Ibada (Misikiti)...
Ndie alieanzisha kampeni ya kukarabati hospitali kongwe na kuwapatia vifaa vya kisasa, Japo wajanja wakazi fanya watakavyo...
Nitamkumbuka alipo okoa maisha ya mke na mtoto wa rafiki yangu..
Mimi namuombea Dua Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amiin..
Imani ameilinda mwendo ameumaliza.
Apumzike kwa amani
 
Bora amefariki kipindi cha Samia, ingelikuwa kipindi cha Magufuri tungelisikia corona imefanya yake kuna watu walimchikia Magufuri,mpaka kila baya lote lililotokea lililetwa na Magufuri,kaondoka hatusikii nyimbo za corona tena.
acha tu kaka
 
Aliwapa mitaji wanunuzi wadogo wa bidhaa zake/Aliwajengea na kuwasomesha watoto yatima..

Kubwa zaidi ni huyu aliekuwa akienda mwenyewe Muhimbili kuwaona wagonjwa ma wale wanao takiwa kusafiri nje ya nchi anawasafirisha...

Amejenga nyumba nyingi sana za Ibada (Misikiti)...
Ndie alieanzisha kampeni ya kukarabati hospitali kongwe na kuwapatia vifaa vya kisasa, Japo wajanja wakazi fanya watakavyo...
Nitamkumbuka alipo okoa maisha ya mke na mtoto wa rafiki yangu..
Mimi namuombea Dua Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amiin..
mpaka hapo naimani keshatoboa.

sio akina mwamedi wanatuzingua tu aaah.
 
Vunja bei ana duka sinza tu na dodoma la nguo nchi nzima anajulikana na vijana. Hawa kina zakaria wanauza mafuta korie na sabuni za foma miaka na miaka kila duka nchi nzima lina bidhaa zake na kila mtanzania amewahi zitumia ila tajiri sio maarufu
Ana duka Sinza , kinondon, Dodoma, mwanza , iringa , mbeya na Arusha
 
Hawa ndio wafanyabiashara wenyewe yani ukitajiwa biashara zake unaziona kabisa hizi hapa na unazitumia kila siku. Sio wale wabongo mikogo mingi ila ukitafuta kazi zake mpaka usimuliwe kwa nguvu
Vipi Late Mafuruki unamzungumzije
 
Back
Top Bottom