Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
Ugali mboga 100 weyeHuyu jamaa anae hela kama maji ya bahari! Boss aliokuwa ana support kampuni ya Mshua ya Logistics
Ugali mboga 100 weyeHuyu jamaa anae hela kama maji ya bahari! Boss aliokuwa ana support kampuni ya Mshua ya Logistics
Hana mbwembwe ndo maana!!!Kuna kijana wake mmoja anaishi Canada
Ila huyu mzee alikuwa anaijua hela,licha ya utajiri wake kama kawaida yao bado wanaishi kwenye flats za nhc
Ova
Umeona anasifiwa mpk raha yaani mpk mabaya yake km yapo waona haya kusemaKiufupi kutokana na maelezo ya humu huyu mzee hata kama alikuwa na dhambi zingine but inaonesha alikuwa na roho nzuri kupita kiasi... Wengi wanamsifia, na wengi wape
Basi alale salama huko aliko
Kwan hiyo Zan fast ferries si wanasema ni za Turkey?
Yeah..halafu wazee sana ni vigumu kumfahamu kama Mo
YapHuyu ndio maarufu kama Zakaria wa kitumbini?
Kwa hiyo Jiwe bado hajaumaliza mwendo?Huyu ndo ameumaliza mwendo salama.
Hawakuacha successor?Duh.. Matycoon wanaisha.
Kuna kijana wake mmoja anaishi Canada
Ila huyu mzee alikuwa anaijua hela,licha ya utajiri wake kama kawaida yao bado wanaishi kwenye flats za nhc
Ova
Acheni uzushi Ramesh kaniambia hajafa
Duh.. Matycoon wanaisha.
Kick za mjini. Pia swala mkataba wa Jersey za Simba anatumika na Muddy.Vunjabei anauza maronyaronya tu humo dukani kwake mpaka unajiuliza japo unapewa kadi ka ya mlimani city
Ila hawa matajiri kanjanja sana
Mbona Muddy kila Siku kwenye Media akipiga vijembeTajiri alikuwa mtu poa sana waarabu huwa hawapendi media sana.
Angekuwa ihiiihiiiihiii ungeona mitusi humuUmeona anasifiwa mpk raha yaani mpk mabaya yake km yapo waona haya kusema
Vipi kuhusu matycoon wazawa
Vipi kuhusu matycoon wazawa
Yeye ndiye aliyetaka hayo kwani hata mvua ikinyesha utasikia tunamshukuru mwendazake kwa kutuletea mvuaBora amefariki kipindi cha Samia, ingelikuwa kipindi cha Magufuri tungelisikia corona imefanya yake kuna watu walimchikia Magufuri,mpaka kila baya lote lililotokea lililetwa na Magufuri,kaondoka hatusikii nyimbo za corona tena.
Houseboy wakeRamesh ndio nani sasa?
Succession plan.Vijana wake wakubwa na ndio wanamiliki biashara na kuendeleza alipoanza Mzee