TANZIA Mfanyabiashara Haroon Zakaria Afariki Dunia

Kuna kijana wake mmoja anaishi Canada
Ila huyu mzee alikuwa anaijua hela,licha ya utajiri wake kama kawaida yao bado wanaishi kwenye flats za nhc

Ova

KUna tafauti kubwa kati ya mtu mweusi na mtu mweupe mkuu. Acha sisi tuendelee kuwa maskini tu
 
Huyu mzee alikua na hela chafu aisee, Mimi toka ni mdogo miaka ya 90's nakumbuka jina lake lilikua likivuma sana mjini.
Lakini alikua yuko very simple kabisa yani dah we acha tu
 
Bora amefariki kipindi cha Samia, ingelikuwa kipindi cha Magufuri tungelisikia corona imefanya yake kuna watu walimchikia Magufuri,mpaka kila baya lote lililotokea lililetwa na Magufuri,kaondoka hatusikii nyimbo za corona tena.
Yeye ndiye aliyetaka hayo kwani hata mvua ikinyesha utasikia tunamshukuru mwendazake kwa kutuletea mvua
 
Back
Top Bottom